Binadamu: Kiumbe chenye chanzo kisichojulikana, yupoyupo tu hana mwanzo wala mwisho

hata magar yakitazamana saiv jinsi yalivyo mengi barabarani yatakuwa yanasema hivi hivi kuwa sisi (magari) hatuna mwanzo wala mwisho tupo tupo tuu hatueleweki na tutaendelea kuwepo barabarani siku zote ...hayo magar hayajui kuwa kuna gari la kwanza lililo vumbuliwa na kiumbe ambaye ni binadamu..... bila shaka haya magari yatakuwa yanajidanganya tuu pasipokujua aliyeyavumbua (binadamu) akitaka anayatoa barabarani muda wowote na kuyaharibu au kuyatengeneza tena kama atakavoona yeye mwenyewe
 
Wewe Allen Kilewela ni yule mwalimu? nshamsikia kupitia radio moja kule nyanda za juu kusini.
 
hata magar yakitazamana saiv jinsi yalivyo mengi barabarani yatakuwa yanasema hivi hivi kuwa sisi (magari) hatuna mwanzo wala mwisho tupo tupo tuu hatueleweki na tutaendelea kuwepo barabarani siku zote ...hayo magar hayajui kuwa kuna gari la kwanza lililo vumbuliwa na kiumbe ambaye ni binadamu..... bila shaka haya magari yatakuwa yanajidanganya tuu pasipokujua aliyeyavumbua (binadamu) akitaka anayatoa barabarani muda wowote na kuyaharibu au kuyatengeneza tena kama atakavoona yeye mwenyewe
Utoto raha
 
Hii ndiyo nadharia inayosemwa inatakiwa kukubaliwa na kila binadamu na ndiyo nadharia inayoitwa na baadhi ya watu kuwa ni kamilifu na timilifu.

Kuwa hakuna ajue wewe binadamu umetokea wapi na kwa nini upo ivo ulivo. Kuwa Binadamu hana kusudio lolote lile la kuwepo kwake duniani.

Na haileweki imekuwaje binadamu kuna mambo anayoyaita mema na mengine anayaita mabaya.

Hitimisho ni kuwa binadamu ni kiumbe kisichoelezeka.
Mkuu hii sio binadamu tu, kila kitu chenye asili ya hii dunia haikielezeki na akiwezi kufahamka kwa ukamilifu wake, ndio mana wametengeneza taasisi kama science na kuanzisha dini ili kuleta majibu ya kutunga na tusiwe na shauku ya kutaka kujua ukweli halisi
Historia ya Adam na eve/hawa sio kweli, na ufahamu wote wa dunia na outta space na galaxies sio kweli. Ulimwengu mzima ni hii dunia tu hakuna nje ya dunia nakila kitu kimo ndani ya ulimwengu huu,yaani nyota mwezi,jua sayari kila kitu kimo ndani ya hii dunia,

Hayo maigizo ya outer space sayari zenye udongo na mwezi wa kwenda mtu akatua na jua Iloilo umbali wa 53 mil miles ni uzushi mtupu
Ni phenomenal kubwa sana sisi binadamu tulio hai Tupo hapa saivi na tunaishi wengi wemepita kwa malaki ya miaka nyuma na wengi watakuja baada yetu kwa malaki ya miaka, hii dunia haina mwisho wa ukubwa na haina mwisho wa maisha
Waliokuja mwanzo na kuweza ku-collect info muhimu wametuzidi akili wanatudangabya tu, kuleta dini na science ili kutupumbaza watu wote dunia nzima.
 
Hii ndiyo nadharia inayosemwa inatakiwa kukubaliwa na kila binadamu na ndiyo nadharia inayoitwa na baadhi ya watu kuwa ni kamilifu na timilifu.

Kuwa hakuna ajue wewe binadamu umetokea wapi na kwa nini upo ivo ulivo. Kuwa Binadamu hana kusudio lolote lile la kuwepo kwake duniani.

Na haileweki imekuwaje binadamu kuna mambo anayoyaita mema na mengine anayaita mabaya.

Hitimisho ni kuwa binadamu ni kiumbe kisichoelezeka.
Nitajie mwanzo na mwisho wa kuku au kuku sio kiumbe
 
Hii ndiyo nadharia inayosemwa inatakiwa kukubaliwa na kila binadamu na ndiyo nadharia inayoitwa na baadhi ya watu kuwa ni kamilifu na timilifu.

Kuwa hakuna ajue wewe binadamu umetokea wapi na kwa nini upo ivo ulivo. Kuwa Binadamu hana kusudio lolote lile la kuwepo kwake duniani.

Na haileweki imekuwaje binadamu kuna mambo anayoyaita mema na mengine anayaita mabaya.

Hitimisho ni kuwa binadamu ni kiumbe kisichoelezeka.
Binadamu ni kiumbe anayeelezeka isipokuwa amesahau alipotoka. Ukipotoza historia yoyote imhusiyo mhusika umempoteza mhusika. Ukipoteza historia umempoteza binadamu.

Kabla ya kufika mbaaali hebu jitafute wewe mwenyewe kwanza ewee binadamu! Ukishajijua utamjua aliyekuleta.
 
Swali la kizushi

Hivi utofauti wa Lugha za binadamu upo tu hauna chanzo chake?

Nguvu aliyonayo binadamu dhidi ya viumbe vingine na mazingira ya ulimwengu hakuna chanzo chake?
Mkuu chanzo chake Hakuna, ipo hivyo tu kama ilivyo.

Hakuna chanzo chochote kile, kilicho tambuliwa na kuthibitishwa kwamba ndicho chanzo cha ulimwengu na Binadamu.

Vyanzo vinavyo dhaniwa ndio vyanzo vya ulimwengu na Binadamu ni mawazo ya kufikirika tu, Hayana uthibitisho wowote ule.

Kwanzia kidini mpaka Kisayansi vyanzo vyote, vinavyo tajwa Havina ukweli wowote ule.

Si Mungu wala Big bang theory.

Zote hizi ni Fictions.
Binadamu hana kusudi la kuwepo kwake duniani?

Kwa nini binadamu huzaliwa wakati Iko siku atakufa. Huu mchakato wa kuzaliwa mpaka kufa hauna maana yoyote ile?
 
Eo
Ndoto ni maisha halisi yanayoendelea katika ulimwengu wa roho pindi mtu amelala.
Mwili unalala lakini Roho nafsi macho active havilali mda wote hadi kifo
Roho ni nini?

Nafsi ni nini?

Muonekano wa hivi vitu upoje?

Kama havionekani, Uliwezaje kujua vitu hivi vipo?

Uchunguzi gani ulifanyika na utafiti upi una thibitisha uwepo wa Roho?

Thibitisha uhalisia wa vitu hivi, Na si mawazo yako ya kufikirika tu.
 
Una image kutoka wapi kwann uote upo upo Mwanza na haujawahi fika.
Mwanza ipo tayari kwenye uhalisia.

Huwezi kuota kitu ambacho Hakipo kwa namna yoyote ile ya kuonekana, kushikika, kusikika au kuhisika.

Vitu vyote vinavyo otwa kwenye ndoto angalau vipo kwa kuonekana, kushikika, kusikika au kuhisika.

Huwezi kuota nje ya hapo.

Taarifa zote zilizomo kwenye ubongo ambazo unaweza kuziota ndotoni, Ni zile tu ambazo Angalau umeshawahi kuziona, kuzisoma, kuzishika, kuzisikia mahali fulani, na kuhadithiwa.

Huwezi kuota kitu kisicho kuwepo (Nothing) lazima uote "something" ambacho kwa namna fulani ubongo wako una taarifa nacho.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom