Angalau haya.yana asili ya kibantu sio wale bakita wengine walikuwa Wana copyajina.ya kiarabu na kuislimisha lugha ya kiswahiliHii misamiati yenu huwa mnaibuni kutoka wapi aisee
1. Charger – kimemeshi
2. Appetizers –vihamuzi
3. Simcard – kadiwia/mkamimo
4. Memory card –kadi sakima
5. Business card – kadikazi
6. Microwave –tanuri miale
7. Cocktail party – tafrija mchapalo
8. Lift – kambarau
9. Toothpick – kimbaka
10. Scanner –mdaki
Ongezea misamiati mingine yenye utata.....
Niazime kimemeshi chako nimemeshie kiswaswadu changu"Ebu nipashie ubwabwa " kwenye tanuri miale dahh 😄
Wasituzingue 😅Hii misamiati yenu huwa mnaibuni kutoka wapi aisee
1. Charger – kimemeshi
2. Appetizers –vihamuzi
3. Simcard – kadiwia/mkamimo
4. Memory card –kadi sakima
5. Business card – kadikazi
6. Microwave –tanuri miale
7. Cocktail party – tafrija mchapalo
8. Lift – kambarau
9. Toothpick – kimbaka
10. Scanner –mdaki
Ongezea misamiati mingine yenye utata.....
Mfulumbato - ClutchHii misamiati yenu huwa mnaibuni kutoka wapi aisee
1. Charger – kimemeshi
2. Appetizers –vihamuzi
3. Simcard – kadiwia/mkamimo
4. Memory card –kadi sakima
5. Business card – kadikazi
6. Microwave –tanuri miale
7. Cocktail party – tafrija mchapalo
8. Lift – kambarau
9. Toothpick – kimbaka
10. Scanner –mdaki
Ongezea misamiati mingine yenye utata.....
Yaani hapo nikionacho mimi ni Kilatini tupo hicho. Na wanatumia binomial nomencrature kufanya naming.Hii misamiati yenu huwa mnaibuni kutoka wapi aisee
1. Charger – kimemeshi
2. Appetizers –vihamuzi
3. Simcard – kadiwia/mkamimo
4. Memory card –kadi sakima
5. Business card – kadikazi
6. Microwave –tanuri miale
7. Cocktail party – tafrija mchapalo
8. Lift – kambarau
9. Toothpick – kimbaka
10. Scanner –mdaki
Ongezea misamiati mingine yenye utata.....
Mtaani tunalitumia kutokana na neno la Kiingereza 'dame'Mnaoita wanawake "mademu" mkamatweView attachment 2971883
😂 Hapa wameua hio kambarau8. Lift – kambarau
9. Toothpick – kimbaka
10. Scanner –mdaki
TOA maana yake naona umeongea kichinaNaomba nitumie kimemeshi chako ku memesha simu yangu pia tuletee vimbaka hapa mezani
Niliwai kusema PHYSICS ikitafsiliwa kwa kiswahili ndio itakua ngumu zaidi 😊😂Hii misamiati yenu huwa mnaibuni kutoka wapi aisee
1. Charger – kimemeshi
2. Appetizers –vihamuzi
3. Simcard – kadiwia/mkamimo
4. Memory card –kadi sakima
5. Business card – kadikazi
6. Microwave –tanuri miale
7. Cocktail party – tafrija mchapalo
8. Lift – kambarau
9. Toothpick – kimbaka
10. Scanner –mdaki
Ongezea misamiati mingine yenye utata.....
Serious—-MakiniMakini/ uhakika
Bora hapa inaonekana kuna ubantu, neno live kuitwa Mubashara sikubaliani nalo. Yaani sasa ivi tunashindwa kutafuta maneno yetu ya kiswahili tunachukua ya kiarabu???Hii misamiati yenu huwa mnaibuni kutoka wapi aisee
1. Charger – kimemeshi
2. Appetizers –vihamuzi
3. Simcard – kadiwia/mkamimo
4. Memory card –kadi sakima
5. Business card – kadikazi
6. Microwave –tanuri miale
7. Cocktail party – tafrija mchapalo
8. Lift – kambarau
9. Toothpick – kimbaka
10. Scanner –mdaki
Ongezea misamiati mingine yenye utata.....
Naamini hata wao Bakita hawatumii hayo maneno, yapo kwenye makaratasiEti TISHU kwa KISWAHILI fasaha inaitwa "shasi"
View attachment 2971871
nilisema bakita ni takataka. Waulize etymology ya maneno hayo ni ipi? Si ajabu mtu analeta jina la bibi /babu yake linakuwa neno la kiswahili.Hii misamiati yenu huwa mnaibuni kutoka wapi aisee
1. Charger – kimemeshi
2. Appetizers –vihamuzi
3. Simcard – kadiwia/mkamimo
4. Memory card –kadi sakima
5. Business card – kadikazi
6. Microwave –tanuri miale
7. Cocktail party – tafrija mchapalo
8. Lift – kambarau
9. Toothpick – kimbaka
10. Scanner –mdaki
Ongezea misamiati mingine yenye utata.....
Tablet🤣🤣🤣Kishikwambi ndio notepad au tablet?