BAKITA mtatuua ni hiki Kiswahili chenu mnachokiita "Fasaha"

Hayo maneno ya Kiingereza tunayoyatumia ni baada kuyatumia kwa muda mrefu ndio tukayazoea. Ila ya kiswahili yangepata muda nusu ya muda wa hayo ya Kiingereza tungeyazoea.

Live=mubashara.

Limepigiwa promo mpaka tumelizoea
 
Hii misamiati yenu huwa mnaibuni kutoka wapi aisee

1. Charger – kimemeshi
2. Appetizers –vihamuzi
3. Simcard – kadiwia/mkamimo
4. Memory card –kadi sakima
5. Business card – kadikazi
6. Microwave –tanuri miale
7. Cocktail party – tafrija mchapalo
8. Lift – kambarau
9. Toothpick – kimbaka
10. Scanner –mdaki

Ongezea misamiati mingine yenye utata.....
Daaaaaaah!!! Yani misamiati mingine banah!!! Yani wanatunga wao wenyewe BAKITA, lakini cha kushangaza huenda hata wao wenyewe hawaitumii mitaani kama hali ya kuhimiza wengine kuweza kutumia. Utawakuta hata wao wanatumia Kiswa-English.
 
Hii misamiati yenu huwa mnaibuni kutoka wapi aisee

1. Charger – kimemeshi
2. Appetizers –vihamuzi
3. Simcard – kadiwia/mkamimo
4. Memory card –kadi sakima
5. Business card – kadikazi
6. Microwave –tanuri miale
7. Cocktail party – tafrija mchapalo
8. Lift – kambarau
9. Toothpick – kimbaka
10. Scanner –mdaki

Ongezea misamiati mingine yenye utata.....
Ujinga mtupu
 
Hii misamiati yenu huwa mnaibuni kutoka wapi aisee

1. Charger – kimemeshi
2. Appetizers –vihamuzi
3. Simcard – kadiwia/mkamimo
4. Memory card –kadi sakima
5. Business card – kadikazi
6. Microwave –tanuri miale
7. Cocktail party – tafrija mchapalo
8. Lift – kambarau
9. Toothpick – kimbaka
10. Scanner –mdaki

Ongezea misamiati mingine yenye utata.....
Vihamuzi ina sound kama dawa za nguvu za kiume. Tafrija mchapalo inasikika kama pati ya kupigana miti:D:D
 
images-1358.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom