Kama vile kishkwambi tushazoea kabisaaNi kwakuwa si maneno yanayotumika mara kwa mara, ndio maana mnaona ni ya ajabu. Yakizoeleka kutumika ni ya kawaida kabisa.
Jokofu ni neno common sanaRefrigerator-Jokofu.
Mbona hii common sana mzee au wewe ni wa 2000?Tiles -----Marumaru.
what the hell is this language
Wengi huita friji nina hakika na hilo..Jokofu ni neno common sana
Ndio, mwanzo tulikuwa tunaliona kama tusi🤣🤣Kama vile kishkwambi tushazoea kabisaa
Achana na mtandaoni, mtaani tunalitumia sanaa.Wengi huita friji nina hakika na hilo..
Sikumbuki mara ya mwisho humu niliona neno jokofu lini katika maandishi ambayo lilipaswa kuwepo ila wameandika "friji"
Pitia humu hata nyuzi za matangazo ya majokofu uone nyuzi ngapi zina hilo neno.
Kuna kipindi fulani Rais wa Uganda aliwahi kushauri tutumie maneno ya kibantu kwenye kiswahili nadhani ndo haya ...Hii misamiati yenu huwa mnaibuni kutoka wapi aisee
1. Charger – kimemeshi
2. Appetizers –vihamuzi
3. Simcard – kadiwia/mkamimo
4. Memory card –kadi sakima
5. Business card – kadikazi
6. Microwave –tanuri miale
7. Cocktail party – tafrija mchapalo
8. Lift – kambarau
9. Toothpick – kimbaka
10. Scanner –mdaki
Ongezea misamiati mingine yenye utata.....