makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 28,532
- 82,269
Kwangu kazi ngumu naweza kusema ni mbadala wa mazoezi. Changamoto kubwa huku kwetu ulaji wetu ni mbovu hauzingatii afya.
Mazoezi/kazi ngumu iendane na msosi mzuri(mahitaji ya mwili)
Mazoezi/kazi ngumu iendane na msosi mzuri(mahitaji ya mwili)