Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 6,182
- 12,719
Hii ni irrelevant kabisa, Mababu, Mabibi na Wazazi wetu waligonga sana vyakula hivyo ila viwango vya sukari vilikuwa hafifu, mivyakula ya viwandani, soda na bia ndiyo inachangia sana ila si vyakula asilia.Sema vyakula vya wanga mkuu. Sisi tunatumia sana nafaka zenye carbohydrates sana kama mahindi na mchele na ngano. Hili lina mchango mkubwa sana kwenye gonjwa la sukari.
Pia bado uwiano wa kazi ngumu za miaka ya 1900 - 1980 walikuwa wanafanya mazoezi kila siku kutembea na kuendesha baiskeli umbali wa KM 10 - 30 mbali na kazi ngumu pekee walizokuwa wakifanya, huwezi kuwalinganisha na sisi ambao magari yamerahisisha usafiri.
Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.