Dinero
Member
- Jul 2, 2015
- 13
- 14
Mbona wazungu wanakula mikate na tambi sana,sio wanga huo?Sema vyakula vya wanga mkuu. Sisi tunatumia sana nafaka zenye carbohydrates sana kama mahindi na mchele na ngano. Hili lina mchango mkubwa sana kwenye gonjwa la sukari.