Mwaga elimu mkuu.Mchele nimeutaja. Kula wanga tu sio shida. Kwanza somo la sukari ni pana sana sijui kama wengi tunalielewa. Ni topic pana kidogo.
Si wote wanafanya kazi ngumu, hasa mijini. Wanaokuwa maofisini hawatumii misuli kufanya kazi. Wakiwa nyumbani wanakaa, wakitoka nje wanaingia kwenye magari kukaa, na wakifika ofisini wanakaa, tena muda mwingi.Afrika watu wanafanya kazi ngumu sana lakini bado kisukari ni tishio, nilikuwa Dodoma kukawa na upimaji wa Bure Cha kushangaza vijana below 40 wengi tu wana sukari...
Ulaji wa wanna ndio tatizo mkuu.Afrika watu wanafanya kazi ngumu sana lakini bado kisukari ni tishio, nilikuwa Dodoma kukawa na upimaji wa Bure Cha kushangaza vijana below 40 wengi tu wana sukari...
Na hii ndiyo sababu kubwa hasa ya vijana wengi kuwa na kisukari. Asilimia ndogo sana ambayo inapata kisukari cha kurithi, lakini asilimia kubwa ni ulaji wa hivyo vitu ulivyovianisha. Kuna uhusiano mkubwa sana wa mlundikano wa mafuta mwilini na kisukari aina ya pili(type 2 diabate).Si wote wanafanya kazi ngumu, hasa mijini. Wanaokuwa maofisini hawatumii misuli kufanya kazi. Wakiwa nyumbani wanakaa, wakitoka nje wanaingia kwenye gari kukaa, na wakifika ofisini wanakaa, tena muda mwingi...
Unaweza kufanya mazoezi na bado ukaugua kisukari kutokana na aina ya vyakula na vinywaji unavyotumia.Mkuu, naomba uhusiano wa kisukari na mazoezi. Kuna kitu nataka kujifunza.
Sahihi kabisaMkuu.
Sukari haisababishwi na kutofanya mazoezi au kufanya mazoezi. Uhusiano wa Sukari na mazoezi ni mdogo sana.
Sukari inaletwa sana na LifeStyle (ULAJI WA VYAKULA NA VINYWAJI). Kuna aina ya maisha ukiishi, hata kama unalala GYM bado Sukari unaweza ukapata. Na pia kuna sababu nyingine zinazoweza pelekea kupata sukari, ila sana ni MTINDO WA MAISHA.
Not reallyMazoezi ni tiba kwa wenye Kisukari , lakini Mazoezi hayazuii mtu kupata Kisukari.
Ni kweliNa hii ndiyo sababu kubwa hasa ya vijana wengi kuwa na kisukari.Asilimia ndogo sana ambayo inapata kisukari cha kurithi,lakini asilimia kubwa ni ulaji wa hivyo vitu ulivyovianisha.Kuna uhusiano mkubwa sana wa mlundikano wa mafuta mwilini na kisukari aina ya pili(type 2 diabate).
Ila sio saidia fundi mkuu 😂😂😂😂😂Nawaambiaga washkaji zangu, kazi sio mazoezi ila hawataki kunisikia.
😂😂😂😂Mifumo ya Ulaji hasa nyakati za usiku nalo ni tatizo, Waafrica wengi Dinner tunakula saa 2.30 na kuendelea kuna familia mpaka saa tano usiku ndo wanakula unaenda kulala, Kile chakula kinageuka sumu
Inaaminika kadiri mtu anapofanya kazi ngumu sana matumizi ya sukari nayo huwa makubwa, nadhani huo ndo msingi wa mleta uzi, rejea tafakuri ya Pro Janabi kwamba kama unatoka clods FM kwenda Escape one huna haja ya kujaza mafuta full tankMkuu, naomba uhusiano wa kisukari na mazoezi. Kuna kitu nataka kujifunza.
Mafuta vs Kisukari?Ulaji wa vyakula vya mafuta kupindukia,jambo linalosababisha mafuta mengi mwilini na unene kupindukia.
Mambo haya huambatana na ugonjwa wa sukari ambao zamani uliwaandama watu wenye umri angalau miaka 50.
Lakini siku hizi mtu anakuwa na unene uliozidi akiwa na miaka michache.
Africa kazi za kufanya greda znafanywa na binadamuAfrika ni bara lililojaa watu wavivu, hizo kazi mnazosema ngumu ni zipi?
Tule Nini boss tuepukane na sukari maana hivyo ndo vinaliwa zaidi,?Sema vyakula vya wanga mkuu. Sisi tunatumia sana nafaka zenye carbohydrates sana kama mahindi na mchele na ngano. Hili lina mchango mkubwa sana kwenye gonjwa la sukari.
Insulin inazalishwa na kongosho ambayo ndo inaweza kufaInsulini ndio shida ikifa et