Stories of Change is a 2008 documentary film by BRAC Pathways of Women Empowerment.
The documentary focuses on the lives of five women aging from 16 to 60, coming from different walks of life, from different professions, religions and regions of Bangladesh.The film screened at various film festivals:
Jeevika: South Asia Livelihood Documentary Festival, Delhi (August 28–31, 2008)
Asiatica Film Mediale, Rome (November 15–23, 2008)
Goan Peoples' Film Festival: Celebrating Life and Livelihoods (November 21–29, 2008)
Kolkata International Documentary Film Festival (January 26–30, 2009)
Naikumbuka bayana siku hiyo. Hususani ule mlio, mkubwa kuliko kumbukumbu yenyewe. Nilikua mdogo sana lakini nakumbuka dhahiri kila kitu. Ni moja kati yale matukio unayobeba akilini mpaka kifo. Yale matukio tambuzi yanayoathiri mustakabali wa maisha yako. Na ndio maana sielewi! Sielewi kwanini...
Unyanyasaji wa kijinsia ni dhana pana sana ambayo ina ainanyingi sana ambazo kwa namna moja au nyingine zina muathiri mwanaume au mvulana Pamoja na mwanamke au msichana katika jamii zetu na kuna aina tofauti tofauti za unyanyasaji wa kijinsia ambazo ni ; Unyanyasaji wa kingono, Unyanyasaji wa...
Na Dibwi
Tafiti mbalimbali duniani, zimeonyesha Bara la Afrika na Asia kuongoza kwa kuwa na utitiri wa Mashirika na Taasisi nyingi hasa zile za Umma, kutozingatia suala la kuajiri watendaji walio na elimu, utaalamu na uzoefu mahususi kwenye nafasi husika kwenye maeneo ya kazi.
Hali hii...
Chanzo: Mwananchi, Tani 7,400 za mahindi zakosa soko (2014)
Nilikuwa Kilombero, na kama masihara, gunia la mchele lilikuwa linamwagwa mbele ya uso wangu jalalani. Nisingeamini ningehadithiwa na mtu mwingine. Mazao mbalimbali yaliyokuwa yanaelekea masokoni yalitekelezwa pembezoni mwa barabara...
Miongoni mwa mada muhimu sana kwenye maisha ya mwanadamu ni Nishati ya kupikia. Historia inasomeka kuwa mwanadamu alianza kupata maendeleo makubwa (evulution) baada ya kujua namna ya kudhibiti moto na kuutumia kupikia na kisha kwenye shughuli nyingine. Alipoanza kupika, ndipo mabadiliko makubwa...
Utangulizi
Habari za wakati huu mwana JF. Karibu kwenye makala haya ya kimtazamo yanayoangazia changamoto za mitaala ya shule pamoja na elimu kwa ujumla.
Katika hali ya kawaida Msingi wa elimu huanzia shuleni ambapo mwanafunzi huanza akiwa hajui kusoma wala kuandika mpaka kufikia hatua ya juu...
Kwa wote wanaotaka kushiriki shindano la Stories of Change Tafadhali someni kwa makini vigezo hivi. Hakikisha andiko lako limekidhi kabla ya kutaka kuchapisha.
Vigezo na masharti ya kushiriki katika shindano hili:
Mshiriki anatakiwa kutayarisha andiko linalochochea mabadiliko kwenye nyanja za...
Jamii Forums, Asasi ya Kiraia inayohamasisha Haki za Kidigitali, Demokrasia, Uwajibikaji na Utawala Bora na mratibu wa jukwaa la mtandaoni la JamiiForums.com (JF), imekuwa mstari wa mbele katika kuhamasisha uandishi wa maudhui bora na yenye tija mtandaoni kwa zaidi ya miaka 15 kwa kutoa jukwaa...
Ndugu wana jamii forum. Leo niwape pongezi wale wote walioibuka washindi katika lile shindano la uandishi hapa jamii forum, na pongezi zingine pia kwa wale wote waliondika maandiko mbali.mbali yenye kuelezea changamoto, maoni, ubunifu, uongozi, nk.
1. Hongera kwako Abrianna jwa kuibuka...
Habari zenu wadau!
Alfajiri ya leo Jumamosi mnamo saa 10:30 hivi nimeota kama nimeletewa mifuko mitatu mizuri sana. Katika mifuko yote kuna nguo. Naomba nielezee!
1. Mfuko huu una nguo nzuri sana imeandikwa mshindi namba moja wa stories of change, ila pale sikumbuki jina lake. Ukishika huu...
Yule mshindi wa Shindano la “JF Stories Of Change” atakayejinyakulia kitita cha Tsh. Milioni 5 anatarajiwa kupewa kitita hicho Jioni ya leo Oktoba 15, 2021 katika hafla fupi itakayoanza saa 12 jioni Jijini Dar.
Mshindi wa Kwanza atapata Fedha taslimu Tsh. Milioni 5, Mshindi wa Pili Tsh. Milioni...
Ule wakati wa Washindi wa Shindano la Stories of Change kujulikana umewadia. Muda wowote kuanzia sasa jopo la majaji baada ya kupitia, kuchambua maandiko na kujiridhisha na maamuzi yao, litakabidhi maandiko yaliyofanikiwa kushinda kwa timu ya uratibu wa shindano.
Washiriki wote wa Shindano la...
Hayawi hayawi sasa yamekuwa! Yule mshindi wa Shindano la “JF Stories Of Change” atakayejinyakulia kitita cha Tsh. Milioni 5 anatarajiwa kutangazwa siku ya Ijumaa Oktoba 15, 2021 katika hafla fupi itakayoanza saa 12 jioni mpaka saa 4 usiku.
Hafla hiyo ya kutangaza na kukabidhi washindi zawadi...
GIRL ON FIRE.
"OUR HISTORY IS NOT OUR DESTINY".
In Tanzania, truer words have never been spoken!
27th January 1960, was just a regular Wednesday, a bouncing baby girl was born in Makunduchi Zanzibar. Her parents were just regular folks - a stay-at-home mum and her dad a teacher. They brought...
“Shhhh! I am safe usijali”. Na mimi niliamini maana sio kwa utamu ule. Asubuhi niliaga vizuri nikapanda gari na kurudi Morogoro chuoni. Nilikaa nikisubiri anitafute, walau anipongeze hata kwa ujuzi niliokua nao, lakini hata sms hakutuma.
Nilikaa nikiamini labda alikua amechoka sana, au alikua...
Uongozi wa mtandao maarufu wa Jamii Forums (JF) umebuni shindano la Uandishi wa Mtandaoni wenye kuleta tija (Stories of Change) kwa wanachama wake. Awamu ya kwanza ya shindano hili itaanza Julai 14 hadi Septemba 15, 2021. Zawadi zilizotangazwa kutolewa ni kama zinavyoonekana kwenye kielelezo...
Wosia ni kauli ya hiari inayotolewa na mtu wakati wa uhai wake ikionyesha mgawanyiko wa mali/mirathi pamoja na muongozo wa familia yake baada ya kifo chake. (tafsiri ya kisheria)
Katika jamii ya Kitanzania, kumekua na mitazamo mbalimbali juu ya kuandika wosia na wenegi wamekua wakihusisha na...
MABORESHO YA NYANJA ZA UCHUMI KWA MAENDELEO
Maendeleo ya jamii au taifa lolote huchochewa na watu wake, mifumo ya utendaji na uchapakazi. Mabadiliko na udhibiti wa utendaji ni moja ya silaha kubwa katika kuchochea maendeleo na ufanisi ndani ya Taifa. Katika nchi yetu Tanzania kuna haja ya...
TANZANIA NA MAENDELEO KWA MIAKA IJAYO
Kwa Hali ya Tanzania ya Sasa inahitaji mabadiliko makubwa ya kimfumo wa kisiasa zaidi ili maendeleo yapatikane kwa kuendana na Hali ya watanzania wenyewe.
1.Tanzania hii ya Sasa vitu vinapanda bei kila kukicha bila kuangalia Hali ya watanzania wenyewe na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.