Hii ikufikie Boss wa Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (PCCB) wilaya ya Bunda mkoani Mara. Wiki hii Kuna kijana mmoja ambaye kaanzisha operation ya kupita kwa baadhi ya maduka ya wafanyabiashara na kuwaulizia kama tayari washalipa leseni za biashara au la. Inajulikana wazi...
Kuna mfanyabiashara mmoja anaitwa Kaburu. Mkazi wa Mganza anajitapa hadharani kuwa yeye hupeleka rushwa kwa huyu hakimu. Na sababu wote ni kabila moja la wachaga basi humsikiliza kwa lolote.
Rushwa zinafanyika hadharani. Kaburu ndio wakala wa huyu hakimu mfawidhi. Wavuvi haramu wanaoingia...
Tumesikia namna Rais anavyolalamika kuhusu ufisadi sehemu mbalimbali. Hata PM Majaliwa naye tulimsikia last week akiwa ziaranya mkoa wa Mara.
Nauliza DPP, IGP, DG-TISS na DG TAKUKURU mnasubiri nini kuchukua hatua sitahiki dhidi ya watumishi ambao wametajwa kwenye hizo tuhuma?
Position: Investigation Officers II (250 Posts)
Required Qualifications:
Academic Qualifications:
Applicants should possess three years Advanced Diploma or Undergraduate degree from recognized learning institutions in any of the following fields; Civil Engineering, Building...
Assistant Investigators III (100 Posts)
Required Qualifications:
Academic Qualifications:
Applicants should possess Certificate of Secondary (CSE), Basic Technician certificate, or
Diploma from a recognized learning institution in one of the following categories; National
Service’s...
Mbunge wa Bushosa, Erick Shigongo amependekeza Bunge lifanye maamuzi ya kumuwekea Kinga ya Kikatiba Mkurugenzi wa TAKUKURU ili aweze kufanya kazi kwa kujiamini na kuepusha kuingiliwa majukumu.
Na Gregory J.Mahanju;
Kimekua ni kilio cha muda mrefu sana toka kwa wananchi wa jimbo la Singida Magharibi kuomba ufafanuzi na mchanganuo wa Matumizi ya pesa za mfuko wa jimbo lakini wamekua wakiambulia patupu na majibu ya kejeli kutoka ofisi ya mbunge.
Kuna tetesi kua Mhe Mbunge kama...
Prime Minister Kassim Majaliwa has ordered the Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB) to investigate the allegations facing Sumbawanga Teachers College Accountant Eric Rutamirwa and Instructor Godfrey Msenuka for burning government documents.
According to the Prime Minister, the...
Nilileta uzi huu:
Aibu! Boda ya Rusumo Mgeni haingii nchini bila rushwa
Nimetembelea boda nyingine mkoani Kagera, kote ni mwendo mdundo! Watu wanakula kwa urefu wa kamba zao.
Hata hivyo wapi au idara ipi yenye ahueni?
Polisi? Wapelelezi, trafiki nk? Rushwa si ni sehemu ya malipo yao halali...
Rushwa ni mwenendo usio faa anao ufanya mtu kwa manufaa yake binafsi. Kuna Aina nyinginza rushwa Kama rushwa ya fedha, ngono, Mali n.k
Sababu za kuongezeka kwa rushwa nchini.
Ongezeko la umaskini nchini hupelekea kutoa rushwa kwa lengo la kujipatia kitu flani mfano kazi.
Ubinafsishaji...
Mtwara Municipal.
The Principle of Mtawanya FDC Development College known as Halfan Mshana has so far been accused of embezzling Government funds for the Mtawanya Project For Capacity Building to the students.
He has prepared a letter which he, himself has signed to approve Tsh. 20, 350,000...
MKURUGENZI wa Mashitaka nchini ( DPP), Sylvester Mwakitalu, amesema kwa sasa hakuna mwalifu atakayenufaika na mapato ambayo ameyapata kwa njia ya rushwa au uharifu, kwa maana hiyo fedha na mali zitataifishwa.
Amesema Rushwa ni janga kubwa na athari zake zinaonekana katika ngazi ya taifa na...
Naanza kwa kusema, poleni mliokosa na hongereni mlioona majina.
Ila tukisema tuangalie uhalisia, naweza sema TAKUKURU haijawatendea haki waliofanya usaili ule. To be fair, why wasingetoa majina na marks kila mmoja alizopata, huku wakiainisha cut-off points?
Tuachane na lile swala la baadhi ya...
Baada ya jana kumpokea stendi kuu ya Dodoma na kumlipia lodge, akanipa tunda maana tuna miaka miwili hatujaonana na huyu Mama E.
Asubuhi nikampeleka chuo cha Dodoma kwenye usaili, mchana nikamfuata nikampeleka Malaika Annex kula kuku wa kuchoma baadae nikampeleka room kwake akapumzike kidogo...
Habari zenu wakulungwa!!
Naomba kujua mtu ambaye ataenda/yuko invited kwenye usaili wa PCCB Jumamosi ijayo pale Dodoma?
Anayetokea Dsm, Mwenye private car tuchangie mafuta twende naye
Asante
Habari za wakati ndugu zangu, natumaini mu wazima. Bila kupoteza muda naomba nielekee kwenye hoja ya msingi.
Leo Tume ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(TAKUKURU) wametoa orodha ya majina ya watu waliofuzu kwenda Dodoma kufanya usahili wa awali wa maandishi (amplitude test) siku ya tarehe 8...
Kamanda heshima yako,
Napenda kukufahamisha kuwa tumekutumia email ya malalamiko dhidi ya maofisa wako wanajihusisha na vitendo vya rushwa. Email hii tuliyokutumia tumetumia dgeneral@pccb.go.tz. Tumeona tukutumie ujumbe kupitia jf hapa kwani tunaamini wewe unapitia hapa lakini pia uenda hiyo...
1. Ben Saanane pole sana huko uliko.
2. Azory Gwanda pole sana huko uliko.
3. Binti Akwilina Akwilina pole sana huko uliko.
4. Clouds tv hasa hasa Marehemu Ruge na Watangazaji wa Shilawadu akina Soudy Brown na Kwisa, poleni sana.
5. Mwanamuziki Roma Mkatoliki pole sana.
6. Yusuf Mehboob...
Viongozi husika mtazame hili sula sasa imekuwa too much ukiagiza gari kwenye ukaguzi bandarini TBS lazima waandike dosari eti ukarekebishe ndio wakupe kibali lakini hata urekebishe vipi bado watakosoa
Hawa watu wameanzisha kamfumo hako lengo uwape rushwa tu na rushwa wanajia nyingi za kupokea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.