kibu

In the mythology of the Mabuiag people of the Torres Strait, Kibu is the mythical land of the dead, believed to exist over the horizon far to the west. The correct full term is Kibukuth Horizons End. The basic meaning of the word kibu is midpoint of an upright broad object, such as small of back, mid-slope of a hill, and horizon, which is the midpoint of the universe, between the bottom part which is the earth (apagœwa lower-ground, or arkath pit), and the top half, which is the sky (dapar). The reference to Kibu, the land of the markai (the spirits of people who have travelled to Kibu after death) is a specialised, religious use of the word. Traditional Torres Strait religion can be characterised as totemic and ancestor worship, and as such the markai are the ancestors, and are specially revered. The ancestors are with the augadh totem, and the augadh generates the buwai clan/moiety, and the markai ultimately has a direct relationship to the augadh, though not necessarily being seen as being the augadh.
In the traditional mythology, the world (arkath hole, apagoewa underfurrow/ditch/garden) is at the bottom of a sphere, with the sky (dapar) above and around it. The markai live in Kibu, the main gateway of which is in the west (Kibukuth Horizons End). However, the markai often come back to visit. The land of the markai actually surrounds the world, so markai can be seen passing from east to west as well as west to east, coming down from the sky, and sometimes even coming up from under the ground via Apangab Netherway, Underway, the mythical pathway under the earth used by markai and others, such as dhogai long-eared witch women, maidhalaig magic-men, and others to travel under the earth and the sea from place to place.
Before becoming markai, the spirit of the dead person is called mari. Mari are the spirits of the dead who have not yet passed to the other side. The passage to the other side is made on the sand banks just west of Boigu, in north-west Torres Strait. At Boigu, the mari either leave a sign or otherwise talk to the mariumulaimoebaig spirit talker, to let people know how he or she died, and if he or she was murdered (and if so, who killed them). This is done where the cemetery is at Boigu, just west of the village.
In the passage over to the other side, at the sandbanks west of Boigu, the mari, which is black (kubikub) just as in life, becomes white (gamulnga) (this is a belief common to many Pacific and Australian peoples). Therefore, when Asians and Europeans visited Torres Strait, they were at first believed to be markai returning. In the modern language, markai is still often used to refer to Europeans, though no longer to Asians. However, this is considered to be impolite, and the correct term is either Yurupau Moebaig European or Gamulmoebaig (Light) Coloured Person. One favourite means of transport of the markai is the markaigub spirit wind, that is to say, waterspouts, which appear in the North-West Monsoon season, the favorite time for the markai to come to Torres Strait. As this was the season the Makkasarese and similar Indonesian fishermen came to Northern Australia, they were associated with the markai.

View More On Wikipedia.org
  1. Suley2019

    FT: Simba 2-2 Al Ahly | Benjamin Mkapa Stadium | 20.10.2023 | African Football League

    Haya haya ile siku iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu imewadia. Leo tarehe 20/10/2023 Tanzania itashuhudia mtanange wa kihistoria kati ya timu ya Simba ya Tanzania dhidi ya Al Ahly ya Misri. Mechi hii ni ya ufunguzi wa michuano ya African Football League ambayo inachezwa barani Afrika kwa mara ya...
  2. GENTAMYCINE

    Kwangu Mimi Muzamiru na Kibu ndiyo walicheza vyema Jana huku Job na Mwamnyeto wakicheza vibaya

    Ukikasirika na huu Ukweli wangu Mchungu GENTAMYCINE toka hapo Nje Kwako ukiona Muuza Dawa za Sumu ya Panya nunua haraka, Korogea katika Kikombe cha Maji kisha Kunywa ili Upumzike kwa Amani na Mazima. ANGALIZO Ukijijua tu kabisa kuwa humpendi / hunipendi GENTAMYCINE " hapa JamiiForums na...
  3. Best Daddy

    Kibu Denis: Diarra angedaka ule mshale wangu hadi sasa angekua anajiuguza kwao Mali

    Tukiwa tunaelekea kwenye maadhimisho ya wana-lunyasi "Simba Day 2023" basi matukio na hisia tofauti zimeanza kuipamba siku hiyo. Kati moja ya matukio hayo, basi ni yale aliyoya-eleza Kibu D, anaenda kwa jina la "Kibu Mkandaji", jina ambalo lilipata umaarufu baada ya kuwakanda Wananchi April...
  4. The Burning Spear

    Kibu D ninTishio Wapinzani anawatesa

    Amini usiamini uwepo WA kibunD unamvhngi karibia 30% ya performance ya timu nzima ya Simba. Jamaa anajua kuforce kingi Hadi manejo wanabakia kunywa maji mda wote Huyu jamaa ni Hatari mabeki wanateseka sana. Uwepo wake uwanjani unatengeneza pressure kubwa Sana huko mbele kitu ambacho Wapinzani...
  5. SAYVILLE

    Wydad watamkamia Denis Kibu

    Dhihaka zilikuwa nyingi dhidi ya Denis Kibu ila katika wachezaji ambao wamekuwa wanacheza kwa kiwango kikubwa kwa miezi minne na zaidi Kibu ni mmoja wao. Najivunia kuwa mmoja wa watu ambao nimekuwa namtetea. Hayo tuyaache kidogo maana ni kibwagizo tu. Katika mechi ya Raja vs Simba kule Morocco...
  6. Execute

    Nafasi anayocheza Samatta pale Taifa Stars awe anawekwa Kibu Denis

    Japo Kibu hana akili ya mpira lakini anakupatia kitu kinaitwa work rate. Yaani akiwepo uwanjani anakuwa na pilikapilika nyingi ambazo zinaweza kuleta matokeo chanya. Huyu Samatta ameshapitwa na wakati.. hana chochote anachoiongezea timu awapo uwanjani.. Kibu anaweza kufanya link ya viungo...
  7. GENTAMYCINE

    Wana Simba SC wote mnaomtukana, kumdharau na kutomtaka Kibu Denis akirejea kutoka Kampala mkamuombe Radhi

    Katika uzi wangu wa leo ambao pia nilijaribu kupanga vikosi vyangu viwili tofauti ambavyo niliona vingetupa matokeo na mwishoni, nilisisitiza mno kuwa mechi ya leo kwa uchezaji wa kutumia nguvu nyingi walionao waganda ingemfaa sana na angeisaidia Simba SC kimchezo. Huhitaji kupoteza muda au...
  8. Shujaa Mwendazake

    Mshahara wa Kibu Dennis Vs Muzzamiru Yassin

    Habari wakuu, Kama kuna mwenye usagihi wa mishahara ya Kibu na Muzzamiru aniwekee hapa jamvini...
  9. May Day

    Kibu Dennis asaidiwe kisaikolojia

    Kuna ule usemi maarufu ya kwamba "Ukitaka kazi ya jeshi basi lazima ugangamale". Hivyo kwa mchezaji yeyote wa timu ndogo anapopambana na kuonesha makali ili afanikiwe kuwashawishi timu kubwa kumpa kazi, basi ajiandae pia kwa maisha ya upande wa pili wa shilingi, ambako kuna maisha ya presha...
  10. The lost

    Ama kweli uchawi upo, hivi kweli Kibu Denis ni wakupewa namba Simba?

    Nimekuwa nikifatilia namna ya uchezaji wa huyu bwana, hakika Hana uwezo wa kucheza hapo msimbazi. Jamaa ni mweupe mno kwenye maswala ya mpira na Kama siyo uchawi hakika hapati namba kwenye klabu yoyote ya mpira hapa nchini.
  11. CK Allan

    Kwa hili la Mgunda na Kibu Denis, sote tukubaliane Bila masharti , Simba ni liduude likubwa Sana!

    Hebu fikiria Kibu Denis alicheza Mbeya huko miaka na miaka!! Lakini siku alitia mguu wake Simba Tanzania yote ilisimama! Na hatimaye mambo ya Uraia yakajitokeza! Amini nakuambia angeenda yanga Wala hakuna kelele ambazo zingesikika! Sasa tuje Kwa Juma Mgunda, Yeye alishafundisha mpaka Timu ya...
  12. M

    Sub ya Farid Mussa na kuanza na Wachezaji Wasiojitambua Kibu na Mpole badala ya Lyanga na Jabir ndiyo vimetumaliza Leo

    Mimi ni Shabiki wa Simba SC ila nadhani kama kuna Mchezaji Mzawa ambaye Watanzania tuna Roho Mbaya, Wivu na Unafiki wa Kutomuimba na Kumtukuza inavyotakiwa ni Kiungo Mshambuliaji na Winga Farid Malick Mussa wa Yanga SC. Kama kuna Mchezaji ambaye leo katika Mechi ya Taifa Stars na Uganda Cranes...
  13. LIKUD

    Ukweli mchungu: Mayele bado ana miss kitu kimoja kikubwa sana!! Ndicho kinacho fanya Kibu Dennis aonekane bora kuliko Mayele

    Mayele ana miss " Njaa" . N jaa ya kutaka kufun ga magoli mengi ndani ya mechi moja. Mayele akifunga goli moja kwenye mechi huwa anaridhika kabisa na huwa haonekani kama ana nia au lengo la kuongeza goli la pili kitu ambacho kinampunguzia credit ya kuwa...
  14. N

    Mahaba ya Pablo kwa Dennis Kibu yanatisha aisee

    Yule kijana sidhani kama ame recover vizuri kuchea mechi ngumu hivi, kama unampenda sana subiri mechi za kmc au geita gold umuweke huko siyo mamechi ya kimataifa haya Mr pablo kuwa serious bana kumbuka Cecafa zone wanaitegemea simba sc
  15. T

    Lini Kibu Denis atarejea tena uwanjani?

    Ni muda sasa huyu mwamba hajaonekana uwanjani na taarifa zake mpaka sasa hatuzijui anaendeleaje! Kukosekana kwake ni pengo kubwa sana kwa timu ya Taifa ya klabu, namaanisha wekundu wa Msimbazi Simba.
  16. OKW BOBAN SUNZU

    Takwimu za Kibu D Vs Mayele zinatia uchungu

    umefika wakati maji yameanza kujitenga na mafuta 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
  17. GENTAMYCINE

    Wale Wanasimba SC na wana Yanga SC mliokuwa 'mkinishambulia' JF nilipokuwa 'nikimsifia' Kibu Denis kuwa ni Hazina Kubwa mpo wapi leo?

    Kudadadeki GENTAMYCINE sijawahi Kumpenda na Kumsifia Mchezaji Mbovu au Mchezaji ambaye hafanyi kile nilichomsifu nacho. Nikisema au Nikichambua huwa nakuwa nina uhakika kwani hata huo Mpira wenyewe naujua na isitoshe nimeucheza vile vile tena katika Ngazi zote Muhimu za awali Mashuleni, Mtaani...
  18. I

    Kwa mshambuliaji aina ya Kibu Denis unaonyesha kwasababu gani Simba wanapata tabu kupata matokeo.

    Mshambuliaji huyo nimekua nikimfatilia kwa muda mrefu sasa kwenye mechi mbalimbali. Amekua akianza asilimia kubwa sana ya game za simba msimu huu huku mchango wake kwenye upande wa ushambuliaji umekua ni hafifu, uwezo wake hauendani na jinsi wanasimba wanategemea kutoka kwa mchezaji wao hasahasa...
  19. SankaraBoukaka

    Aina ya uchezaji wa Kibu Denis na Morrison hauna msaada kwa Simba yenye njaa na mataji

    Simba kama moja ya klabu kubwa Afrika inahitaji kuwa na wachezaji wenye mwendelezo mzuri wa perfomance kiwanjani ili idumu kwenye hadhi na nafasi yake. Tokea msimu huu 2021/22 umeanza imeonekana kwamba Kibu Denis na Bernard Morrison wameingia kwenye kikosi cha kwanza. Ni wachezaji wazuri sana...
Back
Top Bottom