CRDB Bank Plc is a commercial bank in Tanzania. It is licensed by the Bank of Tanzania, the central bank and national banking regulator. As of 31 December. 2018, the bank was reporting Total Assets of TZS 6.0 Trillion and Total Deposits of TZS 4.7 Trillion.
Reporting to: Head of Business Development – CIC
Location: CRDB Bank Plc Insurance Broker
Job Summary
The Purpose of the job is to be responsible for analyzing data and assessing risk using statistical models. Design and price insurance policies and use advanced statistics and modelling to...
Position: Claims Specialist - CIC (2288)
Reporting to: Head of Operations – CIC
Location: CRDB Bank Plc Insurance Broker
Job Summary
The purpose of the job is to provide and manage the claims strategic interface across all aspects of the business. The person will be responsible for handling...
Position: Head of Business Development - CIC (2286)
Reporting to: Managing Director – CIC
Location: CRDB Bank Plc Insurance Broker
Job Summary
The Purpose of the job is to be responsible for proactively responding to identified business opportunities for all lines of business. To provide...
Bank ya pili katika utengenezaji faida nchini imeamua kurejea Riba yao ya awali wanayotoa mikopo Kwa baadhi ya watu, kutoka asilimia 13% iliyopunguzwa muda si mrefu Hadi asilimia 16%.
Hayo yamenitokea baada ya kujaribu kutafuta Mkopo katika bank hiyo, huku wakiniambia mwezi huu tarehe 15 ndo...
Asalamaleko,
Baada ya kufurahia kumbukumbu ya kufufuka kwa Bwana wetu Yesu Kristo aliye hai, Ni wazi dhahiri sasa Dunia inatambua kuwa tupo chungu cha 21,Inshallah wiki ijayo pia tutasheherekea na kula ubwabwa pia.
Sasa nirudi kwenye mada, CRDB bank hizi meseji mnazotutumia wateja wenu kila...
Dar es Salaam 12 Machi 2023 – Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo ametoa rai kwa vijana na wanawake kote nchini kuchangamkia programu ya uwezeshaji kiuchumi iliyozinduliwa na Benki ya CRDB kwa kushirikiana na Tume ya TEHAMA (ICTC), na Tume ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) kuboresha bunifu zao za...
Mkuu wa mkoa wa Arusha, John Mongella amezitaka taasisi mbalimbali kuhakikisha kunakuwepo na uwiano sawa wa jinsia kati ya wanaume na wanawake ili kuwepo kwa usawa mahala pa kazi.
Ameyasema hayo jijini Arusha wakati akizungumza na wadau mbalimbali wa Benki ya CRDB walipokutana katika chakula...
Wakazi wa Moshi mkoani Kilimanjaro wameonekana kuipokea vyema promosheni ya “Benki ni SimBanking” ikiwa ni sehemu ya jitihada za Benki ya CRDB kuongeza ujumuishi wa Watanzania kwenye huduma za kibenki. Wakazi hao waliojitokeza kwa wingi katika uzinduzi wa promosheni hiyo mkoani Moshi walionyesha...
Tume ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC) kwa kushirikiana na Shirikisho la Vyama vya Ushirika Tanzania (TFC) wameandaa mkutano maalum wa wadau wa sekta ya ushirika unaotarajiwa kufanyika Februari 27, 2023, katika ukumbi wa mikutano wa Makao Makuu ya Benki ya CRDB.
Taarifa hiyo imetolewa na...
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mohamed Mchengerwa (katikati) akirusha mpira juu kuashiria kuanza kwa mchezo wa fainali kati ya Dar es salaam na Unguja (Wanawake) wa mashindano ya CRDB Bank Taifa Cup yaliyofanyika mwishoni mwa wiki katika viwanja vya Bandari Jijini Tanga. Watatu Kulia ni...
Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Omary Mgumba (katikati) akifurahi jambo na Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Benki ya CRDB, Tully Esther Mwambapa (wanne kulia) wakati wa ufunguzi rasmi wa Mashindano ya taifa ya mpira wa kikapu 2022 (CRDB Bank Taifa Cup), yaliyoanza leo kwenye uwanja wa Bandari jijini Tanga na...
Hans Macha.
Tanzania’s leading banking group, CRDB Bank Plc, has returned impressive gains to shareholders and proved to be one of the best performing stocks on the Dar es Salaam Stock Exchange.
Among these fortunate shareholders are the renowned Rajabali brothers and Hans Macha, a reclusive...
Job Title: Relationship Manager; Digital (2 Post)
Reporting to: Senior Manager-Transanctional Banking
Location: Head Office
Job Description
Responsible for business growth and sales of digital solutions to clients including Government, Corporate, Institutions, and other business segments in...
Reporting line- Manager; Server & Storage
Location- Head Office
Job Summary
To ensure smooth day-to-day operations of all servers, storage and systems by being a subject matter expert in the Server and Storage area and driving the evolution of technologies including but not limited to server...
Yaani tulihama bank yetu pendwa ya wananchi tukitegemea huduma zenu no professional and timely lakini baada ya kupata wateja wengi mmekuwa mzigo. Mtu unakaa masaa matatu kutoa au kuweka hela tena katikati ya week.
Ingekuwa Jumatatu tungesema sawa lakini J5, Alhamis na Ijumaa foleni ndefu...
Habari wana JF
Nimeshangazwa na bank hii pale nilipoenda kufungua bank akaunt ya kikampuni changu kidogo nikaambiwa nilipie 22k Kama ada ya brela ku-certify kampuni yangu.
Kitu hiki kimenishangaza sana kwani katika vielelezo vinavyohitajika ili kufungua bank akaunt ya kampuni moja wapo ni...
Habari watafutaji wa jukwaa naomba kufahamu kama kuna mtu anafahamu taasisi au kampuni inayohusika katika kutoa semina za mafunzo kazini za wafanyakazi wa ma bank kama, tellers, wahasibu, mapokezi, ma afisa mikopo n.k.
Iko moja naifahamu inaitwa AFFLUENCE TRAINING LTD na nimeshiriki semina zao...
ROLE SUMMARY
The role holder will drive forward and deliver outcome-focused digital and systems change across the organisation. The Delivery Manager will lead on the delivery of all digital development as well as technical systems development to support CRDBs business objectives. They will work...
Niende moja kwa moja kwenye mada utaratibu mpya mliouleta kwa wakopaji ambao ni watumishi wa umma unakera kumbukeni mtu anakuja kukopa kwa sababu mbalimbali ikiwemo na maradhi mfamo leo hii miye mtu ana mgonjwa inaitajika pesa anaona ngoja nikakope CRDB niweze msaidia mgonjwa wangu anakuja kwenu...
CRDB ilikuwa Bank ya serikali lakini ikabinafsishwa GM akiwa huyo Kimei au John Rubambe sikumbuki vizuri
Tulikuwa pia na Benki ya Nyumba THB, Benki ya Posta TPB, Benki ya Rasilimali TIB, Benki ya Biashara NBC na Benki Kuu BoT
Mwigullu Nchemba hebu turejeshee THB tafadhali
Na wewe Bashe acha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.