crdb bank

CRDB Bank Plc is a commercial bank in Tanzania. It is licensed by the Bank of Tanzania, the central bank and national banking regulator. As of 31 December. 2018, the bank was reporting Total Assets of TZS 6.0 Trillion and Total Deposits of TZS 4.7 Trillion.

View More On Wikipedia.org
  1. Jamii Opportunities

    Actuarial at CRDB Bank

    Reporting to: Head of Business Development – CIC Location: CRDB Bank Plc Insurance Broker Job Summary The Purpose of the job is to be responsible for analyzing data and assessing risk using statistical models. Design and price insurance policies and use advanced statistics and modelling to...
  2. Jamii Opportunities

    Claims Specialist - CIC at CRDB Bank

    Position: Claims Specialist - CIC (2288) Reporting to: Head of Operations – CIC Location: CRDB Bank Plc Insurance Broker Job Summary The purpose of the job is to provide and manage the claims strategic interface across all aspects of the business. The person will be responsible for handling...
  3. Jamii Opportunities

    Head of Business Development - CIC at CRDB Bank

    Position: Head of Business Development - CIC (2286) Reporting to: Managing Director – CIC Location: CRDB Bank Plc Insurance Broker Job Summary The Purpose of the job is to be responsible for proactively responding to identified business opportunities for all lines of business. To provide...
  4. U

    CRDB Bank yaondoa rasmi Riba ya Mkopo ya 13% na Sasa ni 16%

    Bank ya pili katika utengenezaji faida nchini imeamua kurejea Riba yao ya awali wanayotoa mikopo Kwa baadhi ya watu, kutoka asilimia 13% iliyopunguzwa muda si mrefu Hadi asilimia 16%. Hayo yamenitokea baada ya kujaribu kutafuta Mkopo katika bank hiyo, huku wakiniambia mwezi huu tarehe 15 ndo...
  5. Mfilisiti

    CRDB Bank meseji zenu zinakera

    Asalamaleko, Baada ya kufurahia kumbukumbu ya kufufuka kwa Bwana wetu Yesu Kristo aliye hai, Ni wazi dhahiri sasa Dunia inatambua kuwa tupo chungu cha 21,Inshallah wiki ijayo pia tutasheherekea na kula ubwabwa pia. Sasa nirudi kwenye mada, CRDB bank hizi meseji mnazotutumia wateja wenu kila...
  6. B

    Waziri Mkuu awataka vijana na wanawake kuchangamkia programu ya Imbeju ya benki ya CRDB

    Dar es Salaam 12 Machi 2023 – Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo ametoa rai kwa vijana na wanawake kote nchini kuchangamkia programu ya uwezeshaji kiuchumi iliyozinduliwa na Benki ya CRDB kwa kushirikiana na Tume ya TEHAMA (ICTC), na Tume ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) kuboresha bunifu zao za...
  7. B

    RC Mongella azitaka taasisi mbalimbali kuhakikisha kunakuwepo na uwiano wa kijinsia mahala pa kazi

    Mkuu wa mkoa wa Arusha, John Mongella amezitaka taasisi mbalimbali kuhakikisha kunakuwepo na uwiano sawa wa jinsia kati ya wanaume na wanawake ili kuwepo kwa usawa mahala pa kazi. Ameyasema hayo jijini Arusha wakati akizungumza na wadau mbalimbali wa Benki ya CRDB walipokutana katika chakula...
  8. B

    “Benki ni SimBanking” kuongeza ujumuishi wa huduma za fedha, Moshi

    Wakazi wa Moshi mkoani Kilimanjaro wameonekana kuipokea vyema promosheni ya “Benki ni SimBanking” ikiwa ni sehemu ya jitihada za Benki ya CRDB kuongeza ujumuishi wa Watanzania kwenye huduma za kibenki. Wakazi hao waliojitokeza kwa wingi katika uzinduzi wa promosheni hiyo mkoani Moshi walionyesha...
  9. B

    TCDC yawakaribia wadau Sekta ya Ushirika kujadili na kuweka mikakati ya kukuza Sekta hiyo

    Tume ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC) kwa kushirikiana na Shirikisho la Vyama vya Ushirika Tanzania (TFC) wameandaa mkutano maalum wa wadau wa sekta ya ushirika unaotarajiwa kufanyika Februari 27, 2023, katika ukumbi wa mikutano wa Makao Makuu ya Benki ya CRDB. Taarifa hiyo imetolewa na...
  10. B

    Fainali ya CRDB bank taifa cup jijini Tanga

    Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mohamed Mchengerwa (katikati) akirusha mpira juu kuashiria kuanza kwa mchezo wa fainali kati ya Dar es salaam na Unguja (Wanawake) wa mashindano ya CRDB Bank Taifa Cup yaliyofanyika mwishoni mwa wiki katika viwanja vya Bandari Jijini Tanga. Watatu Kulia ni...
  11. B

    CRDB Bank Taifa Cup 2022 yafunguliwa Tanga

    Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Omary Mgumba (katikati) akifurahi jambo na Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Benki ya CRDB, Tully Esther Mwambapa (wanne kulia) wakati wa ufunguzi rasmi wa Mashindano ya taifa ya mpira wa kikapu 2022 (CRDB Bank Taifa Cup), yaliyoanza leo kwenye uwanja wa Bandari jijini Tanga na...
  12. L

    Dar es Salaam-based multimillionaire Hans Macha gains $1.5 million from stake in CRDB Bank

    Hans Macha. Tanzania’s leading banking group, CRDB Bank Plc, has returned impressive gains to shareholders and proved to be one of the best performing stocks on the Dar es Salaam Stock Exchange. Among these fortunate shareholders are the renowned Rajabali brothers and Hans Macha, a reclusive...
  13. Jamii Opportunities

    Relationship Manager; Digital at CRDB Bank

    Job Title: Relationship Manager; Digital (2 Post) Reporting to: Senior Manager-Transanctional Banking Location: Head Office Job Description Responsible for business growth and sales of digital solutions to clients including Government, Corporate, Institutions, and other business segments in...
  14. Jamii Opportunities

    Senior Specialist; IT Infrastructure at CRDB Bank

    Reporting line- Manager; Server & Storage Location- Head Office Job Summary To ensure smooth day-to-day operations of all servers, storage and systems by being a subject matter expert in the Server and Storage area and driving the evolution of technologies including but not limited to server...
  15. muzi

    CRDB Bank Moshi huduma ni mbovu

    Yaani tulihama bank yetu pendwa ya wananchi tukitegemea huduma zenu no professional and timely lakini baada ya kupata wateja wengi mmekuwa mzigo. Mtu unakaa masaa matatu kutoa au kuweka hela tena katikati ya week. Ingekuwa Jumatatu tungesema sawa lakini J5, Alhamis na Ijumaa foleni ndefu...
  16. K

    CRDB Bank, huu ni wizi wa waziwazi

    Habari wana JF Nimeshangazwa na bank hii pale nilipoenda kufungua bank akaunt ya kikampuni changu kidogo nikaambiwa nilipie 22k Kama ada ya brela ku-certify kampuni yangu. Kitu hiki kimenishangaza sana kwani katika vielelezo vinavyohitajika ili kufungua bank akaunt ya kampuni moja wapo ni...
  17. Sangu Jr

    Semina za fedha

    Habari watafutaji wa jukwaa naomba kufahamu kama kuna mtu anafahamu taasisi au kampuni inayohusika katika kutoa semina za mafunzo kazini za wafanyakazi wa ma bank kama, tellers, wahasibu, mapokezi, ma afisa mikopo n.k. Iko moja naifahamu inaitwa AFFLUENCE TRAINING LTD na nimeshiriki semina zao...
  18. Jamii Opportunities

    Digital Delivery Manager at CRDB Bank

    ROLE SUMMARY The role holder will drive forward and deliver outcome-focused digital and systems change across the organisation. The Delivery Manager will lead on the delivery of all digital development as well as technical systems development to support CRDBs business objectives. They will work...
  19. REJESHO HURU

    CRDB Bank badilikeni

    Niende moja kwa moja kwenye mada utaratibu mpya mliouleta kwa wakopaji ambao ni watumishi wa umma unakera kumbukeni mtu anakuja kukopa kwa sababu mbalimbali ikiwemo na maradhi mfamo leo hii miye mtu ana mgonjwa inaitajika pesa anaona ngoja nikakope CRDB niweze msaidia mgonjwa wangu anakuja kwenu...
  20. J

    Kuna haja ya kurudisha Tanzania Housing Bank (THB) na kuichukua CRDB iwe ya Serikali kwa 100%

    CRDB ilikuwa Bank ya serikali lakini ikabinafsishwa GM akiwa huyo Kimei au John Rubambe sikumbuki vizuri Tulikuwa pia na Benki ya Nyumba THB, Benki ya Posta TPB, Benki ya Rasilimali TIB, Benki ya Biashara NBC na Benki Kuu BoT Mwigullu Nchemba hebu turejeshee THB tafadhali Na wewe Bashe acha...
Back
Top Bottom