Ni vitu gani nizingatie nikiwa nanunua router kwa ajili ya matumizi ya ofisi kwa wastani wa watumiaji 300?
Naomba msaada ni jinsi gani naweza kuziona hizo specification.
Habari wakuu.
Nilikua nazunguka mtandaoni kutafuta gaming laptop mpya. Katika kutafuta nilikutana na gaming laptops brand ya Mechrevo.
Kilichonishangaza niliona kuwa zinaonekana kuwa bei nafuu zaidi kuliko laptops za brands nyingine zilizo na specifications sawa. Kuna mtu yeyote amesikia...
Habari wadau, kuna simu ya iphone nataka niinunue kwa mtu kwa hela ndogo ipo network locked ila anaitumia kwa gevey sim, hivi gevey sim haina shida? Na je kama sitaki kutumia gevey inawezekana kui unlock? Asanteni sana.
Kama kichwa hapo juu natamani sana maelezo ya moja kwa moja sio mzuri sana kwenye kuchagua kama unaona ushawahi pata mashine nzuri kwa hiyo budget unaweza share nasi nipo mbeya kwa mwenyeji itakuwa vizuri ukanipa location napata wapi mashine nzuri.
Habari wakuu,natumia Tv aina ya Mr Uk juzi jioni nimerudi nyumbani nawasha Tv nakuta nusu ya juu kwenye screen ya Tv mwanga umefifia kidogo(japo mpaka mtu uwe makinj sana ndiyo utaweza kugundua)..je hili tatizo Itakuwa ni nini?na je ni jinsi gani ya kulitatua?
Ukiangia hiyo picha niliyoweka hapa...
Hello habari zenu,kuna simu yangu imeharibika haiwaki kabisa nahitaji kuzipata picha na documents zangu, naomba mnijuze njia ipi nitumie nizirudishe maana sikusave kwenye Google Drive.
Mambo vipi wakuu nataka kununua simu ya nokia 6.1 plus kutoka ali express ni refubrished kwa wale wataalamu hii kibongo inaweza piga kazi vizuri upande wa mtandao mawazo yenu tafadhali.
Habari za weekend wakuu...
Juzi kati nilikumbwa na tatizo la virus kweny home desktop, ni malware ambao wanaencrypt files na hizo files to be inaccessible mpaka pale utakapo lipa kiasi fulan cha pesa (ransom) ili wakupe decryption tool na unique ID. Na files zote ambazo zimekuwa enrcypted...
BLACKVIEW TABLETS
Wakuu naomba kwa anaefahamu hizi tablets za blackview hasa blacview tab 9. hapa namaanisha ubora wake, durability yaan uimara, touch yake kama inadumu na mambo mengine.
Habari za siku wanajamii
Kama ilivyo kawaida ya jukwaa pendwa la teknolojia ambapo huwa tunaelekezana mambo mbalimbali yanayoendelea katika ulimwengu huu wa sayansi.
Katika pitapita zangu kwenye kakimeo kangu ka tecno hatimae kuna sehemu nimekuta kuna setting yenye kusomeka VPN
Na ukifungua...
Habari wadau wa Jf
Wakuu nahitaji msaada wa Application ya kutumia kurekodia video na clips kwenye simu
Nahitaji App ambayo kutakua na uwezekano wa kurekodi video ya dakika mbili ila ujazo wa mb uwe angalau mb10 kushuka chini
Maana kwa kutumia video recorder ya simu aisee si mchezo video ya...
Salamu sana kwenu JF experts na sisi wengine ma newbies.
Najichanga bajeti alau niwe na around 350k hivi. Kwa sasa imebakia kidogo tu ili itimie hiyo bajeti.
UHITAJI ni kwamba napenda kujifunza graphics hususani video editing na design mbalimbali kwa kutumia programs za Photoshop...
Habari za wakati huu wakuu
Pc yangu imekumbwa na tatizo la kushindwa kuwaka. Nikibonyeza power button fen ina zunguka tu lakini screen haiwaki. Kabla ya hili tatizo ilikuwa inatabia ya kujizima nyenyewe, ila nikikaa baada ya mda nikiiwasha inawaka.
Mwanzo nilijua tatizo ni betry nikanunua...
Habari za wakati huu ndugu zangu wa humu JamiiForums.
Kulikuwa na uhalali gani wa Chief Mkwawa kutambulika kama "shujaa"? Kamwe hakuna askari anayeweza kuitwa shujaa kwa kuogopa adui kisha kujiua mwenyewe.
Mbona Muamar Gadaffi wa Libya na Saddam Hussein wa Iraq hawakujiua kabla ya kukamatwa...
Habarini Wanajamvi.
Naomba Msaada wa Maana ya Specifications ya Maneno haya kwenye Hizi Screen za Kisasa (TVs).
1. Smart
2. Smart uhd 4k
3. Smart Android Uhd 4k
Ahsanteni.Chief-Mkwawa mchango wako utanifaa Mkuu
Habari wana JF,
Mimi nina pc yangu kwa wale watalamu wa PC game za mpira kwa detail za PC yangu hii je naweza run pes 18 hata kwa low setting naomba wenye maujuzi wanambieee kuhusu hii.
Wakuu habari na pole na majukumu kwa mara nyingine tena narudi kwenu kwa mafundi na wajuzi wa IT.
Nna simu aina ya redmi note5 chinese rom yenye android ver.9 muiu10, iyo simu nlirestore kwa bahati mbaya na password za account ya mi cloud nimezisahau na pia namba ya simu nlotumia kutengenezea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.