Gaming laptops brand ya Mechanical revolution (Mechrevo)

Elon Mzebuluni

JF-Expert Member
Jan 22, 2016
207
114
Habari wakuu.

Nilikua nazunguka mtandaoni kutafuta gaming laptop mpya. Katika kutafuta nilikutana na gaming laptops brand ya Mechrevo.

Kilichonishangaza niliona kuwa zinaonekana kuwa bei nafuu zaidi kuliko laptops za brands nyingine zilizo na specifications sawa. Kuna mtu yeyote amesikia kuhusu brand hii ya gaming laptops za Mechanical revolution (Mechrevo) hapo awali (mimi sijasikia).

kuna mtu anaweza kunisaidia kutafiti kompyuta hizi za mkononi ili kuona kama ni nzuri au la? ubora , upataji moto wakati wa matumizi makubwa upoje, kwa mwenye uzoefu au aliyewahi kutumia brand hii naomba maelezo zaidi.

Sina uhakika wa kuziamini kwa sababu ni za bei nafuu na sijawahi kuzisikia hapo awali.

Gaming Laptops niliyokutana nayo ilikua na specifications zifuatazo kwa bei ya tsh 1.3M pamoja na shipping.

Processor: Ryzen 5 6600H
GPU: RTX4050 6GB
RAM: 16 GB DDR 5 4800 MHz
Storage: 512 GB SSD PCle 3.0
Screen size: 15.6" FHD 165HZ 100%SRGB
 
Ulipita madukani au Facebook na Instagram au AliExpress au eBay au amazon au Alibaba?
 
Habari wakuu.

Nilikua nazunguka mtandaoni kutafuta gaming laptop mpya. Katika kutafuta nilikutana na gaming laptops brand ya Mechrevo.

Kilichonishangaza niliona kuwa zinaonekana kuwa bei nafuu zaidi kuliko laptops za brands nyingine zilizo na specifications sawa. Kuna mtu yeyote amesikia kuhusu brand hii ya gaming laptops za Mechanical revolution (Mechrevo) hapo awali (mimi sijasikia).

kuna mtu anaweza kunisaidia kutafiti kompyuta hizi za mkononi ili kuona kama ni nzuri au la? ubora , upataji moto wakati wa matumizi makubwa upoje, kwa mwenye uzoefu au aliyewahi kutumia brand hii naomba maelezo zaidi.

Sina uhakika wa kuziamini kwa sababu ni za bei nafuu na sijawahi kuzisikia hapo awali.

Gaming Laptops niliyokutana nayo ilikua na specifications zifuatazo kwa bei ya tsh 1.3M pamoja na shipping.

Processor: Ryzen 5 6600H
GPU: RTX4050 6GB
RAM: 16 GB DDR 5 4800 MHz
Storage: 512 GB SSD PCle 3.0
Screen size: 15.6" FHD 165HZ 100%SRGB
Hii laptop ni ya kazi gani mkuu? Maana sijawahi kusikia jina kama hilo
 
Picha yake
Screenshot_20240414_095836_AliExpress.jpg
 
Angalia kwanza bei vizuri soma na description, sometime unaandikiwa 1.3M bei ila wakati wa kununua unakuta ni 2M, ila ipo version ya 1.3M bila Gpu ungeweka na link ingekuwa vizuri.
 
Habari wakuu.

Nilikua nazunguka mtandaoni kutafuta gaming laptop mpya. Katika kutafuta nilikutana na gaming laptops brand ya Mechrevo.

Kilichonishangaza niliona kuwa zinaonekana kuwa bei nafuu zaidi kuliko laptops za brands nyingine zilizo na specifications sawa. Kuna mtu yeyote amesikia kuhusu brand hii ya gaming laptops za Mechanical revolution (Mechrevo) hapo awali (mimi sijasikia).

kuna mtu anaweza kunisaidia kutafiti kompyuta hizi za mkononi ili kuona kama ni nzuri au la? ubora , upataji moto wakati wa matumizi makubwa upoje, kwa mwenye uzoefu au aliyewahi kutumia brand hii naomba maelezo zaidi.

Sina uhakika wa kuziamini kwa sababu ni za bei nafuu na sijawahi kuzisikia hapo awali.

Gaming Laptops niliyokutana nayo ilikua na specifications zifuatazo kwa bei ya tsh 1.3M pamoja na shipping.

Processor: Ryzen 5 6600H
GPU: RTX4050 6GB
RAM: 16 GB DDR 5 4800 MHz
Storage: 512 GB SSD PCle 3.0
Screen size: 15.6" FHD 165HZ 100%SRGB
Utalizwa mkuu, nimeamgalia seller mwenyewe anayeziuza mgeni, halafu hajauza hata piece moja, so probably huyo ni scammer.
Na hata hakuna PC ya hiyo company ilonunuliwa hapo.
 
link hii hapa mkuu
Assume mkuu ni kweli hii laptop ipo, bei sio mbaya, ila kuna Question mark nyingi sana kama alivyokwambia mdau hapo juu seller hajulikani, pia battery ya hio laptop ni around 40Wh ni battery ndogo sana kwa Cpu hio na hio gpu ina maana ukiwa unacheza games tegemea ikae na chaji kama nusu saa hivi mpaka lisaa limoja.

Kama unatumia kama desktop replacement na mda wote Utakua unaiacha kwenye charge hapo sawa.

Otherwise hapa Tz ukicheki vizuri zipo laptop nyingi za mtumba around hio bei na perfomance inayo karibiana.
 
Assume mkuu ni kweli hii laptop ipo, bei sio mbaya, ila kuna Question mark nyingi sana kama alivyokwambia mdau hapo juu seller hajulikani, pia battery ya hio laptop ni around 40Wh ni battery ndogo sana kwa Cpu hio na hio gpu ina maana ukiwa unacheza games tegemea ikae na chaji kama nusu saa hivi mpaka lisaa limoja.

Kama unatumia kama desktop replacement na mda wote Utakua unaiacha kwenye charge hapo sawa.

Otherwise hapa Tz ukicheki vizuri zipo laptop nyingi za mtumba around hio bei na perfomance inayo karibiana.
Sawa mkuu nimekupata vizuri, nimepata mwanga sana hususani kwenye uwezo wa kutunza chaji, naona chaguo zuri ni kutafuta ya mtumba inayo karibiana ufanisi kazi
 
Angalia kwanza bei vizuri soma na description, sometime unaandikiwa 1.3M bei ila wakati wa kununua unakuta ni 2M, ila ipo version ya 1.3M bila Gpu ungeweka na link ingekuwa vizuri.
Chief nataka nivute Lenovo T440p Nimeona Zina render nzuri NVDA GTX 710 Hivi itanifaa sana Kwa gaming

Naomba kujua duka nzuri iwe posta ama kariakoo dealer mzuri hata refurb nijibless mzee
 
Chief nataka nivute Lenovo T440p Nimeona Zina render nzuri NVDA GTX 710 Hivi itanifaa sana Kwa gaming

Naomba kujua duka nzuri iwe posta ama kariakoo dealer mzuri hata refurb nijibless mzee
Ah wapi, Gtx 710 kimeo mkuu,

Budget kiasi gani unayo mkuu?
 
Back
Top Bottom