Search results

  1. Janeth Thomson Mwambije

    Ushiriki kwenye uzinduzi wa kiwanda cha kuunganisha malori na tipa

    09/Mei/2024 Nilifanikiwa Kushiriki Katika Uzinduzi wa Kiwanda cha Malori Na Tipa, Kinachoitwa, "Saturn Corporation Limited", Kilichopo Wilaya Ya Kigamboni. Mgeni Rasmi Katika Uzinduzi Huo wa Kiwanda, Alikuwa, Mheshimiwa Rais. Dkt. Samia Suluhu Hassan. Ambaye Aliwaelekeza Wenye Kiwanda...
  2. Janeth Thomson Mwambije

    Matembezi kwenye kata ya kivule

    07. 05. 2024 Nilifanikiwa Kutembelea Ofisi Ya Afisa Mtendaji wa Kata Ya Kivule, Ili Kujua Mipango Ya Maendeleo Inayoendelea Kwenye Kata Ya Kivule, Pamoja Na Mipango Waliyonayo Katika Utatuaji wa Changamoto, Kwenye Kata Ya Kivule. Katika Matembezi Haya, Niliweza Kujua Mipango Ya Maendeleo...
  3. Janeth Thomson Mwambije

    Matembezi ya kuwatembelea vijana/wananchi wenzangu wa wilaya ya Ilala

    Nilifanikiwa Kutembelea Baadhi Ya Wananchi Wa Wilaya Ya Ilala, Kutoka Kata Ya Kivule, Ili Kujua Maendeleo Ya Wananchi wa Wilaya Yetu Ya Ilala. Katika Matembezi Haya, Nilifanikiwa Kujua Mafanikio Yaliyofikiwa Na Serikali Ya Chama Cha Mapinduzi Kwa Wananchi Wake, Changamoto, Pamoja Na Mapendekezo...
  4. Janeth Thomson Mwambije

    Heri ya sikukuu ya wafanyakazi, nyongeza za mishahara ni msingi wa mafao Bora

    Kulingana Na Historia Ndogo Kutoka Kwa Walimu Wetu wa Historia... Sikukuu Ya Wafanyakazi Ni Matunda Ya Mapinduzi Yaliyochochewa na Unyonywaji (Excessive Exploitation) Waliopitia Wafanyakazi Wakiwa Kazini, Mfano; Kufanya Kazi Kwa Saa Nyingi Na Kulipwa Kidogo, Kufanya Kazi Katika Mazingira...
  5. Janeth Thomson Mwambije

    Nilitembelea ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Ilala

    Mnamo Siku Ya Jana, Nilifanikiwa Kutembelea Ofisi Ya Mkuu wa Wilaya Ya Ilala, Mhe. Edward Jonas Mpogolo, Ili Kujua Machache Kuhusu Maendeleo Ya Wilaya Yetu Ya Ilala. Nilifanikiwa Kutambua Uendelezwaji na Uanzishwaji wa Miradi Mbalimbali Ya Wilaya Ya Ilala, Zikiwemo Shule, Vituo Vya Afya...
  6. Janeth Thomson Mwambije

    Historia ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar

    Muungano wa Tanganyika na Zanzibar Ulisainiwa Tarehe 22. Aprili. 1964 Na Waasisi, Mwl. Julius K. Nyerere Na Sheikh. Abeid Amani Karume, Na Kupitishwa Na Bunge Tarehe 26. Aprili. 1964. Mnamo Tarehe 27. Aprili.1964, Viongozi wa Nchi Zote Mbili (Mwl. Julius K. Nyerere na Sheik. Abeid Amani Karume)...
  7. Janeth Thomson Mwambije

    Wapinzani wana nia ya kuwagawa wananchi suala la Muungano

    Lengo La Wapinzani Wanaoipinga CCM (Chama Cha Mapinduzi) Ni Kuwapeleka Wananchi, Zanzibar, Kwa Hati Ya Kusafiria (Passport) 🚮 Huku Ni Kuwagawa Wananchi Huku Ni Kupoteza Uhuru wa Wananchi Huku Ni Kuwatesa Wananchi, Hasa Wafanyabiashara Wanaotegemea Kufuata Mizigo Yao Visiwani Pia soma Waziri...
  8. Janeth Thomson Mwambije

    Nichukue nafasi hii kuwakaribisha CCM

    Nichukue Nafasi Hii Kuwakaribisha Wananchi Walio Ndani na Nje Ya Nchi, Kuendelea Kujiunga Na Chama Cha Mapinduzi Kuna Faida Kuwa Chama Cha Mapinduzi… Miongoni Mwa Faida Hizo, Ni; Kukujenga Kuwa Na Uwezo wa Kujiamini Kukusaidia Kuongeza Ujuzi wa Akili na Vitendo, Kuhusu Mambo Mbalimbali...
  9. Janeth Thomson Mwambije

    Nilishiriki mapokezi ya ndege boeing 737 - MAX 9

    Miaka Nenda, Miaka Mingapi???
  10. Janeth Thomson Mwambije

    Nilishiriki mapokezi ya ndege boeing 737 - MAX 9

    Faida Ya Ndege Si Ya Siku Moja…… Na Biashara Yoyote Ni Lazima Uipe Muda Ikue
  11. Janeth Thomson Mwambije

    Maboresho ya sekta ya elimu yanaendelea kwenye shule za kata

    Maboresho Yanaendelea ✍️ sho Yana
  12. Janeth Thomson Mwambije

    Maboresho ya sekta ya elimu yanaendelea kwenye shule za kata

    Mnamo Oktoba 2023, Nilifanikiwa Kuhudhuria Mahafali Ya Kidato Cha Nne, Ya Shule Ya Upili, Zavara. Katika Mahafali Haya, Mgeni Rasmi Alikuwa Mbunge wa Viti Maalumu Anayewakilisha Wafanyakazi, Mhe. Janejelly James Ntate, Ambaye Alihusia na Kuwatia Moyo Wanafunzi Waliohitimu Kidato Cha Nne...
  13. Janeth Thomson Mwambije

    Nilishiriki mapokezi ya ndege boeing 737 - MAX 9

    Nilifanikiwa Kushiriki Kwenye Mapokezi Ya Ndege Mpya (Boeing 737 - Max 9) Ya Shirika La Air Tanzania (Air Tanzania Company Limited) Ambapo Mgeni Rasmi Katika Mapokezi Hayo Alikuwa Waziri Mkuu, Mheshimiwa Kassim Majaaliwa, Kwa Niaba Ya Mheshimiwa Rais. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Kutokana na...
  14. Janeth Thomson Mwambije

    Kwanini mtu akiwa CCM mnamuita chawa?

    Kupinga kila kitu siyo kujenga hoja wala si kushawishi umati, ila ni kufanya uchochezi ✍️ Jambo lingine, kwanini kutukana mnaita kupinga kwa hoja? Kukejeli mnaita kupinga kwa hoja? Kudhalilisha mnaita kupinga kwa hoja? Mtu kuamini usichoamini, mnaita kukaririshwa? Mtu kuwa CCM mnaita...
  15. Janeth Thomson Mwambije

    Uongozi ni utayari na wito

    Kupitia Uongozi wa Viongozi Wetu, Tunajifunza Ushupavu na Hekima Kubwa Katika Kukabiliana na Mambo Ya Kijamii, Kitaifa, Kimataifa, na Mmoja mmoja. Tunajifunza Kuwa Uongozi Ni Kuwa Mfano Pale Ambapo Hauna Mfano. Hujui Nini Ufanye. Hujui Vipi Ukabiliane Tunajifunza Kuwa Uongozi Ni Kuwa Tayari...
  16. Janeth Thomson Mwambije

    Tazama kazi za Rais Samia

    Unaweza Ukawa Mgeni CCM Ila Usishindwe Kufahamu Kuwa Mheshimiwa Rais na Mwenyekiti wa CCM, Dkt. SSH, Ameitekeleza Ilani, Kwani; 1. Kaimarisha Demokrasia 2. Kazingatia Usawa wa Kijinsia 3. Kainua Sekta Ya Utalii 4. Ushirikiano Wake Kwenye Michezo Leo Hii Tuna Timu Za Ndani Zinazofanya Vizuri...
Back
Top Bottom