Nilitembelea ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Ilala

Apr 11, 2024
18
51
Mnamo Siku Ya Jana, Nilifanikiwa Kutembelea Ofisi Ya Mkuu wa Wilaya Ya Ilala, Mhe. Edward Jonas Mpogolo, Ili Kujua Machache Kuhusu Maendeleo Ya Wilaya Yetu Ya Ilala. Nilifanikiwa Kutambua Uendelezwaji na Uanzishwaji wa Miradi Mbalimbali Ya Wilaya Ya Ilala, Zikiwemo Shule, Vituo Vya Afya, Hospitali, Barabara, Miradi Ya Maji, Umeme, Masoko, Na Kadhalika, Ambayo Pia, Ni Utekelezwaji wa Ilani Ya Chama Cha Mapinduzi.

Lakini Pia, Nilifanikiwa Kujua Mipango Mipya Inayotegemewa Kuanzishwa Na Serikali Ya Chama Cha Mapinduzi, Kwenye Awamu Ijayo, Ikiwemo;
  • Ujenzi wa Barabara Ya Juu "Fly Over", Kutoka Barabara Ya Jangwani Kwenda Magomeni
  • Ujenzi wa Barabara Za DMDP
  • Awamu Mpya Ya Ujenzi wa Barabara Ya Mwendokasi, Utaoanzia Gongo La Mboto - Chanika - Msongola
  • Ujenzi wa Masoko
  • Ujenzi wa Shule Zingine Za Kiingereza (English Medium)
  • ⁠Uendelezwaji wa Ujenzi wa Shule Zingine Za Sekondari (Ordinary Level), Na Za Sekondari Ya Juu (Advanced Level),
  • ⁠Na Mipango Mingine Kadhalika…

Ulikuwa Wakati Mzuri.

#KaziIendelee 🇹🇿
B2F8A0EE-B8CC-4731-97BD-B31D66A07432.jpeg
 
Mnamo Siku Ya Jana, Nilifanikiwa Kutembelea Ofisi Ya Mkuu wa Wilaya Ya Ilala, Mhe. Edward Jonas Mpogolo, Ili Kujua Machache Kuhusu Maendeleo Ya Wilaya Yetu Ya Ilala. Nilifanikiwa Kutambua Uendelezwaji na Uanzishwaji wa Miradi Mbalimbali Ya Wilaya Ya Ilala, Zikiwemo Shule, Vituo Vya Afya, Hospitali, Barabara, Miradi Ya Maji, Umeme, Masoko, Na Kadhalika, Ambayo Pia, Ni Utekelezwaji wa Ilani Ya Chama Cha Mapinduzi.

Lakini Pia, Nilifanikiwa Kujua Mipango Mipya Inayotegemewa Kuanzishwa Na Serikali Ya Chama Cha Mapinduzi, Kwenye Awamu Ijayo, Ikiwemo;
  • Ujenzi wa Barabara Ya Juu "Fly Over", Kutoka Barabara Ya Jangwani Kwenda Magomeni
  • Ujenzi wa Barabara Za DMDP
  • Awamu Mpya Ya Ujenzi wa Barabara Ya Mwendokasi, Utaoanzia Gongo La Mboto - Chanika - Msongola
  • Ujenzi wa Masoko
  • Ujenzi wa Shule Zingine Za Kiingereza (English Medium)
  • ⁠Uendelezwaji wa Ujenzi wa Shule Zingine Za Sekondari (Ordinary Level), Na Za Sekondari Ya Juu (Advanced Level),
  • ⁠Na Mipango Mingine Kadhalika…

Ulikuwa Wakati Mzuri.

#KaziIendelee 🇹🇿View attachment 2977382
Pia itapendeza sana mkitenga maeneo ya viwanda vya kati ili kuhamaisha uwekezaji kwa ajili ya exporting
 
Mnamo Siku Ya Jana, Nilifanikiwa Kutembelea Ofisi Ya Mkuu wa Wilaya Ya Ilala, Mhe. Edward Jonas Mpogolo, Ili Kujua Machache Kuhusu Maendeleo Ya Wilaya Yetu Ya Ilala. Nilifanikiwa Kutambua Uendelezwaji na Uanzishwaji wa Miradi Mbalimbali Ya Wilaya Ya Ilala, Zikiwemo Shule, Vituo Vya Afya, Hospitali, Barabara, Miradi Ya Maji, Umeme, Masoko, Na Kadhalika, Ambayo Pia, Ni Utekelezwaji wa Ilani Ya Chama Cha Mapinduzi.

Lakini Pia, Nilifanikiwa Kujua Mipango Mipya Inayotegemewa Kuanzishwa Na Serikali Ya Chama Cha Mapinduzi, Kwenye Awamu Ijayo, Ikiwemo;
  • Ujenzi wa Barabara Ya Juu "Fly Over", Kutoka Barabara Ya Jangwani Kwenda Magomeni
  • Ujenzi wa Barabara Za DMDP
  • Awamu Mpya Ya Ujenzi wa Barabara Ya Mwendokasi, Utaoanzia Gongo La Mboto - Chanika - Msongola
  • Ujenzi wa Masoko
  • Ujenzi wa Shule Zingine Za Kiingereza (English Medium)
  • ⁠Uendelezwaji wa Ujenzi wa Shule Zingine Za Sekondari (Ordinary Level), Na Za Sekondari Ya Juu (Advanced Level),
  • ⁠Na Mipango Mingine Kadhalika…

Ulikuwa Wakati Mzuri.

#KaziIendelee 🇹🇿View attachment 2977382
Umekwenda kujipendekeza kwa wana CCM ili upatiwe uteuzi au tayari unao uteuzi? Watu wana shida nyingi na manufaa ya hiyo miradi haionekani. Tunajenga BRT kila siku lakini hakuna mabasi ya kutosha na usafiri huu umekuwa kero kubwa. CCM hamuoni kwamba mnakuwa chama cha watu kujitajirisha huku mamilioni wakibaki katika lindi la umaskini? Acheni uhuni huu!
 
Sasa unapost Kwa faida zetu kivipi yaani ngoja nikufafanulie... Ungepost fursa labda mfano nimeongea na mkuu wa wilaya kuhusu ujenzi wa shule utaanza tarehe fulani hivyo mafundi wajiandae kufanya tender tarehe fulani.. N. K

Hio ziara yako Ungepost kwenye mitandao yako binafsi mfano Facebook na kwenye ma group ya makada.. Forum hapa tunataka mada za kuumiza akili
 
Tembelea na wilaya ya Ubungo (sijui niite jimbo au wilaya) utuambie kinachoendelea maana kama Mbezi barabara mbovu maji bomba tumefunga dawasa kutufungulia hawataki yaani vurugu.
 
Hio ziara yako Ungepost kwenye mitandao yako binafsi mfano Facebook na kwenye ma group ya makada.. Forum hapa tunataka mada za kuumiza akili
kwamba Facebook ndio sehemu za kupost ziara?
Wewe kama hujaona FURSA mpaka hapa hilo ni tatizo lako na huenda upo Lindi huko vijijini. Ila sisi vijana wa Gmboto fursa zipo.
Kazi ni kwako kujiongeza tayar miradi hiyo hapo
 
Safi sana na kazi nzuri sana unaendelea kuifanya katika kukipigania chama na Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mama Samia Suluhu Hasssan mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge.
 
Safi sana na kazi nzuri sana unaendelea kuifanya katika kukipigania chama na Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mama Samia Suluhu Hasssan mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge.
Chaguo la Mungu, Mfariji wa Taifa na kinara wa haki Mama Dr Samia Suluhu Hassan mpaka 2030
 
Ziara yake itasaidia nini? Kwani yeye ni nani?
Kwa mwananchi wa kawaida wa wilaya ya Ilala akipita hapa akasoma atajua kinachoendelea ndani ya wilaya yake tofauti na aliye wilaya niliyoitaja hapo juu.

Huyu kwangu nimemchukulia kama mwandishi wa habari cheo chake mimi hakinihusu.
 
Mnamo Siku Ya Jana, Nilifanikiwa Kutembelea Ofisi Ya Mkuu wa Wilaya Ya Ilala, Mhe. Edward Jonas Mpogolo, Ili Kujua Machache Kuhusu Maendeleo Ya Wilaya Yetu Ya Ilala. Nilifanikiwa Kutambua Uendelezwaji na Uanzishwaji wa Miradi Mbalimbali Ya Wilaya Ya Ilala, Zikiwemo Shule, Vituo Vya Afya, Hospitali, Barabara, Miradi Ya Maji, Umeme, Masoko, Na Kadhalika, Ambayo Pia, Ni Utekelezwaji wa Ilani Ya Chama Cha Mapinduzi.

Lakini Pia, Nilifanikiwa Kujua Mipango Mipya Inayotegemewa Kuanzishwa Na Serikali Ya Chama Cha Mapinduzi, Kwenye Awamu Ijayo, Ikiwemo;
  • Ujenzi wa Barabara Ya Juu "Fly Over", Kutoka Barabara Ya Jangwani Kwenda Magomeni
  • Ujenzi wa Barabara Za DMDP
  • Awamu Mpya Ya Ujenzi wa Barabara Ya Mwendokasi, Utaoanzia Gongo La Mboto - Chanika - Msongola
  • Ujenzi wa Masoko
  • Ujenzi wa Shule Zingine Za Kiingereza (English Medium)
  • ⁠Uendelezwaji wa Ujenzi wa Shule Zingine Za Sekondari (Ordinary Level), Na Za Sekondari Ya Juu (Advanced Level),
  • ⁠Na Mipango Mingine Kadhalika…

Ulikuwa Wakati Mzuri.

#KaziIendelee View attachment 2977382
Habari. nafanya document za maendereo ya chama naomba nitafute kwa namba izi 0629251669
 
Back
Top Bottom