Janeth Thomson Mwambije
Member
- Apr 11, 2024
- 19
- 52
Lengo La Wapinzani Wanaoipinga CCM (Chama Cha Mapinduzi) Ni Kuwapeleka Wananchi, Zanzibar, Kwa Hati Ya Kusafiria (Passport) 🚮
- Huku Ni Kuwagawa Wananchi
- Huku Ni Kupoteza Uhuru wa Wananchi
- Huku Ni Kuwatesa Wananchi, Hasa Wafanyabiashara Wanaotegemea Kufuata Mizigo Yao Visiwani
- Waziri Jafo: Tanzania Bara kuingia Zanzibar kwa pasipoti ni kujirudisha nyuma
- Mbunge Mohamed Issa: Wanaotoka Tanzania Bara kwenda Zanzibar wawe na Passport
- Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na kero zake: Je, tuuvunje?