Search results

  1. K

    Info: 9077 Designation not found in your Organization

    Info: 9077 Designation not found in your Organization @ ina maana gani kwenye mfumo wa ess.utumishi.go.tz katika section ya Vacancy Transfer
  2. K

    Viambatanisho katika mfumo wa uhamisho (ess.utumishi.go.tz)

    Habari za Jumapili ndugu zangu wanajamii na wenzangu, Ninaomba kufahamu taratibu za kuomba uhamisho (transfer) kutoka Taasisi X kwenda Taasisi Y kupitia mfumo wa Utumishi (e-Utumishi). Je, kuna viambatanisho ambavyo vinahitajika kuambatanishwa na maombi? Na ikiwa ndivyo, ni viambatanisho gani...
  3. K

    Tafadhali TFF mwalikeni Sure Boy katika Timu ya Taifa

    Hakuna mchezaji aliye na uwezo kama Sure Boy ambaye anaweza kuleta umoja kwa Timu ya Taifa ya Tanzania AFCON. Tunaiomba TFF imwite Sure Boy na kumpa heshima anayostahili katika nchi hii. Watu wenye uwezo wa kushika dimba ni Sure Boy na Aucho tu. TFF, tafadhali mwalikeni Sure Boy, mwiteni Sure Boy.
  4. K

    Msaada: Bodi ya mikopo natokaje hapa kwenye demographic info?

    Naomba msaada wiki nzima sasa nimekwama kwenye demographic infro mtandao kila niki submit nashindwa kwenda mbele mfumo upo slow unashindwa kupokea data. Je, nifanyaje?
  5. K

    Mabavu na Ukatili wa wazazi/walezi wetu unatusaidia

    Habari, Hivi wazazi wangetumia democrasia ya kutupa fursa ya kuchagua kunywa uji au kuacha wengi tungekumbwa na magonjwa ya utapia mlo/Kwashiorkor na udumavu wa akili. Lakini walitumia nguvu kutulazimisha kunywa uji na imepelekea kuimarisha afya zetu na ukuaji Bora. Democrasia isiwe kigezo...
  6. K

    Call for proposal and Scholarship

    Habari Wana jukwaa naomba Uzi huu uwe Kwa ajili ya kupeana taarifa mbali mbali za Fund au Grant Kwa ajili ya proposal mbali mbali zinazo tangazwa na serikali au Taasisi mbali karibuni
  7. K

    Ushauri: Uboreshaji wa Shirika la Posta

    Asante sana wana jukwaa wenzangu bado tunatumia fursa hii ya Uhuru wa kujieleza kulingana na katiba yetu kwa kuzingatia maadili na mipaka ya Democracy. Leo napenda kujadili au kutoa mapendekezo kwa Serikali juu ya shirika letu la Posta Kabla ya kuendelea nitoe pongezi ya dhati kwa Serikali...
  8. K

    Mapendekezo kuhusu masoko ya Machinga

    Habari za majukumu ndugu zangu wa JamiiForums kwanza kabisa napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa ajili ya nguvu na afya tele na jinsi anavyo zidi kutupigani kwenye kanga hili la Covid 19 au UVIKO 19 wimbi la Tatu Pili nitoe pongezi kwa serikali ya Awamu ya Sita chini ya Mheshimiwa Rais Samia H...
  9. K

    SoC01 Fanya haya kama kila unachotaka kukianzisha hakimaliziki/hakifanikiwi

    Changamoto za maisha /mafaniko katika maisha zinatufanya kuanzisha vitu vingi lakini tunashindwa kuona mwisho wake au matunda yake/mafaniko kwa mawazo yetu Vitu vingi au mawazo mengi yanakufa kabla hatujaona mafaniko yake au mwisho wake mwema kwa mfano unaweza waza kuanzisha biashara lakini...
  10. K

    SoC01 Fursa tunazokosa sababu ya ukosefu wa Elimu ya msingi ya Matumizi ya Kompyuta(Computer)

    KOMPYUTA NI NINI? Kompyuta ni kifaa cha kielectroniki kinacho pokea Data ,kuzi hifadhi ,kuzichakata na kutupa majibu au taarifa, MFUMO WA KOMPYUTA NINI? Mfumo wa kompyuta ni muunganiko wa vifaa vya kompyuta,programu za kompyuta,data na mtumiaji ambazo kwa pamoja zinaweza kupokea...
  11. K

    SoC01 Shule maalumu za Sayansi kwa wanawake za Mama Samia Hassan Suluhu

    Kwanza napenda kumshukuru Mwenyezi MUNGU kwa ajili ya Rais wetu mpendwa Mama Samia Hassan Suluhu ambaye ni Rais wa Kwanza Mwanamke katika Taifa letu pendwa Tanzania na Afrika Mashariki. Pili nitoe pongezi zangu za dhati kwa upeo wake mkubwa na nia ya dhati ya kuendeleza nchi yetu pendwa...
  12. K

    SoC01 Ushauri: Kidato cha nne wanaopata Div 0 hadi 4 wapangiwe vyuo vya Ufundi moja kwa moja

    Kulingana na mabadiliko ya Uchumi na ukiangalia nchi yetu tangu awamu ya Tano tupo kwenye Sera ya viwanda,maendeleo ya viwanda yanakwenda sambamba na mambo yafuatayo 1:Miundo mbinu kama Barbara 2:Rasilimali watu 3:Malighafi Lakini naomba niweke mkazo kwenye rasilimali watu ,viwanda vinahitaji...
  13. K

    SoC01 Ushauri: Jinsi ya kuwasaidia wanawake waliotelekezwa na waume zao kulea watoto

    UTANGULIZI SMART MOTHER (SM) ,kabla ya kutafuta kwa kina ni jina gani zuri la kumpatia mama huyu ambaye anaangaika na kupambana hili motto wake awezi kupata mahitaji muhimu kama Elimu(Kwenda shule),chakula na mahitaji mengine,huyu ni mama ambaye yeye ndiye kichwa cha Familia anaye ongoza...
  14. K

    Michezo:Je Kesi ya Benard Morrison na Yanga Fc ndio ushindi tuliohaidiwa/ubingwa

    UTANGULIZI Hakika katika msimu huu ukiondoa matokeo mbalimbali na mafaniko waliyo yapata Klubu ya Simba na mwenendo mzima wa ligi kuu bara basi moja ya jambo ambalo limeshika sana katika vichwa vya wapenda soka mashabiki wa Simba na Yanga basi bila shaka ni sakata la kesi ya Benard Morrison na...
  15. K

    SoC01 Pendekezo: Ianzishwe Wakala wa Maendeleo ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano Vijijini

    UTANGULIZI TEHAMA au Teknolojia ya Habari na Mawasiliano ni mkusanyiko wa watu,vifaa vya kompyuta na mawasiliano,programu na data ambazo zinachakatwa na kutoa au kupata taarifa zinazo tumika katika nyanja mbalimbali. Maendeleo ya TEHAMA katika nchi yetu na Dunia yanazidi kuongezeka kwa sababu...
  16. K

    Njia bora ya upinzani kuingia madarakani mwaka 2025

    NJIA BORA YA UPINZANI KUINGIA MADARAKANI MWAKA 2025 Kwanza namshukuru mwenyewezi Mungu kwa kutujalia afya nzuri na Amani katika Nchi yetu pendwa ya Tanzania Tangua kuanzishwa kwa uchaguzi wa vyama vingi kama njia ya kuimarisha Demokrasia katika Nchi yetu baada ya kupata uhuru na kudumu katika...
  17. K

    SoC01 Ubinafsi ndio chanzo cha tatizo la Ajira

    Ongezeko la idadi kubwa ya vijana wanao maliza vyuo vikuu,vya kati na vyuo vya ufundi umepelekea kuleta change moto ya ukosefu wa ajira katika Taifa na Dunia Serikali na wadau mbalimbali ikiwemo mashirika yasiyo ya kiserikali wametoa na kuendelea kutoa mchango waho juu ya kukabiliana na tatizo...
Back
Top Bottom