Viambatanisho katika mfumo wa uhamisho (ess.utumishi.go.tz)

kipenseli2021

JF-Expert Member
Jul 17, 2021
832
783
Habari za Jumapili ndugu zangu wanajamii na wenzangu,

Ninaomba kufahamu taratibu za kuomba uhamisho (transfer) kutoka Taasisi X kwenda Taasisi Y kupitia mfumo wa Utumishi (e-Utumishi). Je, kuna viambatanisho ambavyo vinahitajika kuambatanishwa na maombi? Na ikiwa ndivyo, ni viambatanisho gani vinavyohitajika?

Pili, je, ni utaratibu gani unaofaa kufuatwa unapoandika barua ya maombi ya uhamisho (Transfer Application Letter)? Je, unaipeleka kwa mkuu wa kituo chako aweke maoni na unaipeleka kule unapo taka kuhamia ili naye aweke maoni au barua inakwenda moja kwa moja utumishi kupitia kwa taasisi x na Y na maoni yao wataweka kwenye mtandao.

Ahsanteni kwa ushirikiano wen
 
nauliza boss je kwenye barua ya kuomba uhamisho inapitia kwa mkuu wa idara ili aweke muhuli na maoni

Hakuna barua ya uhamisho, mambo ni online. Hizo attachments unaweka depending na aina ya uhamisho unaoomba. Je wewe unaomba aina ipi??

IMG_3165.jpg
 
Kwa mwenye kujua huu mfumo, ombi langu la uhamisho limefikia hapo sasa nini kinafuata baada ya hiyo status maana ilibadilika kwa hatua kama mbili hadi kufika hapo
 

Attachments

  • Screenshot_20240318-142821_Chrome.jpg
    Screenshot_20240318-142821_Chrome.jpg
    107.2 KB · Views: 13
  • Screenshot_20240318-142821_Chrome.jpg
    Screenshot_20240318-142821_Chrome.jpg
    107.2 KB · Views: 13
nauliza boss je kwenye barua ya kuomba uhamisho inapitia kwa mkuu wa idara ili aweke muhuli na maoni
Bado kwangu naona kama Utumishi wanafanya mchezo wa paka na panya. Haiwezekani maombi yanakaa karibu mwaka mzima kwa Mkuu wa Taasisi alafu Utumishi wanaona tu, sasa maana ya online ni kitu gani?

Iwapo suala la uhamisho ingekuwa unaituma online Utumishi kwanza alafu wao ndiyo wairudishe huku kwenye taasisi ingekuwa jambo la kheri.
Jiulize, je Utumishi wanafanya monitoring vp kwa watu wanaomba utumishi online alafu barua zao zinakaa muda mrefu bila kufanyiwa kazi na supervisor na wakuu wao wa taasisi?
 
Kwa mwenye kujua huu mfumo, ombi langu la uhamisho limefikia hapo sasa nini kinafuata baada ya hiyo status maana ilibadilika kwa hatua kama mbili hadi kufika hapo

Hapo ni kuprint transfer letter na kuchapa lapa
 
Bado kwangu naona kama Utumishi wanafanya mchezo wa paka na panya. Haiwezekani maombi yanakaa karibu mwaka mzima kwa Mkuu wa Taasisi alafu Utumishi wanaona tu, sasa maana ya online ni kitu gani?

Iwapo suala la uhamisho ingekuwa unaituma online Utumishi kwanza alafu wao ndiyo wairudishe huku kwenye taasisi ingekuwa jambo la kheri.
Jiulize, je Utumishi wanafanya monitoring vp kwa watu wanaomba utumishi online alafu barua zao zinakaa muda mrefu bila kufanyiwa kazi na supervisor na wakuu wao wa taasisi
Kuna shida umependekeza vizuri utumishi inabidi wafuatilie.
 
Kwa mwenye kujua huu mfumo, ombi langu la uhamisho limefikia hapo sasa nini kinafuata baada ya hiyo status maana ilibadilika kwa hatua kama mbili hadi kufika hapo
Umepata barua ya uhamisho kwenye mfumo maana kama wameshakuruhusu vile tupe mrejesho kamanda.
 
Bado kwangu naona kama Utumishi wanafanya mchezo wa paka na panya. Haiwezekani maombi yanakaa karibu mwaka mzima kwa Mkuu wa Taasisi alafu Utumishi wanaona tu, sasa maana ya online ni kitu gani?

Iwapo suala la uhamisho ingekuwa unaituma online Utumishi kwanza alafu wao ndiyo wairudishe huku kwenye taasisi ingekuwa jambo la kheri.
Jiulize, je Utumishi wanafanya monitoring vp kwa watu wanaomba utumishi online alafu barua zao zinakaa muda mrefu bila kufanyiwa kazi na supervisor na wakuu wao wa taasisi?
Wao wenyewe utumishi wanakaa na maombi kwa mda mda mrefu pia,unakuta status inasoma kwao zaidi ya miezi 5
Çhangamoto waliopewa access ya kushughulikia uhamisho wako busy sana kwa ziara za ndani na nje ya nchi kwahiyo hawapati nafasi kuingia kwny mfumo kushughulikia uhamisho
Baada ya mfumo huu kuanzia,watumishi wa kawaida pale utumishi hawawezi kujua ombi la mtu liko hatua ipi,sana sana atakwambia kuwa mvumilivu ombi laki linafanyiwa kazi,kibali kikikmilika utajulishwa
Sasa tuchukulie mwombaji ana çhangamoto ya ugonjwa na viambatanisho kaweka,si utumishi ndo wakulaumiwa endapo mtu akifariki,nadhani wawe na ubinadamu,tatizo kubwa pale utumishi watu ni Miungu watu
 
Back
Top Bottom