Marcus marcus
Member
- Dec 9, 2023
- 24
- 33
Pap
nauliza boss je kwenye barua ya kuomba uhamisho inapitia kwa mkuu wa idara ili aweke muhuli na mahiyo
Hapo wasiliana na mkuu wako wa idara ili afowafi kwa mkuu wa taasisiKwa mwenye kujua huu mfumo, ombi langu la uhamisho limefikia hapo sasa nini kinafuata baada ya hiyo status maana ilibadilika kwa hatua kama mbili hadi kufika hapo