RAIS Samia Suluhu Hassan, ameamua kulikabili sakata la mgogoro wa mafuta kwa kutoa maelekezo ya kujibana katika matumizi ya ndani ya Serikali. Kwa nini hii ndio njia sahihi? Nitaeleza;
Wapo waliopendekeza kuondoa tozo mbalimbali kwenye mafuta ili bei ipungue. Ni mawazo lakini msaada wake upo...
NILIPATA kuandika miaka ya nyuma kuwa Tanzania inateswa na mambo makuu mawili; Ujuaji na ukosefu wa uadilifu.
Mosi; watu wanajua sana. Sehemu yenye kuhitaji utaalamu, yule ambaye fani haimhusu anaweza kuzungumza na kuonekana anajua zaidi.
Mwaka jana, Jumuiya ya Wanasheria Tanganyika (TLS)...
JOHN Magufuli hayupo duniani. Ila nguvu yake bado inaishi ndani ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Magufuli alitengeneza wabunge wake. Wanaitwa “loyal to a fault" – “watiifu wasioambiwa chochote". Wanaendelea kumtii hadi leo akiwa kaburini, kuliko kukitii chama chao, CCM.
Ukarabati...
Yaani ovyo tu, wengi wanaenda kusoma vyuoni kwa ajili ya kufuata mkumbo tu ili jamii iwachukulie kama vile wamesoma sana.
Ila huko chuoni aisee, ukiwaona utachoka. Yaan kichwani hakuna kitu😬 kuna mmoja alisoma IT nilimpa kazi ya kunipigia Windows 10 kwenye PC yangu,akabaki ananikodolea macho tu...
Noma sana wakuu, tarehe tajwa hapo juu 31.03.2022, shirika la serikali la mawasiliano litatupiga na kitu kizito sana kichwani, wanapandisha vifurushi.
Bufee inaweza kuondolewa maana inawatia hasara tu. Toboa night HAIRUDISHWI ng'o
Si mnakumbuka tuliambiwa tuhamie Burundi tukaanza kuleta...
Ukileta taarifa kidogo tu utasikia hii chai, mara majani ya mpera, mara watakwambia hii ni gahawa, mara majani ya chai mengi, mara tangawizi imezidi!
Hivi hili neno asili yake ni ipi na ina maana gani?
Kwa miaka kadhaa sasa, ‘Mfalme Zumaridi’ ambaye jina lake halisi ni Diana Bundala, ni miongoni mwa wahubiri wa dini wanaovuma ndani na nje ya Jiji la Mwanza.
‘Mfalme Zumaridi’ (39) ambaye pia hujiita mungu wa duniani amesikika akitoa huduma ya maombezi, mahubiri na hata tiba kwa magonjwa kadhaa...
WAINGEREZA huwa wana msemo wao ‘Falling from the grace’. Kiswahili chake kinaweza kwenda na mfano. Yaani mfano wa mwanadamu aliyekuwa na nguvu za kubeba magunia matatu kwa wakati mmoja inapofika mahala akaishiwa nguvu kiasi kwamba akawa hawezi kunyanyua rimoti ya televisheni iliyo kando yake...
MIONGONI mwa binadamu waliozaliwa siku ya mwaka mpya yumo Jack Andrew Garry. Jina la mbele unaweza kuchagua moja kati ya haya mawili. Unaweza kumuita Wilshere au Wheelchair. Historia ya maisha yake ya soka inanitia huzuni kidogo.
Jack, mfupi kama alivyo alikuwa na kipaji maridhawa. Ukitumia...
Mwanaume anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka kati ya 18 hadi 22 ameuawa na mwili wake kuchomwa moto na wananchi wakidai kuwa alijaribu kutaka kumbaka mwanafunzi wa kidato cha pili katika Sekondari iliyopo Kata ya Bombambili mjini Geita.
Tukio hilo limetokea leo Alhamisi Februari 24, 2022 saa...
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Musoma imemhukumu kifungo cha miaka 60 jela, Daudi Samson (22) baada ya kumtia hatiani kwa kosa la kumbaka na kumlawiti mwanamke mwenye umri wa miaka 56 (majina yanahifadhiwa) na kumsababishia maumivu makali ikiwamo kumvunja mgongo.
Akisoma hukumu hiyo jana, Hakimu...
Kamati ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma, Tanzania imesema Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) liko katika hatari kubwa zaidi ya kunyang’anywa soko na makampuni mengine ya simu kutokana na upungufu wa mtaji.
Hayo yamesemwa leo Jumatano Februari 16, 2022 na Mwenyekiti wa Kamati hiyo...
IJUMAA iliyopita amefariki dunia beki wa Ruvu Shooting, Ally Mtoni ‘Sonso’ na alizikwa Jumamosi. Sonso enzi za uhai wake aliwahi pia kuzicheza Lipuli, Yanga na Kagera Sugar. Zaidi ya hapo amewahi kuipigania jezi ya timu ya taifa.
Ni mara chache kwa taifa letu kutokea kifo cha mchezaji wa Ligi...
Pamoja na imani yake kuongezeka Mohamed alikuwa amekata tamaa ya kuishi, hivyo wakati wote akiwa gerezani hakutaka kujifunza ujuzi wowote akiamini hatoweza kuutumia kwa sababu kilicho mbele yake ni kunyongwa hadi kufa.
Hilo likamfanya ajikite kwenye shughuli anazopangiwa kila siku, lakini si...
Usiku wa Februari 24 mwaka 1982 utabaki kwenye kumbukumbu ya kudumu kichwani kwa Mohamed Said (70) kutokana na tukio kubwa lililomkuta siku hiyo na kumfanya akae gerezani kwa miaka 40.
Kama angejua kinachokwenda kumtokea siku hiyo huenda angebadilisha mwelekeo, lakini kwa kuwa hakutambua...
Aisee pale karibu na shule ya sekondari Kibasila au kiwanda cha Serengeti yale mataa hayafanyi kazi kabisa.
Magari yanavuka tu, kila mtu na muda wake, hata askari wa kuyaongoza hayupo
Mwanaspoti
Kolamu
MZEE WA UPUPU: Kuna mtoto anachezea simu ya Mo Dewji?
WEDNESDAY FEBRUARY 02 2022
[https://www]
ADVERTISEMENT
Mara zote Simba inapopitia kipindi kigumu, mwekezaji wao Mo Dewji huibuka na maneno fulani ya mafumbo kupitia mitandao ya jamii. Hii huongeza taharuki kwa...
Ofisi ipo Mbezi Goba.
AWE MA SIFA ZIFUATAZO
1. Awe anaweza kutype kwa spidi.
2. Awe ana uwezo wa kutumia Inteernet
3. Awe ana uwezo wa kudesign.
4. Awe anaweza kuprint.
5. Awe anaweza kutumia mashine ya photocopy.
6. Awe anaweza kuscan.
7. Awe anaweza kutumia software ya Adobe.
8. Awe anaweza...
Hii nukuu ilipatwa kusemwa na mmoja wapo aliyepata kuwa rais was USA miaka ya 1947.
Je alikuwa anamanisha Nini?
If you can't convince them, confuse them.
_ Harry S Truman
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.