Mwaka 2023, thamani ya mauzo ya bidhaa kwenda katika Soko la Ulaya iliongezeka hadi kufikia shilingi trilioni 3.836 kutoka shilingi trilioni 2.446 mwaka 2022, sawa na ongezeko la asilimia 56.8. Ongezeko hilo limechangiwa na kuongezeka kwa mauzo ya bidhaa za kilimo na viwandani kwenda katika nchi...
Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt Ashatu Kijaji amesema kuwa Tanzania ina jumla ya viwanda 28 vya kuzalisha chuma na bidhaa za chuma.
Dkt. Kijaji ameyasema hayo Leo mei 21,2024 Bungeni Wakati akiwasilisha Hoja ya Bajeti ya Makadirio ya mapato na matumizi ya mwaka wa fedha 2024/2025 ya Wizara ya...
Mama mmoja aliyefahamika kwa jina la Mchanga Omar Said mkazi wa kijiji cha Sizini wilaya ya Micheweni visiwani Zanzibar ameripotiwa kuwa amejifungua na kukizika kichanga kikiwa hai.
Akizungumza katika eneo la tukio ,mkuu wa wilaya ya Micheweni Mgeni Khatib Yahya amelaani tukio hilo na kutaka...
DAR ES SALAAM: WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye, amesisitiza nia ya Serikali kuunga mkono uwekezaji wa sekta binafsi hasa katika sekta ya mawasiliano.
Waziri Nape ametoa kauli hiyo wakati wa hafla ya utiaji saini wa makubaliano ya ujenzi wa minara ya...
ACCRA, Ghana - Mtu mmoja amefariki na wengine kujeruhiwa vibaya baada ya msafara wa Rais Akufo-Addo kupata ajali, akirejea Ikulu ya Accra baada ya kushiriki mazishi ya aliyekuwa Mbunge wa Ejisu John Kumah.
Ajali hiyo ilitokea katika eneo la Makutano ya Bunso, Mkoa wa Mashariki. Taarifa ya Jeshi...
Leo Esperance De Tunis watakuwa uwanja wa nyumbani Hammadi Agrebi wakiwakaribisha Al Ahly katika fainali ya ligi ya mabingwa Afrika mechi ya mkondo wa kwanza
Ni Esperance de Tunis ama Al Ahly nani kuanza kuonja harufu ya ubingwa?
Uzi huu utakuwa live muda wote wa mchezo, stay tuned.
Kikosi...
Serikali imesema kumekuwa na mafanikio makubwa ya sekta ya habari na Mawasiliano, pamoja na upatikanaji wa mawasiliano nchini, hivyo kuongeza idadi ya laini za simu, watumiaji wa intaneti na huduma za kutuma na kupokea fedha katika Mwaka wa Fedha 2023/2024 .
Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa...
Umoja wa Ulaya unachunguza Facebook na Instagram ikiwa zinaweza kuwa na uraibu wa kiwango cha juu kiasi kwamba zinakuwa na "athari mbaya" kwa "afya ya mwili na akili" ya watoto.
Pia itachunguza kama wamefanya vya kutosha kuhakikisha kuwa watumiaji ni wa umri unaoruhusiwa kuzitumia, na jinsi...
Jumuiya ya Wanawake CCM (UWT) imeungana na Serikali kupitia Wizara ya Maendeleo ya Jamii katika kuadhimisha Siku ya Familia Duniani, ikiwataka wazazi kuungana katika suala la malezi badala ya kumwachia mzazi mmoja.
Hayo yamezungumzwa leo Mei 15, 2024 jijini Dodoma na mwenyekiti wa UWT, Mary...
Katika miongo kadhaa mji wa Moshi umejizolea sifa za usafi na ambao uliufanya mji huo kuwa na sifa za kipekee nchini ikiwa ni pamoja na kuongoza kwa usafi.
Hali hiyo imekua tofauti kwa miaka ya hivi karibuni kutokana na mji huo kuendelea kuporomoka katika nafasi za usafi na sasa ikiwa...
Mkazi wa Jijini Dar es salaam amekamatwa na Polisi Mkoani Njombe akiwa na Tsh. 29,374,000 katika nyumba ya kulala Wageni (Gesti) Mjini Makambako ambapo fedha hiyo inadaiwa ameipata kwa njia ya wizi.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe, Mahamoud Banga, amesema wamemkamata Mwakatundu wakiwa...
Mbunge wa Konde (ACT Wazalendo), Mohamed Said Issa amesema siku yoyote anaweza kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hivyo vyombo vya ulinzi na usalama vidhibiti ubaguzi dhidi ya Wanzibari.
Amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano anabaguliwa kwa sababu ni Mzanzibari, hivyo na yeye anaweza...
Mwanachuo kijana wa Chicago alitembea katika programu ya mahafali ya chuo kikuu chake baada ya kuweka historia kwa kupata shahada ya udaktari akiwa na umri wa miaka 17.
Dorothy Jean Tillman II alisherehekea mafanikio hayo adimu, akielezea wiki ya mahafali kama "isiyo ya kawaida" na "imejaa...
Habari,
Taarifa zinaeleza kuwa mnamo mwaka 1950 timu ya Taifa ya India iliamua kujiondoa kushiiriki Kombe la Dunia sababu ya Shirikisho la Soka Ulimwenguni kuwakatalia kucheza peku.
Kuna ukweli wowote hapa?
Habari,
Katika pita yangu mtandaoni nimekutana na taarifa ikieleza tukio linalodai kuwa mnamo mwaka 1998 ndani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo radi ilipiga wakati wa mechi kati ya Bena Tshadi dhidi ya Basanga na kuua wachezaji wote wa timu moja huku wa timu nyingine wakitoka salama.
Je...
Yule ndugu yetu muuza Madafu ambaye ameonekana kufananishwa na Kamanda aliyeonekana siku ya Muungano leo Ayo TV wamepita naye na amewaonesha Uwezo wake.
Kama Jamaa sio Mtu wa kitengo kweli basi napendekeza Jeshi liangalie namna ya kumpa mafunzo maana mwamba anaonekana yupo fit kinoma...
Baada ya maswali kuwa mengi juu ya msemo wake maarufu “ukija bila gadi nagawa kwa idadi ya wastani” , kijana muuza madafu ameweka wazi kuwa ule ni msemo tu na haina maana kuwa yeye ni mtu wa ndani.
Kijana muuza madafu ameujulisha umma kuwa yupo tayari kukutana na afisa usalama ambaye...
Salaam,
Wakuu nimepata wenge baada ya kuona taarifa inaeleza watu 155 wamefafiki kwa Mafuriko Tanzania. Sijakutana na hii habari. Na hata Mtandao wa X (Twitter) wengine wanapata mashaka kama Mimi tu.
Je, kuna ukweli kwenye jambo hili?
Tunaombeni ufafanuzi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.