Hizi sabuni zenye mapichamapicha ya kama miungu ya kihindi hivi na harufu kali kuwa nazo makini, yalinikuta.
Kwa usalama wa afya ya kujamiiana, ogea mbunju, magadi, komesha n.k
Kwa wale waliozoea ubishi basi sawa endeleeni.
Anaweza kuwa sahihi kwa upande fulani; nafikiri yuko kiroho zaidi na anamaanisha dunia ni darasa as kuna meeengi ya kujifunza kwa kila aliye hai. Kwahiyo basi, wote waliopo juu ya huu uso wa dunia ni classmates!!!! Mwamba yuko vema kwa hili.....
Hiyo ni habari nyingine mkuu na nafikiri unafanya kosa kubwa kulizungumzia hilo kwa kulaumu. Sidhani kama kuna chochote unakijua kuhusu mahusiano yao na historia yao kiasi cha kufikia kuingiliana kiasi hicho. Shukuru Mungu kama umejitosheleza kwa kila kitu.
Hoja ni mauaji hayo ya kikatili, au...
Naulizia vitu hivi hapa wakuu;
1. Halmashauri ya wilaya
2. Halmashauri ya manispaa
3. Halmashauri ya mji
4. Halmashauri ya jiji
5. Maana ya 'halmashauri'
Hili ni jukwaa la kujifunza na kuelimika, naomba nielimishwe kuhusu hoja hizo hapo juu ambazo mpaka sasa nazijua kwa mazoea tu ya kuzitamka...
Yeah, na ndo hapo utajua wavaa misalaba akili WANAZO tele maana utaona mapaja na vyupi kwenye mabenchi ndani ya kanisa kama wazungu huku nao wakifurahia ruhusa ya papa ya wanaume kuolewa........wanajihisi wazungu kamili, tena wale original wa uingereza.
Mabilioni juu yanapigwa tu maana ni ukweli kuwa kwa sasa fedha nyingi tu zinapatikana kutoka nje n.k
Mashuleni hali mbaya, tangu mwaka huu uanze inasemekana shule zimepokea fedha ya mwezi Januari tu basi. Hali mbaya......
Kuna wazabuni walioamua kugoma sasa kuendelea kuzikopesha shule,
Umeme...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.