Tuwe makini; kuna sabuni zinapoteza nguvu za kiume!!

Sababu ilikusababishia stress ndio ikapelekea poor performance
nguvu za kiume is overrated we kula pata mda wa mazoezi madogo hasa kutembea hakikisha uko na mwanamke unaempenda basi Kila siku utat*mb*uzuri pasi na malalamiko mi naogea Mo,jamaa,au Ayu na hakuna shida
 
Hizi sabuni zenye mapichamapicha ya kama miungu ya kihindi hivi na harufu kali kuwa nazo makini, yalinikuta.
Kwa usalama wa afya ya kujamiiana, ogea mbunju, magadi, komesha n.k

Kwa wale waliozoea ubishi basi sawa endeleeni.
Mbona mimi nampigia nyeto ?
 
images - 2024-03-10T190459.157.jpeg


KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Kwa hiyo wewe umeishiwa nguvu za kiume shehe baada ya kuogea hizo?

Hakuna uhusiano wowote

Wewe huli vizuri na hufanyi mazoezi
 
Back
Top Bottom