Habari njema!
Hospitali nchini China hutibu saratani kwa kugandisha uvimbe na kisha kuuondoa bila kutumia chemotherapy:
Hospitali maalumu kwa ajili ya kutibu aina zote za uvimbe hasa saratani. Hospitali nchini China inaitwa (Fuda) katika mji wa Guangzhou (Guangzhou), kusini mwa China.
Qatar...
Leo Ni Sikukuu Ya Wachagga Duniani(World's Chagga Day), Ni Siku Kubwa Iliyokuwa Inaadhimishwa Kila Mwaka Siku Ya Novemba 10, Miaka Ya Kabla Ya Uhuru wa Tanganyika na Miaka Michache Baada ya Uhuru Wa Tanganyika. Siku Hii Ilisherehekewa Kitaifa Kilimanjaro Katika Ikulu Ya Mangi Mkuu wa Wachagga...
If you study and understand this diagram, you will know life is all about rotation, it is turn by turn, means that we are all using the same clock your own may be faster while others may be slow, but mind you still on the same time.
[emoji108][emoji108][emoji108] How are we, everyone.
Kitaalamu kuna haja ya kuwapeleka watu bara au nchi fulani ili kujifunza ni kwa jinsi gani wao wamefanikiwa kiuchumi.
Nimeiona mahali nikawa najiuliza mwenyewe; hata hivyo, nikaona niwahusishe hapa ndani pia kwasababu "tunajenga nyumba moja kwanini tugombanie fito"
Kama iko sawa, basi nitaomba...
TAREHE 7 JULAI RASMI SIKU YA KISWAHILI DUNIANI
1/2 Mkutano Mkuu wa 41 wa #UNESCO umeipitisha tarehe 7 Julai ya kila mwaka kuwa Siku ya Kiswahili Duniani.
Azimio hilo limepitishwa na nchi zote wanachama wa UNESCO bila kupingwa, leo tarehe 23 Novemba, 2021, Paris nchini Ufaransa.
Tuko pamoja; na...
Utangulizi
Ninasikitishwa sana na utendaji wa Wizara ya fedha katika suala zima la uandaaji wa bajeti kwa Serikali ya Tanzania. Kila mara bajeti inaposomwa Bungeni na Waziri wa fedha pamoja na mambo mengine, huwa inakuwa na ongezeko la kodi/tozo kwenye bidhaa zile zile ambazo zimeguswa na...
Nashukuru kwa taarifa nzuri kwa jamii; naam nikiwa sehemu ya jamii husika sitapenda fursa hii inipite. Naanza kuifanyia kazi kuanzia sasa; ewe mwenyezi Mungu/Allah/God naomba unisimamie, uniongoze katika kukamilisha hili na kupata matokeo chanya.
Nawashukuru pia waandaaji wa jambo hili.
Naomba ufafanuzi katika hili, kwenye hotuba ya Mh. SSH alisema amewaruhusu waajiri kuwapandisha Wafanyakazi Madaraja na kulipa malimbikizo ya madeni yao; kusema hivi alikuwa ana maanisha nini?!
Nina rafiki yangu mmoja ambaye amebahatika kukutana na kuongea na bosi mmjo wa kampuni moja kubwa iliyojikita kwenye biashara ya mafuta na gesi; katika maongezi yao rafiki yangu alipendezwa na kufanya biashara ya kuuza gesi. Wakakubaliana kuwa anataka kufanya biashara ya kuuza gesi iliyoko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.