Habari.
Nina mtoto wa miezi miwili. Kuna changamoto aliyonayo ya kutolala karibia usiku mzima yaani analala kimagepu huku akiwa hayuko comfortable.
Na akiwa macho hatulii na mama yake pia akimuweka kitandani hataki kukaa peke yake anaanza kulia. Akimpatia pia nyonyo muda mwingine anakataa muda...
Mimi sijasomea kuchora ramani ila nina ustadi huu.
Nataka nigeuze ustadi huu kama side hustle nijipatie kipato.
Je, kuna process zinatakiwa kufanywa kabla sijafungua ofisi ya namna hii.
Hawa jamaa kutoka Kenya walikuwa na international flow, walikuwa ahead of time. Imepita miaka kama 13 tangu hawa jamaa waje kwenye game ya muziki na ghafla wakapotea.
Nafikiri kwa ile style yao ingekuwa favourable kwa soko la sasa kwa maana muziki umeonesha kuwalipa vijana vizuri.
I miss them.
Eti Chelsea wanataka pound 80m kwa ajili ya Mount!
Dogo mwenyewe kabakiza less than a year kwenye mkataba wako. Mount mwenyewe sio slick kivile, hajawa bora hivi karibuni.
Hawa malaya wamevimba sana mtaani na viduka vyao vya nguo, gari zao za passo na simu macho matatu mnavyowapatia huko.
Na wakiwa wanaulizana na mashangingi wenzao wanasema "ni yupi shosti aliekupangishia sinza", ina maana demu ana line ndefu ya washkaji kutokea goms hadi tegeta.
Alafu unakuta...
Bongo haiishiwii comedy, infact Bongo ni Bongo Movie.
Vijana wameisha brand magari kama Dualis, Murano, IST, RAV4, etc kama magari ya wanawake.
Pickup, harrier, vangaurd, x-trail, etc ndio za kiume.
Unakuta mtu anasema "sasa mwanaume ataendashaje IST au Dualis"
Alafu kuna mtu unakuta na...
Jamii duni ni hatari sana
Marafiki wengi njaa kali ni sumu
Watumwa wa mila na tamaduni ni mwiba
Ukishakuwa centre ya attention katika jamii yako, kila mtu atataka uishi kwa matarajio yake.
Ukionesha umenyanyuka kidogo, ushauri unakuwa mwingi sana ila ukiwa chini unasemwa sana bila ya ushauri...
It's true my people, anga zenu zimevamiwa na wakuda wakuda tu wa mjini ambao kipindi mnaweka miguu kwenye maji mnasoma wao walikuwa wanakesha klabu.
Respect to you guys na hongereni kwa kisomi chenu kwa ngazi yoyote (certificate, degree, etc)
Ila wenye BA za makalio makubwa, BA za skendo za...
Walio maarafu sasa ni wenye matako makubwa na vitimbwi na sio tena wenye ubunifu-chanya na conscious ouput.
Dola inakamatwa na wenye nguvu kwenye jamii sio tena wenye weledi.
Maamuzi makubwa ya kitaifa yanafanywa na wenye mawazo sawa na sio tena mchuano.
Michepuko imekuwa na nguvu ya umiliki...
Einstein, Newton, Tesla, Hawking, Aristotle na wengine wengi.
Ni kundi la watu kwa kutumia intelligence zao wameweza kubadili maendeleo ya jamii zao.
Na hawa watu, wana kitu kimoja in common, wote ni wazungu.
So what about us, what happened?
Na imekuja kujulikana kuwa, geniues are born and...
■ Wanao suffer na depression
Bongo afya ya akili ni kitu ambacho hakina kipaombele na wala hakuna mfumo wa msaada kwa mtu anaepitia sonona. Baba atasema unavuta bangi ndio maana umekuwa hivi. Jamii itasema itasema umelogwa au umeishiwa sasa umekuwa na mawazo.
■ Watu wenye ukimya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.