Acheni ushamba, mnamilikisha michepuko vitu wasivyostahili

Financial Analyst

JF-Expert Member
Nov 27, 2017
1,609
2,754
Hawa malaya wamevimba sana mtaani na viduka vyao vya nguo, gari zao za passo na simu macho matatu mnavyowapatia huko.

Na wakiwa wanaulizana na mashangingi wenzao wanasema "ni yupi shosti aliekupangishia sinza", ina maana demu ana line ndefu ya washkaji kutokea goms hadi tegeta.

Alafu unakuta kuna mtu anajiona mjanja kila topic ya siasa, uchumi na michezo yeye ndio anashinda kwa uchambuzi ngangari lakini akishaona matako makubwa anakuwa mpole.

Mnasahau sehemu sahihi ya hawa mchepuko, yule ni wakukupa uhondo tu na kumbuka uko nae kishkaji na kuhunihuni ili mke wako na ndugu wasijue kwa hio na wewe ishi nae kishkaji na kihuhuni ili asikuzoee uanze kufuja nae mali.

Haiwezekani kuna mahitaji muhimu yanakosa nyumbani au personally lakini kuna fala umemlipia kodi ya mwaka mzima ya 3,000,000. Nyumba hio hio ndio anafanyia uchafu na mchoma chips nzuri mtaani na boda boda anaembeba bure akiwa anamleta baa mnakunywa.

Risiti tunazo mtaani, wengi wenu mmeishia kufirisika, kuona hawa michepuko wakiwapita maendeleo, wengine mmeharibi mistakabali ya maisha yenu.

Acheni ushamba, kahaba ni kahaba tu ata umnunulie ndege.
Screenshot_20230613_160525_Chrome.jpg
 
Dalili au kielelezi k8moja cha umaskin ni kuyazungumzia maisha ya watu.....!! Kamwe na abadan huwez kuwaona watoto wa bakhresa au dewji anazungumza mambo ya watu.......!! Kazi kubwa walionayi ni kutafakar vyanzo vipya vya mapato
 
Dunia vitu ni viwili tu pesa na wanawake

Hivyo vitu tumeumbiwa wanaume kwa ajili yetu au we hujui dunia ni ya wanaume ?


Toa hela upate raha mkuu
 
Back
Top Bottom