Search results

  1. Jumanne Mwita

    Swali: NHIF Inasajili Vipi Watoto wa Shule za Serikali kwa Bima ya Toto Afya Kadi?

    Wenyewe watafanya kazi yao shida inakuja kwa hawa watoaji ndio kipengele, me nafikiri hii huduma isiwe mpaka uwe na watoto 100 mdio muwaunganishe kwenye Bima hapo napinga, iwe kama mzazi anaona umhimu wa bima kwa mtoto wake amkatie bima siyo kimakundi hivyo ibaki kama zamani. Kwanza watapata...
  2. Jumanne Mwita

    Tundu Lissu toa ushauri kusaidia Nchi ishinde kesi kimataifa na kufufua shirika la ndege

    Nimecheka kifala sana ila mimi nitoe humo abaki yeye na wengine 🤣🤣
  3. Jumanne Mwita

    Swali: NHIF Inasajili Vipi Watoto wa Shule za Serikali kwa Bima ya Toto Afya Kadi?

    Kama Taifa bado tupo nyuma sana n mambo ya msingi kama haya
  4. Jumanne Mwita

    Shirika Gani la Bima ya Afya Tanzania Lina Gharama Nafuu na Huduma Bora?

    Kwa hiyo gharama zao bado ni rafiki ukilinganisha na mashirika mengine?
  5. Jumanne Mwita

    Swali: NHIF Inasajili Vipi Watoto wa Shule za Serikali kwa Bima ya Toto Afya Kadi?

    Hatukatai Shule za government zilivyo shida ni kuwa mzazi akihitaji kumkatia bima mtoto wake isiwe kigezo cha kusema mpaka mtimie 100 ndio mpate bima hii siyo sawa kama mchangiaji mmoja amesema hapo ni kama wameiondoa kimtindo hii bima
  6. Jumanne Mwita

    Swali: NHIF Inasajili Vipi Watoto wa Shule za Serikali kwa Bima ya Toto Afya Kadi?

    Nimejua leo aisee hii ni hatari kwa afya, aisee serikali haina huruma na wananchi 🥲
  7. Jumanne Mwita

    Swali: NHIF Inasajili Vipi Watoto wa Shule za Serikali kwa Bima ya Toto Afya Kadi?

    Ningependa kujua kuhusu utaratibu wa NHIF kusajili watoto wa shule za serikali kwa Bima ya Toto Afya Kadi. Awali, NHIF ilikuwa inasajili watoto ambao hata siyo wanafunzi kwa bei ile ya Tsh 50,400 bila kujali anasoma au hasomi baada ya shirika lenyewe kujipa hasara kwa kuhujumu mfuko ndio wakaja...
  8. Jumanne Mwita

    Shirika Gani la Bima ya Afya Tanzania Lina Gharama Nafuu na Huduma Bora?

    Habari wanajamvi, Natumaini mu wazima na mnaendelea vyema na shughuli zenu za kila siku. Nimekuja kwenu leo nikiwa na swali ambalo ningeomba msaada wenu kulijibu. Katika kutafuta bima ya afya ambayo itakuwa na gharama nafuu na huduma bora, nimepata majina ya mashirika kadhaa yanayotoa huduma za...
  9. Jumanne Mwita

    Msaada: SSD 1080 PRO NGFF M.2 4TB Haifanyi Kazi Kwenye Laptop Yangu

    Habari wanajamvi, Nimenunua kifaa cha kuhifadhi data aina ya 1080 PRO NGFF M.2 SSD 4TB Kwa ajili ya kuongeza uwezo wa laptop yangu. Hata hivyo, baada ya kukifunga kwenye laptop yangu, haisomi ingawa inaonyesha kuwaka kama kawaida. SSD iliyokuwepo awali ni ya 128GB M.2 NGFF ambayo niliinunulia...
  10. Jumanne Mwita

    Nimepata ajali nikakumbuka ningekuwa na bima ingenisaidia

    Kabisa RRONDO kikubwa bado napumua mengine ni matokeo tu
  11. Jumanne Mwita

    Nimepata ajali nikakumbuka ningekuwa na bima ingenisaidia

    Hilo ndio la kushukuru zaidi
  12. Jumanne Mwita

    Nimepata ajali nikakumbuka ningekuwa na bima ingenisaidia

    Lazima niende pia inabidi mazingira ya zingatiwe huenda majeraha mengine yamo kwa ndani bila kujua hivyo inanibidi kuangalia hali itaendeleaje ikiruhusu ndio nifanye hivyo sihitaji kuwapa shida wengine wakati maumivu ni yangu
  13. Jumanne Mwita

    Nimepata ajali nikakumbuka ningekuwa na bima ingenisaidia

    Naungana na wewe sema serikali hawajali wananchi huu ndio ukweli kabisa
Back
Top Bottom