Nimeshuhudia na kushiriki chaguzi nyingi ndani ya Chadema na ndani ya CCM,chaguzi nyingi ndani ya vyama vyetu zinavunja katiba za vyama hivyo kwa makusudi kabisa,wasimamizi wa chaguzi hizo kwa kuwa wanakuwa na mamlaka ya nafasi za uongozi kutoka ngazi za juu,hutumia mwanya huo kufanya kadri...
1. Acacia
Hayati Rais John Magufuli alipiga marufuku usafirishaji mchanga kutoka machimbo ya madini kwenda nje ya nchi, Hayati Rais Magufuli alisema wawekezaji wamekuwa wakikiuka taratibu kwa muda mrefu na kusema Tanzania imeliwa vya kutosha na kumuagiza waziri wa nishati na madini kusimamia...
Ukitaka kujua Dar ni kijiji kikubwa makazi holela shuka JNIA na ndege mchana utaona makazi holela na mabati makuu ya vijumba vyetu
Kwa ufupi mji mezungukwa na makazi holela hadi makazi mapya huko pembezoni goba chanika bunju mbande yaani 90% ya makazi mapya ya Dar es Salaam ni makazi holela
Ukitaka kujua Dar ni mji umezungukwa na makazi holela hadi makazi mapya huko pembezoni goba chanika bunju mbande yaani 90% ya makazi mapya ya Dar es Salaam ni makazi holela
Uchumi wa kati tangu lini ??
Kuhusu hii picha imeonyesha ukweli ulivyo wa jiji la Dar es Salaam na Tanzania kwa ujumla wake
85 % ya Dar es Salaam Tanzania ni makazi holela
Hadi miaka 60 ya UHURU tunategemea CITY CENTRE ya mkoloni
KWA UFUPI DAR ES SALAAM NA TANZANIA NI MORE THAN 85 % UNPLANNED...
CCM imara ni imani ya kiitikadi ndani ya mioyo ya Wananchi Watanzania,Awamu ya kwanza ya CCM iliyoongozwa na Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ilikuwa ni ya kijamaa,kiongozi wa CCM akifanya ziara eneo fulani, basi Wananchi wanyonge walioonewa waliamini amekuja mkombozi wetu, na kwa hakika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.