Mwande na Mndewa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2021
- 950
- 2,866
1. Acacia
Hayati Rais John Magufuli alipiga marufuku usafirishaji mchanga kutoka machimbo ya madini kwenda nje ya nchi, Hayati Rais Magufuli alisema wawekezaji wamekuwa wakikiuka taratibu kwa muda mrefu na kusema Tanzania imeliwa vya kutosha na kumuagiza waziri wa nishati na madini kusimamia suala hilo, wakati tangazo hilo likitoka hisa za kampuni hiyo zikashuka kwenye soko la dunia.
2. Covid 19
Hayati Rais John Magufuli aliongea akiwa Chato akajibiwa toka Washngton Dc aliuliza iweje chanjo ya Ukimwi inafanyiwa majaribio toka mwaka 1985 lakini chanjo ya Corona imefanyiwa majaribio kwa miezi saba tu? pia akawaondoa hofu Watanzania akisema, "Watu tusitishane, tunatishana mno.
Niwaombe ndugu Wakristo na Watanzania kwa ujumla wa Madhehebu yote, huu ndio wakati mzuri sana wa kumtegemea Mungu kuliko wakati wote, tuendelee kuchapa kazi, tuendelee kuujenga uchumi wetu, hatuwezi kusalimu amri kwa ugonjwa huu wa Corona na kushindwa kumtegemea Mungu na tukashindwa kuendeleza uchumi wetu" amesema Rais Magufuli.
3. SGR
It is not clear why Magufuli’s government has decided to dangle only 400kms of the SGR on Turkey’s face. Some pundits think some sections of the Tanzania SGR might be considered for the Chinese, given China’s huge influence in the region, and its deep pockets for African governments. But it is also clear that Turkey is still interested in all, or at least some more of the sections.
At the January joint press conference with Magufili, Erdogan described the 400 Km request for funding put to him by the Tanzanians as “too small for me”- probably meaning he (Turkey) could do with some more –or all- sections of the SGR project.
4. Bwawa la Rufiji.
Tanzania ilikataa agizo la UNESCO la kuitaka kusitisha Ujenzi wa mradi wa Stiegler's Gorge katika pori la akiba la selous, Tanzania ilisisitiza uamuzi wake wa kuendelea na mpango wa kujenga mradi mkubwa wa kuzalisha umeme katika maporomoko ya mto Rufiji (Stiegler's Gorge Hydro Power Project) yaliyopo ndani ya pori la akiba la Selous mbele ya wajumbe wa Kamati ya Urithi wa Dunia kutokana na umuhimu wake kwa maendeleo ya Watanzania,
Hayati Rais John Magufuli alitangaza kutekeleza sera ya kujenga uchumi wa viwanda hali itayopelekea kuwa na mahitaji makubwa ya nishati ya umeme hivyo kwa kuzingatia vyanzo vilivyopo imekuwa ni muhimu sasa kufikiria tena ujenzi wa mradi huo kama chanzo kingine muhimu cha nishati kuwezesha kufikia azma hiyo.
Itakumbukwa kuwa mnamo mwaka 1982 wakati pori hili (Selous) limewekwa katika orodha ya maeneo ya urithi wa dunia, Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhifadhi wa Asili (IUCN) liliutambua mradi huo wa Stiegler's Gorge kutokuwa na madhara makubwa katika uharibifu wa mazingira ukizingatia ukubwa wa pori hilo na eneo litakalotumika kujenga mradi huo.
5. CCM
Ujio wa Hayati Rais John Magufuli kama Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama ulileta mabadiliko makubwa ndani ya Chama,moja ya mabadiliko hayo ni ukaguzi wa mali za Chama na kupunguza wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama toka 500 hadi kufikia wajumbe 250.
Hayati Rais John Magufuli alipiga marufuku usafirishaji mchanga kutoka machimbo ya madini kwenda nje ya nchi, Hayati Rais Magufuli alisema wawekezaji wamekuwa wakikiuka taratibu kwa muda mrefu na kusema Tanzania imeliwa vya kutosha na kumuagiza waziri wa nishati na madini kusimamia suala hilo, wakati tangazo hilo likitoka hisa za kampuni hiyo zikashuka kwenye soko la dunia.
2. Covid 19
Hayati Rais John Magufuli aliongea akiwa Chato akajibiwa toka Washngton Dc aliuliza iweje chanjo ya Ukimwi inafanyiwa majaribio toka mwaka 1985 lakini chanjo ya Corona imefanyiwa majaribio kwa miezi saba tu? pia akawaondoa hofu Watanzania akisema, "Watu tusitishane, tunatishana mno.
Niwaombe ndugu Wakristo na Watanzania kwa ujumla wa Madhehebu yote, huu ndio wakati mzuri sana wa kumtegemea Mungu kuliko wakati wote, tuendelee kuchapa kazi, tuendelee kuujenga uchumi wetu, hatuwezi kusalimu amri kwa ugonjwa huu wa Corona na kushindwa kumtegemea Mungu na tukashindwa kuendeleza uchumi wetu" amesema Rais Magufuli.
3. SGR
It is not clear why Magufuli’s government has decided to dangle only 400kms of the SGR on Turkey’s face. Some pundits think some sections of the Tanzania SGR might be considered for the Chinese, given China’s huge influence in the region, and its deep pockets for African governments. But it is also clear that Turkey is still interested in all, or at least some more of the sections.
At the January joint press conference with Magufili, Erdogan described the 400 Km request for funding put to him by the Tanzanians as “too small for me”- probably meaning he (Turkey) could do with some more –or all- sections of the SGR project.
4. Bwawa la Rufiji.
Tanzania ilikataa agizo la UNESCO la kuitaka kusitisha Ujenzi wa mradi wa Stiegler's Gorge katika pori la akiba la selous, Tanzania ilisisitiza uamuzi wake wa kuendelea na mpango wa kujenga mradi mkubwa wa kuzalisha umeme katika maporomoko ya mto Rufiji (Stiegler's Gorge Hydro Power Project) yaliyopo ndani ya pori la akiba la Selous mbele ya wajumbe wa Kamati ya Urithi wa Dunia kutokana na umuhimu wake kwa maendeleo ya Watanzania,
Hayati Rais John Magufuli alitangaza kutekeleza sera ya kujenga uchumi wa viwanda hali itayopelekea kuwa na mahitaji makubwa ya nishati ya umeme hivyo kwa kuzingatia vyanzo vilivyopo imekuwa ni muhimu sasa kufikiria tena ujenzi wa mradi huo kama chanzo kingine muhimu cha nishati kuwezesha kufikia azma hiyo.
Itakumbukwa kuwa mnamo mwaka 1982 wakati pori hili (Selous) limewekwa katika orodha ya maeneo ya urithi wa dunia, Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhifadhi wa Asili (IUCN) liliutambua mradi huo wa Stiegler's Gorge kutokuwa na madhara makubwa katika uharibifu wa mazingira ukizingatia ukubwa wa pori hilo na eneo litakalotumika kujenga mradi huo.
5. CCM
Ujio wa Hayati Rais John Magufuli kama Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama ulileta mabadiliko makubwa ndani ya Chama,moja ya mabadiliko hayo ni ukaguzi wa mali za Chama na kupunguza wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama toka 500 hadi kufikia wajumbe 250.