Recent content by FIKRA NASAHA

  1. FIKRA NASAHA

    Leseni na Bima ya kufanya siasa

    Yaani Nawaza Kisichowezekana Nimejiuliza sana, nikajiuliza tena na tena, hivi kwa nini Watoa Huduma wote wanatakiwa wawe na vyeti vya kufuzu masomo yao, na kama haitoshi, pale wanapotaka kufanyakazi wanapaswa wawe na leseni. Mfano Madaktari, Walimu, Mafundi wanatakiwa wawe na vyeti vya ufauru...
  2. FIKRA NASAHA

    Ilikuwa ni siku ya lugha adhimu, lugha ya Kiswahili

    Hii ni Aburani na ahadi Iliyowekwa Siku za Nyuma na Umoja wa Mataifa, Kuwa Kutakuwa na Siku Maalumu ya Kusheherekea Lugha ya Kiswahili Duniani Kila Mwaka. Hii ni Abra nzuri kwa sisi wazungumzao lugha hii Adhwimu ya Kiswahili kujadili Mustakabali mzima wa lugha yetu. Basi na Sisi Waswahili Tuwe...
  3. FIKRA NASAHA

    Pirikapirika zangu baada ya Magharibi mitaa ya Kariakoo

    Baada ya Maghribi, Mitaa ya Kariakoo Nipo jijini Dar es Salama, vitongoji vya mitaa ya Kariakoo, unyounyo na rafiki yangu, tukitembea sako kwa bako, hamadi kibindoni tukajikuta tupo mtaa ya Msimbazi, kona na mtaa wa Magila. Kwenye kijiwe hiki cha Kahawa, kumekusanyika wazee kwa vijana wapo...
  4. FIKRA NASAHA

    SoC03 Matumizi ya dawa za kuongeza nguvu za kiume

    Vijana wengi wa Kitanzania Wanatumia Dawa za Kuongeza Nguvu za Kiume. Tatizo ni Nini? Hivi karibuni, nilibahatika kusafari na kutembelea jiji la Dar es salaam Tanzania. Jiji la Dar ni jiji lililo sheheni kila aina ya biashara. Na moja ya biashara iliyopata umaarufu sana hivi karibuni ni...
  5. FIKRA NASAHA

    Njugumawe kwa Kingereza zinaitwaje?

    Nakumbuka Mara ya Mwisho Kuzitia Kinywani Ilikuwa ni Zaidi ya Miongo Mitatu na Nusu Iliyopita Tukiwa Mandarini. Porojo na Ndarire bila Ndaro za Fikra Nasaha Njugumawe zile zilivuta tamaa na Ghamu, iliyoletwa na njaa pamoja na Raghba tulizokuwa nazo kutwa nzima, zilikuwa zimeungwa kwa tui la...
  6. FIKRA NASAHA

    SoC03 Wafungwa kabla ya kutoka gerezani waandaliwe kisaikolojia

    Ni Kupunguza Wimbi la Kurejea Kwenye Uhalifu Kila Mwaka, Tunaposheherekea Sikukuu ya Uhuru wa Tanganyika, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar (Tanzania), Ambaye Pia ni Amiri Jeshi Mkuu, Hutoa Msamaha wa Wafungwa, Kwa Idadi Inayopendekezwa na Magereza, Nchi Nzima Ikiwa Pia...
  7. FIKRA NASAHA

    SoC03 Mpango wa miaka 5 ya kurekebisha vijana - Panya Road

    Nimeishi maeneo yenye wahuni, tangia wakiitwa majina tofauti kabla ya kuitwa Panya road... Kabla ya hapo wapo waliojiita "MBWA MWITU, MWENDO WA NEEMA, MASACCARA, UKITAKA UBAYA DAI CHAKO n.k." Panya road, ni marejeo ya vikundi ambavyo vilikuwepo zamani kisha vikapotea na kuibuka vingine...
  8. FIKRA NASAHA

    SoC03 Mpango wa miaka 5 ya kurekebisha vijana - Panya Road

    An Extensive 5 Year Reforms Program for the Youth - Panya Road Hata Wafungwa Wanaweza Kufaidika Kwenye Programu Hii. Tuwatumie Panya Road, Kuimarisha Uchumi kwa Kutoa Mafunzo ya Uzalishaji, Ufundi na Kazi za Amali, Mila, Utamaduni na Uzalendo. Haya Matukio ya Panya Road, yananikumbusha tukio...
Back
Top Bottom