Matajiri kitu kikubwa kinachowabeba ni connection ya kujuana na watu na lile jina lao bas ndo maana hata aamke hana hela leo hii tajiri ni ngumu kufanya kaz anazofany maskini . Atapiga sim kwa watu watatu teal ukute ameshaeleweka watu wanampa mzgo matajili wengi weng wanabebwa na majina yao ila...
Natumai wote mko sawa humu ndani.
Naombeni msaada mtu yeyote au mfanyabiashara yeyote aliyepo Dar anipe maelekezo vizuri kuhusu mchele.
1. Bei zipoje sasa mashineni
2. Je ni kweli muda si mrefu bei zitashuka na zikishuka huwa zinafikia bei gani
3. Usafiri mpka dar kwa kilo mia bei gani na...
Y
Yani watu mnaongea kwamb nilihesabu vibaya bro ndo hela zote hizo nishindwe kustuka laki mbili na 77 nishindwe kujua kama hela hii haijatimia yani mtu akupe laki alafu uhesabu vibaya eti upate laki tatu na 87 kweli
Mimi ni mfanya biashara mgeni kwenye nafaka sasa na leo ni siku ya pili kwenye hii biashara yangu.
Kasumba niliyokutana nayo wadau ni kwamba kuna mteja alikuja kununua mchele kilo 170 na unga ndogo tatu thamani ya shilling laki tatu na 87. Ile hela kanipa nimehesabu kwa macho yangu imetimia...
Mimi nataka fungua nafaka jumla ila nashangaa wenzangu kila kona wana mzanii ile mikubwa kama hii.
Sas nilikuwa nauliza ya digital haifai kwani kama hii kupimia magunia ya kilo mia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.