Kwani ni lazima wauza nafaka wote jumla kuwa na mizani ile kubwa ya bei kubwa, hizi za digital hazifai kupimia magunia?

aBuwash

Senior Member
Dec 26, 2023
118
215
Mimi nataka fungua nafaka jumla ila nashangaa wenzangu kila kona wana mzanii ile mikubwa kama hii.

images (2).jpeg


Sas nilikuwa nauliza ya digital haifai kwani kama hii kupimia magunia ya kilo mia.

images (3).jpeg
 
Sas nilikuwa nauliza ya dgital haifai kwanii kama hii kupimia magunia ya kilo mia
Inafaa sana.

- Tataizo ni walio wengi wanashindwa elewa wapi atapata, hivyo anaangalia option iliyo karibu yake.

- Pia mizani ya analogy ni rahisi kufanya udanganyifu , kumwibia mteja na kujinufaisha yeye muuzaji. Kwa digital ni changamoto kidogo ila sio kwamba hawawezi fanya wizi.
 
1714709349835.png

- Kwa wenye uhitaji wa mizani ya aina hii, basi ingia na chagua katika mtandao wa alibaba, kisha ukihitaji nikufikishie mahala ulipo karibu kati ile thread yangu.
 
Inafaa sana.

- Tataizo ni walio wengi wanashindwa elewa wapi atapata, hivyo anaangalia option iliyo karibu yake.

- Pia mizani ya analogy ni rahisi kufanya udanganyifu , kumwibia mteja na kujinufaisha yeye muuzaji. Kwa digital ni changamoto kidogo ila sio kwamba hawawezi fanya wizi.
Nafikri Hii ya Manual ni rahisi sana Kuwaibia wanaoleta kuja kuuza maana huwa ndio walengwa wakuu wa kuibiwa.Anapigwa kila 5 kwa kila kilo mia
 
Back
Top Bottom