Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k
Nimefanikiwa kupata shamba la ekarim kama 50 ambapo kati ya hizo 20 ni msitu, lina chanzo cha maji cha ukakika na nimeshauriwa nifuge nyuki kwa kutumia mizinga ya kisasa. Niefikiria kuweka...
5 Reactions
35 Replies
2K Views
Mimi ni mdau wa kilimo. Nina mashamba kadhaa baadhi ya mikoa. Ila natafuta mdau mwenye mzuka wa kilimo tulime, kwa shamba langu liliopo Mkoa wa pwani, Wilaya ya Kisarawe, kijiji cha Kisanga ekari...
5 Reactions
15 Replies
1K Views
Mbunge Nicholaus Ngassa Aeleza Jinsi Jimbo la Igunga Linanufaika na Bajeti ya Wizara ya Kilimo Mbunge wa Jimbo la Igunga Mhe. Nicholaus George Ngassa Akimpongeza Waziri wa Kilimo Mhe. Hussein...
0 Reactions
1 Replies
73 Views
Mpendwa mwana JF, unaweza kushangaa kusikia kuwa mbwa ni biashara nzuri kupita hata kufuga ng'ombe kibiashara na ukashangaa. Uzi huu utakuwa ni maalum katika kupeana uzoefu katika biashara hii ya...
12 Reactions
791 Replies
151K Views
MHE. TIMOTHEO MNZAVA, Mbunge wa Jimbo la Korogwe Vijijini Akichangia Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Kilimo Mwaka Mpya wa Fedha 2024-2025 Bungeni Jijini Dodoma Mbunge wa Jimbo la Korogwe Vijijini...
0 Reactions
0 Replies
76 Views
MBUNGE SUMA FYANDOMO: RAIS SAMIA ALITOA RUZUKU NA BEI YA MBOLEA IKASHUKA KUTOKA TSH. 150,000 MPAKA TSH. 60,000/KILO "Nampongeza sana Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan na Amir Jeshi Mkuu kwa...
0 Reactions
1 Replies
74 Views
Habari za weekend wakuu poleni na majukumu ya wiki nzima… Niende kwenye mada, nina eneo la kutosha na lenye banda la kisasa maeneo ya CHANIKA-Dar nimeanza ufugaji wa Ng’ombe kwasasa yupo mmoja...
0 Reactions
4 Replies
157 Views
Wanajanvi Salaam, Ni matumaini yangu wanajanvi mko wazima na mnaendelea na harakati za upambanaji wa kutafuta mkate wa familia. Napenda kuleta mlejesho wangu kuhusu safari yangu ya kwenda Mpanda...
48 Reactions
371 Replies
42K Views
Habari zenu Wana JF , Kama kichwa cha habari kinavyo sema hapo juu , nataka niingie kwenye Kilimo na kama unavyo jua Kilimo chetu apa kibongo bongo ni kwenye ardhi ingawa teknologia ya sasa...
3 Reactions
36 Replies
2K Views
Where can i get seeds for bismarckia nobilis palm shown below Francis WhatsApp +254 721 663 208
1 Reactions
5 Replies
258 Views
Wanajamii habari zenu wote. Polen wadau kwa Mihangaiko za hapa na pale, Ndugu zangu najua huku kuna wakulima wazuri japo wapo pia paper farmers lakini najua mkulima wakweli akitoa ushauri huwa...
1 Reactions
39 Replies
10K Views
Rejea Pt 1 hapa kilimo cha alizeti [emoji116][emoji116][emoji116] https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/Naingia-Shambani-very-serious-kulima-Alizeti.1928043/ Msimu huu nataka kulima...
3 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari wapendwa. Kutokana na kutafuta njia za kijikim na kupata kujiajiri mwenyewe,Nimefikia wakati ambapo nahitaji kuongeza nguvu na juhudi za kuweza kufanya uzalishaji uongezeke haraka kwa...
1 Reactions
74 Replies
50K Views
Habar wadau? Napenda kufuga nguruwe ila sina uzoez wowte ndo nataka niingie ktk game! Mwenye experience anisaidia, mbegu bora banda bora.
2 Reactions
15 Replies
804 Views
RC KATAVI, MHE. MWANAMVUA MRINDOKO: Uzalishaji wa Chakula Mkoa wa Katavi Waongezeka UJUMBE WA RC KATAVI KWA WATANZANIA KUHUSU MAZINGIRA WAKATI WA MAAHDIMISHO YA MIAKA 60 YA MUUNANO. Mkuu wa Mkoa...
0 Reactions
0 Replies
73 Views
Habari wanafamilia wa JF, Nipo Tanga, Nina shamba lenye miundombinu yote ya Kilimo na Ufugaji, kama mabanda, zizi, nyumba ya wafanyakazi n.k. Ila bado tumaji. Kuna maji ya bomba ila hayatoshi kwa...
0 Reactions
4 Replies
521 Views
Habari, Nimenunua mbuzi lakini kinyesi chake sio Kama mbuzi wengine naomba msaada nielewe shida nini
0 Reactions
6 Replies
538 Views
Members habari naweza kutajirika kupitia ufugaji na kitu gani Cha kufuga kitakachonitoa haraka
1 Reactions
6 Replies
354 Views
Salaam ndugu wakulima nawafugaji Husika na mada tajwa hapo juu Twambie wewe ungefuga myama gani? Karibu
1 Reactions
22 Replies
737 Views
Habari wakuu naomba mwenye viranga vya kuku wa kienyeji anaeuza tuwasiliane ,niko Mwanza.
1 Reactions
17 Replies
1K Views
Back
Top Bottom