Nchiyanguu
JF-Expert Member
- Sep 3, 2021
- 276
- 490
Habari za weekend wakuu poleni na majukumu ya wiki nzima…
Niende kwenye mada, nina eneo la kutosha na lenye banda la kisasa maeneo ya CHANIKA-Dar nimeanza ufugaji wa Ng’ombe kwasasa yupo mmoja tu.
Nipo hapa kutafuta mtu ambae tunaweza fanya mradi kwa pamoja.
Karibu PM tujadili
Niende kwenye mada, nina eneo la kutosha na lenye banda la kisasa maeneo ya CHANIKA-Dar nimeanza ufugaji wa Ng’ombe kwasasa yupo mmoja tu.
Nipo hapa kutafuta mtu ambae tunaweza fanya mradi kwa pamoja.
Karibu PM tujadili