Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 2,030
- 974
Mbunge Nicholaus Ngassa Aeleza Jinsi Jimbo la Igunga Linanufaika na Bajeti ya Wizara ya Kilimo
Mbunge wa Jimbo la Igunga Mhe. Nicholaus George Ngassa Akimpongeza Waziri wa Kilimo Mhe. Hussein Mohammed Bashe baada ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitisha Bajeti ya Wizara ya Kilimo.
Jimbo la Igunga Linanufaika na Bajeti ya Wizara ya Kilimo kwenye;
1. Ruzuku ya mbolea na pembejeo za kilimo.
2. Fedha za kufuatilia shughuli za Kilimo vijijini zitakazotolewa Ofisi ya Mkuu wa Wilaya.
3. Visima vya wakulima wadogo Isakamaliwa na Igogo (Nanga)
4. Usanifu wa kina na ujenzi wa Bonde la kimkakati la Wembere
5. Usanifu wa kina na ujenzi wa miundombinu ya Umwagiliaji wa Bwana la Mwamapuli (Mwanzugi)
6. Usanifu wa kina na Ukarabati wa Skimu ya Igurubi
7. Upembuzi yakinifu wa Skimu ya Makomelo
8. Ujenzi wa Nyumba za Maafisa Ugani Kining'inila na Kinungu
Wana Igunga, Tunaishukuru Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwekeza Fedha nyingi kwenye Sekta ya Kilimo inayogusa maisha ya Wananchi wa Jimbo la Igunga kwa zaidi ya Asilimia Themanini.
NICHOLAUS GEORGE NGASSA
MBUNGE WA JIMBO LA IGUNGA
Mbunge wa Jimbo la Igunga Mhe. Nicholaus George Ngassa Akimpongeza Waziri wa Kilimo Mhe. Hussein Mohammed Bashe baada ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitisha Bajeti ya Wizara ya Kilimo.
Jimbo la Igunga Linanufaika na Bajeti ya Wizara ya Kilimo kwenye;
1. Ruzuku ya mbolea na pembejeo za kilimo.
2. Fedha za kufuatilia shughuli za Kilimo vijijini zitakazotolewa Ofisi ya Mkuu wa Wilaya.
3. Visima vya wakulima wadogo Isakamaliwa na Igogo (Nanga)
4. Usanifu wa kina na ujenzi wa Bonde la kimkakati la Wembere
5. Usanifu wa kina na ujenzi wa miundombinu ya Umwagiliaji wa Bwana la Mwamapuli (Mwanzugi)
6. Usanifu wa kina na Ukarabati wa Skimu ya Igurubi
7. Upembuzi yakinifu wa Skimu ya Makomelo
8. Ujenzi wa Nyumba za Maafisa Ugani Kining'inila na Kinungu
Wana Igunga, Tunaishukuru Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwekeza Fedha nyingi kwenye Sekta ya Kilimo inayogusa maisha ya Wananchi wa Jimbo la Igunga kwa zaidi ya Asilimia Themanini.
NICHOLAUS GEORGE NGASSA
MBUNGE WA JIMBO LA IGUNGA