Alejandroz
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 327
- 376
Salaam ndugu wakulima nawafugaji
Husika na mada tajwa hapo juu
Twambie wewe ungefuga myama gani?
Karibu
Husika na mada tajwa hapo juu
Twambie wewe ungefuga myama gani?
Karibu
Kufuga ki-biashara kufuga kwa hobby, yaani pets, wanyama kama mbwa, paka nk?Salaam ndugu wakulima nawafugaji
Husika na mada tajwa hapo juu
Twambie wewe ungefuga myama gani?
Karibu
Naomba nije dm tuelekezane ufugaji wa kuku mkuu wangu.Kuku au njiwa
Tuelekezane hapa wengine nao wafaidikeNaomba nije dm tuelekezane ufugaji wa kuku mkuu wangu.
Kibiashara mkuuKufuga ki-biashara kufuga kwa hobby, yaani pets, wanyama kama mbwa, paka nk?
Binafsi mimi napendelea kilimo zaidi, hasa cha mboga, lakini kulingana na mada yako kama ukiniambia ni lazima nifanye ufugaji, basi nadhani kuku ndiyo chagua langu.Kibiashara mkuu
Kuku wa aina gani mkuuBinafsi mimi napendelea kilimo zaidi, hasa cha mboga, lakini kulingana na mada yako kama ukiniambia ni lazima nifanye ufugaji, basi nadhani kuku ndiyo chagua langu.
Hautaki kufuga nguruwe?Kuku au njiwa
Unalina mboga gani? na soko kuu lako ni wapi?Binafsi mimi napendelea kilimo zaidi, hasa cha mboga, lakini kulingana na mada yako kama ukiniambia ni lazima nifanye ufugaji, basi nadhani kuku ndiyo chagua langu.
Silimi ila nimechangia kama ''ningekuwa nalima''Unalina mboga gani? na soko kuu lako ni wapi?
Juzi nimetoka nunua Bundle la vitabu Pdf. Ufugaji wa Kuku wa kienyeji na kisasa. Vilikuwa vitabu zaidi ya .Tuelekezane hapa wengine nao wafaidike