Ugandan News and Politics

Serious discussions on Politics and Latest news from Uganda

JF Prefixes:

  • Redirect
Mzee Samuel Maikut (6O) amejikuta mikononi mwa polisi baada ya kwenda kwenye sherehe ya utambulisho na kutoa mahari akiwa mikono mitupu. Mzee Maikut ambaye ni mkazi wa Jimbo la Kitawoi, Wilaya ya...
0 Reactions
Replies
Views
Rais wa Uganda Yoweri Museveni amepuuzilia mbali wasiwasi wake kuhusu kuondolewa kwa nchi yake katika mpango maalum wa kibiashara wa Marekani na Afrika,AGOA. Wiki iliyopita, Rais wa Marekani Joe...
0 Reactions
16 Replies
971 Views
Waziri wa fedha nchini Uganda, Haruna Kasolo ameripotiwa kulitaka bunge kupitisha mswada wa kuruhusu watu maskini kuwekwa katika mpango wa kucharazwa viboko na mijeledi kila wakati ili...
4 Reactions
9 Replies
663 Views
Mwenye taarifa zitakazosaidia kukamatwa kwa hawa magaidi yenye mlengo wa kiislamu, atapewa hela ndefu sana Police have offered at least Shs40million for information leading to the arrest of...
2 Reactions
5 Replies
611 Views
Ugandan prosecutors on Monday charged the commander of a feared militia with terrorism and murder over the killing of two foreign tourists and their driver last month. A commander in the Allied...
-1 Reactions
1 Replies
682 Views
Rais Yoweri K. Museveni amesema Bajeti hiyo itakuwa ikitengwa kila mwaka ikiwa na lengo la ili kukuza ubunifu wa Kiteknolojia nchini humo pamoja na kuwapa motisha Wabunifu wanaoingia kwenye Soko...
0 Reactions
1 Replies
620 Views
Ombi langu kama Wabunge wa Tanzania nao wakiamua kama Wenzao wa Uganda ikitokea wenye Jukumu la Kunyonga Mashoga wakikosekana wasisite Kuwasiliana nami kwani naweza kutoa Kwao Ushirikiano...
3 Reactions
31 Replies
1K Views
Kwa mujibu wa Wizara ya Afya kupitia Idara ya Afya ya Akili, waliobainika kuwa kwenye hali hiyo ni Vijana wenye miaka kati ya 15 na kuendelea ambao wanakabiliwa na tatizo la Kushindwa Kuacha au...
0 Reactions
2 Replies
535 Views
Hii ni mvua ya rasha rasha Bado moto wenyewe,wakaze fuvu waone kitakachojiri. Yaani Nchi Ina njaa umaskini Hadi mwisho harafu inatunishiana Misuli na Matajiri. Walisema watakomaa vipi tena...
0 Reactions
36 Replies
2K Views
Mwasibota Bazzukulu! Ndugu Rais Yoweri Kaguta K Museveni aliingia madarakani kama Rais nchini Uganda kwa njia ya mtutu wa bunduki, kama muasi dhidi ya serikali ya Milton Obote mwaka 1986, wakati...
2 Reactions
0 Replies
531 Views
Matukio kama haya ndio hufanya mapagan wasioabudu katika Mungu wanatushangaa sisi tunaoabudu maana mtu anakuja kabisa kupanga kuwalipua mabomu wakati mnaabudu ili mfe, huku akijiaminisha...
0 Reactions
3 Replies
507 Views
Rais Museveni ametoa agizo kwa serikali kuongeza mishahara ya walimu wanaofundisha programu za sayansi katika vyuo vikuu vya umma. Agizo hili limetokana na taarifa iliyotolewa na Profesa Eli...
0 Reactions
0 Replies
350 Views
Norway imetangaza kufunga ubalozi wake nchini Uganda mwaka ujao kama sehemu ya mageuzi ya kina katika huduma zake za kigeni. Taarifa iliyotolewa na ubalozi huo siku ya Ijumaa ilisema kuwa...
1 Reactions
0 Replies
348 Views
Wabunge nchini Uganda wamekataa pendekezo la serikali la kuruhusu wasichana wenye umri wa miaka 15 kupata tembe za kupanga uzazi ili kupunguza viwango vya juu vya mimba. Naibu Spika Thomas...
1 Reactions
2 Replies
647 Views
Mahakama ya Jijini Kampala imetoa agizo kwa msimamizi wa kikundi cha WhatsApp (Admin), Allan Asinguza, kumrudisha tena mwanachama, Bwana Herbert Baitwababo, ambaye inasemekana aliondolewa bila...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Mwanasiasa mmoja wa kike wa Uganda ameibua hisia tofauti mtandaonibaada ya kukiri kwa ujasiri kuwa ameamua kujirejeshea gari la wagonjwa alilotoakama msaada kwa wapiga kura wake kwa matumaini...
7 Reactions
37 Replies
2K Views
  • Redirect
Mwanasiasa wa upinzani nchini Uganda, Bobi Wine amekamatwa na kuwekwa kuzuizini nyumbani kwake mara baada ya kukamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Entebbe leo aliporejea akitokea nje ya...
0 Reactions
Replies
Views
UGANDA: Kiongozi wa Chama cha Upinzani cha National Unity Platform (NUP), Robert Kyagulanyi, maarufu kama Bobi Wine amewekwa chini ya Ulinzi nyumbani kwake baada ya kukamatwa na Maafisa wa Usalama...
1 Reactions
1 Replies
553 Views
Mnamo mwaka 2021 mwanasiasa wa Uganda Evelyn Anite Kajik alishindwa uchaguzi wa ndani wa chama chake cha NRM katika manispaa ya Koboko dhidi ya mpinzani wake Dr Charles Ayume, mtoto wa Spika wa...
0 Reactions
11 Replies
496 Views
Kwa mujibu wa Irene Bateebe, Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Serikali bado iko kwenye majadiliano na Mshirika kutoka China ambaye anatarajiwa kuwekeza karibu nusu ya Fedha za Ujenzi wa Mradi wa...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom