Ugandan News and Politics

Serious discussions on Politics and Latest news from Uganda

JF Prefixes:

Askari wa Usalama Barabarani wametangaza kufunga barabara jijini Kampala kwa ajili ya sherehe za kuadhimisha Miaka 79 ya kuzaliwa kwa Rais Yoweri Museveni, Septemba 8, 2023, zitakazofanyika katika...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Waganda hasa Bazzkulu. Salamu. Mambo yanakwenda vizuri nchini Uganda licha ya ufisadi wa baadhi ya Watumishi wa Umma na baadhi ya vipengele vya tabaka la kisiasa. Jana usiku, afisa kutoka Benki...
1 Reactions
6 Replies
804 Views
Taarifa ya Polisi inasema kuwa Mtuhumiwa Taheed aliamua kumchukua mtoto kwa kipimo cha DNA na matokeo yakawa hasi kuwa mtoto hawajafanana vinasaba. Aliporudi nyumbani na baada ya malumbano...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
My Take Rwanda tayari,Uganda tayari. --- The President was speaking at the opening of 16 factories at Sino-Uganda Mbale Industrial Park yesterday. President Museveni has re-echoed the need for...
3 Reactions
121 Replies
8K Views
Rais Yoweri Museveni ametoa kauli hiyo baada ya WB kutangaza kusitisha Ufadhili na Mikopo yote mipya iliyoombwa na Serikali kutokana na Nchi hiyo kupitisha Sheria inayozuia Mapenzi ya Jinsia moja...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Kampuni ya Magharibi ilikuja na kupendekeza kuchimba urani. “Nichimbe na upeleke wapi?” Walisema“ Isafirishe nje ili kuzalisha nishati ya nyuklia kwa ajili ya umeme na dawa. Nikawauliza...
13 Reactions
23 Replies
2K Views
Wanamgambo Waasi wa Allied Democratic Forces (#ADF), wanadaiwa kushambulia Shule ya Sekondari #Lhubirina katika mji wa #Mpondwe, na kusababisha vifo 40, huku idadi isiyojulikana ya watu wakitekwa...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Mauaji hayo yametokea katika Mji wa Mpondwe uliopo Magharibu mwa Uganda ambapo pia watu sita wametekwa nyara na wanamgambo wa vikundi vya waasi wanaodaiwa kufanya shambulizi hilo. Shambulii hilo...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Taarifa ya WB, imesema uamuzi huo unatokana na Serikali ya Rais Yoweri Museveni kupitisha Sheria inayopingana na wanaojihusisha na Mapenzi ya Jinsia moja. "Maono yetu ya kutokomeza umaskini...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Tarehe 02nd June 2023, maofisa wa uhamiaji wa Uganda walikamata silaha za Falme za Kiarabu (UAE) zikipelekwa Sudani kupitia Chad kulingana na makala ya WSJ (Wall Street Journal) ya leo tarehe 10th...
4 Reactions
18 Replies
2K Views
Kiufupi ni kwamba hii Dunia inaelekea mwisho Wakati tunalia na IGA ya DP World tuwaangalie World Bank nao na Masharti yao kwa ndugu zetu wa Uganda Unaweza usiwalaumu kabisa Waarabu hata kama...
0 Reactions
5 Replies
596 Views
Yameona mwanga na kuamua hayapo tayari kuwahishwa kwenda kule kwa mautamu ya akhera. Japo natoa wito yasiaminiwe sana kihivyo, inaweza ikawa zuga ya kupata fursa ya kuachiwa yajilipue sehemu yenye...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
12 May 2021 Kampala, Uganda Ceremonies for the 6th swearing-in of President Yoweri Museveni started early in Kololo, Kampala on Wednesday 12, May 2021 President Museveni’s full speech on his...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Kwa mujibu wa Kamishna wa Haki za Binadamu wa UN, hatua hiyo inafuatia uamuzi wa Serikali ya Rais Yoweri Museveni kutohitaji kuendelea kwa Makubaliano ya uwepo wa Ofisi hizo nchini humo. Katika...
0 Reactions
1 Replies
693 Views
Serikali ya Uganda imewashauri wanaume kuacha kufanya vipimo vya vinasaba (DNA) kubaini ukweli wa uzazi, ikisema kuwa haina manufaa kwa ustawi wa nchi hiyo. Waziri wa Afya Msingi wa nchi hiyo...
0 Reactions
3 Replies
552 Views
HAKIMU WA KIUME ADAIWA KUJIGEUZA BINTI, AKAMATWA AKIMFANYIA MTIHANI MPENZI WAKE Hakimu mmoja nchini Uganda amefutwa kazi kutoka utumishi wa mahakama baada ya kukamatwa kwa kujifanya mwanamke ili...
4 Reactions
13 Replies
1K Views
Which nation Colonized Burkina Faso? The historical backdrop of Burkina Faso incorporates the historical backdrop of different realms inside the country, like the Mossi realms, as well as the...
1 Reactions
0 Replies
356 Views
Hatimaye, zama za mbabe wa siasa za jirani zetu pale Kenya bwana Raila Odinga, dalili zote zinaashilia zi-ukingoni. Kwa namna Rais Ruto anavyotaka kushughulika na mwamba yule, hakika, ni suala la...
2 Reactions
7 Replies
794 Views
Kwa mujibu wa Taasisi ya Parliament Watch ya Uganda, Maafisa hao wametajwa na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali kuhusika na ubadhirifu huo, hivyo wanapaswa kujieleza kwa Umma juu ya sakata hilo...
4 Reactions
10 Replies
852 Views
Kutoka Uganda Polisi nchini humo wanamshikilia Mwanaume (23) na Mpenzi wake (35) kwa kosa la kuingia nyumba ya Jirani wakiwa wanatoka Baa usiku kisha kufanya mapenzi kwenye kitanda cha Jirani huyo...
5 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom