Mmmesikiaaaaa jirani anafanyaje bila uchawa
Hongera sana Wiliam Rotu kwa kazi kubwa unayoifanya hapo Kenya nimesikia umechukuw hatua kushusha Bei ya nishat ya umeme na wananchi wamelipokea kwa...
Kenya is deeply concerned by Iran's attack on the State of Israel. This disturbing development only serves to aggravate an already delicate situation in the Middle East. The attack represents a...
MPARD ( Mombasa Port Area Road Development) Project
This comprises of;
1.Mombasa to Mariakani highway.( Lot 1 - Mombasa kwa Jomvu. Lot 2 - Kwa Jomvu to Mariakani
2.Mombasa Southern Bypass...
Hivi kwanini KENYA ni maarufu kuliko nchi nyingi sana
Katika bara letu la AFRICA?
Yani ni vitu gani.....vinaifanya KENYA..ijulikane sana
Kuliko nchi nyingine nyingi za ukanda huu wa AFRICA...
Now some of individuals brag a lot about Nairobi quality facilties without knowing Zanzibar Island has relative the same quality facilities. It's time to make this known.
Emotions aside these two cities i.e. Stonetown city n Mombasa city have so much in comon. From international airports to ports to world class hotels, resorts n lodges to historical attractions...
Kampuni ya kutoa Mikopo kwa Njia ya Mtandao ya #WhitePathLTD, imepigwa faini ya Ksh. 495,614 sawa Tsh. Milioni 8.6 kwa madai ya kuingilia na kutumia taarifa binafsi za wateja kufuatilia wadeni...
Plans to convert trains into meeting rooms are at an advanced stage following a discussion between Kenya Railways Corporation (KRC) and Kenyatta International Conference Center (KICC).
Speaking...
Katibu wa Wizara ya Kilimo nchini Kenya, Dkt. Paul Rono, ameamuru kusitishwa kwa uuzaji wa mbolea aina ya NPK 10:26:10 inayotengenezwa na kampuni ya Ken Chemicals ya Thika.
Katika barua yake kwa...
Shirika la ndege la taifa la Kenya, Kenya Airways, limeeleza kuwa limeandikisha faida ya uendeshaji mwaka wa 2023, faida yake ya kwanza katika miaka saba iliyopita.
Kiwango cha bilioni 10.5 za...
Imagine hadi watu wanakufa kufikia 429 serikali haijui? Watu 429 sio wachache hii inamaanisha kuna watu wengi sana wanapotea na kufa pasipo serikali kujua.
Swali linakuja kama intelligencia iko...
Since the EACOP is gaining momentum, I would like to give my suggestion of having a single thread that will accommodate all matters regarding to development of a project. This will cub the...
Ni mchungaji Paul Mackenzie wa nchini Kenya ambaye pia shambani Kwake walikutwa wamezikwa Waumini wake zaidi ya 400 Kinyume cha sheria
---
Kenya court jails cult leader Mackenzie for one and half...
Mahakama kuu ya Kenya imetangaza kwamba kifungo cha maisha ni kinyume cha katiba na kimeelezwa kuwa ni hukumu isiyo na mantiki wala usawa.
Kwa mujibu wa Jaji Justice Nixon Sifuna, kumpa mtu...
Mamlaka ya Mapato Kenya (KRA) ilikusanya jumla ya Ksh 1.27 trilioni katika nusu ya kwanza ya mwaka wa kifedha 2023/24 ulioisha mwezi wa Desemba 2023.
Data mpya kutoka Hazina ya Kitaifa inaonyesha...
PRESS STATEMENT: GOSPEL ARTISTE WILLIAM GETUMBE ARRESTED OVER INDECENT CONTENT
The Kenya Film Classification Board (KFCB) through its North Rift Regional Office, Eldoret, and with the support of...
Mwanaume wa Kaunti ya Vihiga amekiri kumuua Mwanamke aliyetambulika kwa jina la Kahongeri (43) kutokana na aliyemtuma kufanya mauaji kukataa kumlipa Ksh.20,000 (Tsh. 372,200).
Mtuhumiwa ambaye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.