Leo saa kumi na moja jioni dr slaa alikuwa tarakea, rombo kuja kuivyunja ngome ya Mramba,
hotuba
Aliongolea kuhusu jumuiya ya afrika mashariki, na kueleza kuwa hataki hadi kazi ya afisa...
Hali halisi kwa sasa by P gazeti la Tanzania Daima
KAMPENI za Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu zimetufungua macho na kutufanya tuyaelewe kwa undani mambo mbalimbali tuliyokuwa tukiyachukulia kimazoea...
Ni wakati wa kuanza kufikiria kinyang'anyiro cha urais hapo mwakani.
Nadhani ni wakati kufikiria mgombea mwenza wa kiti cha URAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa tiketi ya CCM. Dr Shein...
Na Maulid Ahmed
Daily News;
Saturday,May 24, 2008
Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalumu Dar es Salaam, Alfred Tibaigana anayetarajia kustaafu Julai mwaka huu amesema huenda akagombea ubunge...
Magufuli Ang'aka.......Awaambia TANESCO Wajiandae Kuondoka ofisini Baada ya Uchaguzi .Awataka WanaArusha Waache Fujo
Akizungumza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Uwanja wa Sheikh...
Mbali na kampeni za uchaguzi zinazoelekea ukingoni kutoa mielekeo ya nani anafaa zaidi kukabidhiwa uongozi wa nchi.Ufuatao ni uelewa wangu kuhusiana na wagombea watatu wa nafasi hizo.Hao ni...
JF
Kuna hii outcome ya Mkutano wa Halmashauri Kuu CCM Dodoma: je mnasemaje?
Yaani kura za wagombea Ubunge na Madiwani zitapigwa na wanachama wote matawini tofauti na wajumbe wachache...
Nina uhakika sugu atafanya vyema sana kama mbunge; ila atakuwa na impact kubwa sana kama ataendelea na kuandika nyimbo sababu hizi zinafikisha ujumbe zaidi just imagine akitengeneza single beti la...
Hivi vyama vya upinzani Tanzania huwa vina conduct polls kwa wapiga kura kuona wana simama wapi na wapiga kura? Kwa wenzetu kwenye nchi zilizo endelea polls hufanyika kila wakati haswa nyakati za...
Utabiri wa Shekhe Yahya wakwama.
Na Mwandishi Wetu
LICHA ya utabiri wa Mnajimu maarufu nchini, Shekhe Yahya Hussein kubainisha kuwa mwaka huu kusingekuwa na Uchaguzi Mkuu, hali imekuwa...
Mafisadi waziteka kampeni za Kikwete
Na Saed Kubenea, Mwanahalisi
KAMPUNI iliyopewa kazi ya kukusanya fedha za kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) Push Mobile Media Limited inahusishwa...
Siku kama leo,mwaka 1999 Tanzania ilimpoteza muasisi wa taifa,Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.Kilichowaliza Watanzania wengi ni hofu na mashaka kuhusu hatma ya taifa lao.Pamoja na mapungufu yake...
Leo kama tunavyojua wengi wetu kuwa Chadema inafanya ufunguzi wake wa kampeni hapo jangwani jijini Dar. Naomba wadau tupeane taarifa (Breaking News) za kuhusu huo mkutano pamoja na JWTZ, vipi...
Na. Lula wa Ndali Mwananzela (Raia Mwema)
WAKATI umefika wananchi wapewe uwezo wa kuwakusanya wabunge wote na kuanza kuwapiga makonzi mmoja mmoja hadi pale wananchi watakaporidhika kuwa wabunge...
Nimezunguka kwenye kata mbili, Daraja mbili- Arusha mjiji na Bangata-Arumeru Magharibi. Tangu Asubuhi watu wamemiminika vituoni na katika Hali ya kutaharuki ccm walitaka kuwafanyia vurugu Lema na...
Habari zenu wanathnker hebu tuambie nani amechukuwa huko igunga mana siunajua tena nje yenu matokeo yanakuja kutoka mshindi tumeshamjua vipi huko igunga chama gan ninasemekana nimeongoza au...
Kadri matokeo ya upigaji kura yanavyozidi kutolewa na vyombo vyetu vya habari, chama cha CUF kinatajwa katika kila matokeo hata kama kimepata sufuri au ziro. Huu ni upendeleo, mbona vyama vingine...
Kwa mujibu wa Renatus Mutabuzi mawasiliano nje kidogo ya mji hakuna. Hii inashangaza hata vodacom haioni kuwa charity starts at home?Kweli wana igunga hata picha hamuoni? Yaani mngechagua hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.