Kuna tetesi za uhakika kuwa yule bwana mkubwa aliyetaka kuchukua form za kugombea kanyumba keupe(white house), amehamia chadema na tayari amechukua form za ubunge kupitia jimbo la maswa...
Jina
Umri
Elimu
Jimbo
Mkoa
Dr. Batilda Salha BURIANI
45
Chuo Kikuu
JIMBO LA ARUSHA
ARUSHA
Jeremiah Solomon SUMARI
67
Sekondari
JIMBO LA ARUMERU MASHARIKI
ARUSHA
Goodluck Joseph ole...
Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labour (TLP), Augustino Mrema ambaye ameombwa kugombea ubunge Jimbo la Vunjo lililopo mkoani Kilimanjaro mwaka 2010 amekubali kugombea nafasi hiyo ikiwa atatakiwa...
Ikiwa imebaki mwaka 1 1/2 kufikia uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madiwani, CCM imeanza maandalizi ya kujipatia kiasi kikubwa cha pesa za kufanikisha uchaguzi kutoka Hazina.
Mikakati hiyo...
Wadau nimejaribu kutafuta CV ya huyu mama bila mafanikio, nikaona ni vema na haki niyalete maombi yangu kwa yeyote anayemfahamu huyu mama ambaye ni miongoni mwa wanachama wa CCM walipitishwa...
Yes ni ukweli ambao CCM ilishindwa 2015 ilibaki kwasababu ya dola na kuendelea kuongoza na ndo tatizo lilipoanzia.
2015 ulikuwa mwaka ambao kimatinki kabisa ndo ilikuwa mwisho wa CCM kama chama...
Wadau kwa tathmini huru ya mwenendo wa siasa kuanzia 2014 hadi tukielekea 2020 tunaona yafuatayo
1. Wananchi are not elastic towards politics na hii imechangiwa na kazi nyingi -- hapa kazi tu na...
Leo kulizuka songobingo baada ya gari la matangazo la TLP kupita mitaani ilikitangaza kuwa bwana God bless Lema amekihama chama chake cha CHADEMA na kwenda TLP ndipo bwana Lema alipotarifiwa juu...
Kampeni hii itakayojulikana kwa jina la “TANZANIA YA WANANCHI” inalenga kuelimisha, kuhamasisha wananchi katika kutambua haki zao za msingi kwa kuzingatia misingi ya katiba ya Jamhuri ya Muungano...
Tayari Wagombea wote akiwepo JK wameshawasili.
Dr. Wibroad Slaa bado hajawasili:
==================
UPDATES:
MATOKEO YAANZA KUTANGAZWA KAMA IFUATAVYO:
WALIOJIANDIKISHA: 20,137,303
Waliopiga...
Wadau, hebu angalieni hizi takwimu hapa chini halafu mweney kujua atujuze kwa nini mwaka 2010 umekuwa kama outlier, yaani hiyo spike sio ya kawaida, kama unachora graph itakutisha kwa jinsi...
Hii imekaaje wana JF, Kweli Mwakalebela ana furaha au basi tu kakubali yaishe.
Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji ya Baraza la Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM)Taifa, Ridhiwani...
Habari zinazochipukia sasa zinasema Anna Tibaijuka amempiku Wilson Masilingi katika kura za maoni kule Muleba. Prof Anna Tibaijuka alishinda kwa kupata kura 5,275 dhidi ya 2,092 za Masilingi. Kwa...
Katika kuelekea Uchaguzi Mkuu Chama Cha CHADEMA Kimeendelea kujiimarisha katika kila idara.Hivi Karibuni CHADEMA imezindua ring tones na caller tunes kwaajili ya kuhamasisha Watu mablimbali...
Jana wakati naangalia luninga, nilishtuka kuona kuna mgombea mmoja hivi wa Tabora mjini, jina lake ni Aden rage, huyu jamaa nikakumbuka alikuwa anajihusisha sana na masuala ya mpira sijui ni TFF...
As self reflection on the state of social service delivery in Tanzania continues more people are becoming of the view that government is capable of providing free key social services like...
Atangaza kikosi cha kumsambazia fomu
Ni timu tisa, kila moja ina wanafunzi wanne
Rais Jakaya Kikwete
Wakati joto la Uchaguzi Mkuu likizidi kupanda, Rais Jakaya Kikwete, amesema...
Hii nimeipata sasa hivi
Vyombo vya ulinzi na usalama nchini Tanzania vimewataka viongozi wa vyama vya siasa nchini kukubali matokeo ya uchaguzi mkuu yatakayotangazwa na tume ya taifa ya...
Mgombea urais kupitia Chama cha Maendeleo na Demokrasia, Dk wilbrod Slaa amerusha kombora kwa mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi Tanzania (JWTZ), Luteni Jenerali Abdulrahman Shimbo, kumtaka awaeleze...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.