Asilimia angalau 80% ya mashoga ni matokeo ya single mothers ( Watoto kulelewa bila baba).

Wewe hizo ni assumption zako na sio kweli,kuna wengine baba na mama ndio wamewalea but wako hivyo
 
Hata humu tunaye mmoja! Amemfuata dada wa watu pm, akamuomba amtafutie eti mtu wa kumtekenya......! Inawezekana ikawa kweli aisee!!

Na hizo chips yai mnazoshindia huko Dar, ndiyo zinawaongezea matatizo zaidi. Poleni sana. Huku Vijijini tuliko, kuna unafuu sana.
mlete tumpe counselling 0783 252 625
 
Wewe hizo ni assumption zako na sio kweli,kuna wengine baba na mama ndio wamewalea but wako hivyo

wala sio uongo,familia ambayo baba hayupo ama yupo ila analega lega kusimama na familia yake lazima mwisho uwe watoto wa kiume kupukuchuliwa.
 
Miaka michache ijayo sijui kama kutakua na wanaume hapa Dar

Nasema haya kwasababu mashoga wanaongezeka kwa kasi sana ushoga umekua ni jambo la kawaida hapa Dar

Sidhani kama kuna mtaa dar ambao hauna mashoga mungu atunusu maana kwasasa mashoga wa sasa sio kama kipindi cha nyuma wa sasa hivi unakuta ni mtu na status yake haonekani kama ni shoga wengi ni watu smart kichwani na wengine wana ndoa zao

Wengine ni watu na miili yao ya mazoezi wamejazia ukimuona unasema ni kidume wengine hadi ni wale watu wa kombati na nyota zao

Hapa ofisi nayofanyia kazi kuna watu na vyeo vyao wawili nilichogundua wana mahusiano yasiyofaa kwani niliwafuma wamejifungia ofisini japo hawakuniona nilihisi kuishiwa na nguvu

Sijui kama miaka michache kutakua na wanaume marijali wengi itakuja kufika mahali kati ya wanaume 10 ambao ni homesexual ni 8

Hali ni mbaya sana hapa dar kuna haja ya kutangazwa hali ya dharura ushoga ni janga la kitaifa haswa hapa Dar hivi tatizo ninini?Yaani limekua ni jambo la kutisha hadi mtu unaogopa kuzaa mtoto wa kiume mungu nilindie kizazi changu uwiii wanaume kwanini hivyo lakini?
Dah Mungu atusamehe maana hii Ni rahana
 
wala sio uongo,familia ambayo baba hayupo ama yupo ila analega lega kusimama na familia yake lazima mwisho uwe watoto wa kiume kupukuchuliwa.

Bado sio kujustfy maana wengi wa hayo mashoga yana baba na mama kabisa
 
Muziki wa bongo fleva, taarabu na singeli vimechangia sana kushuka kwa maadili ya watto na wanaume.
Mziki mtu anakata mauno, mwanamke anampelekea matako mwanaume na mwanaume anafanya kama wanafanya mapenzi tofauti kuwa tu wamevaaa nguo, then huyo mtoto ukimkuta amepigwa staili ya chuma mchicha unasema kajifunzia wapi wakati wewe ndio umemfunza, umemwacha aangalie hiyo michezo lakini pia hujakemea badala yake wew ni mfuaasi wa huo ushenzi.
Kwa kweli muziki wa Pwani hasa Dar unahamasisha sana upumbavu.
 
Back
Top Bottom