Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,399
- 105,959
Kuamini pia ni ushahidi kwamba hayupo.Mkuu bora uamini alafu usimkute...
Ooooh ๐๐๐๐๐
Angekuwapo tungejua bila utata, tusingeamini.
Kuamini pia ni ushahidi kwamba hayupo.Mkuu bora uamini alafu usimkute...
Ooooh ๐๐๐๐๐
Hamna kitu kama hicho na ndiyo tatizo kubwa la jamii zetu.not true hata mzee kiranga apo juu kasema u just need luck ata kama kuna opportunity and u have prepared. Ongea na nafsi yako jiulize hamna situation umetoboa kizali tu labda kukoswa ajali, kuokota hela njiani, au enzi shule umezingua labda mtoro af kesho yake kwenye majina haumo.. anything un expected but beneficial for u that is luck uwe umeji prepare or not
Naandika kwa ku freestyle kinachokuja kichwani ndo mana umeona hvo wala si take my time to come back with counter attack lengo uelewe!Kwanza kabisa, andika kwa mpango, kwa sentensi, kwa aya.
Vinginevyo naweza kuona una matatizo ya akili na hatuwezi kuelewana kwa vyovyote.
Randomness ndiyo luck hiyo.
Wewe ukizaliwa Tanzania hiyo ni random event iliyoanzia kwenye so many random events zilizosababisha wazazi wako kukutana na hatimaye sperm fulani kuzishinda nyingine na kuungana kwenye mwili wa mama yako mpaka wewe ukazaliwa.
Wewe unachokiita randomness ndiyo mimi nakiita luck.
Sasa unaikataa randomness?
Unasema duniani hakuna randomness?
Labda nikuulize, Bahati ina uhusiano gani na Divine power?Acha uoga, usiwe blind follower jiamini na wewe una akili zitumie ku balance mzani
Naelewa hayo yote.Bila kuwepo na opportunity na bila ya wewe kuwa prepared for that opportunity, there will be "No Luck".
Watu wengi hawapo prepared for opportunities ambayo at least once in a lifetime zinawajia au wamezitafita wakazipata.
Husema "Sina bahati" wakati actually they were not prepared for such an opportunity.
Wengine wapo prepared for a different opportunity au not prepared at all if not enough.
Basically, those are the main ingredients of luck.
Even the hadza hunters and gatherers can stay hungry for a day just because they weren't prepared for the heavy downpour with thunderstorms.
It's not necessarily based on modern westernized society where success is measured by having a lot of dough.
Kuna watu wanaoana leo baada ya wiki mwanamke kapata mimba wengine baada ya miaka miwili unahisi wa pili hawaja prepare na no oppertunity kwao?Hamna kitu kama hicho na ndiyo tatizo kubwa la jamii zetu.
1. Huwezi kutoboa kizali
2. Umekoswakoswa na ajali maana yake nini? Maana yake hakuna ajali, that's it! Hamna cha almanusra au eti kagonga besela basi mnamuona staa.
3. Kuokota hela ni opportunity imekuja and somehow you were prepared and seized it.
Hizo ni elements muhimu maishani.
Huko siyo kujiandaa.Naelewa hayo yote.
Lakini pia, ukijiandaa na tanki la maji kubwa sana kuvuna maji ya mvua katikati ya jangwa la Sahara, sehemu ambayo mvua hainyeshi, kujiandaa kwako kote huko hakutasababisha mvua ianze kunyesha ghafla kwa sababu wewe umejiandaa vizuri kuvuna maji ya mvua tu.
๐๐๐๐๐Aiseeee.Nakazia
Kuna uchakavu kadiri kinavotumika ( If It was an asset) tungesema Depreciation.asee hii biashara ina faida kwa 100% unauza kitu alafu unabaki nayo
Unadanga ili ufungue biashara hiyo elimu ya biashara na ujasiriamali hauna unatarajia unatoboaje kwa hiyo biashara??Mabinti wengi wanadanga ili kupata mitaji ya biashara lakini mwisho wa siku wakipata mitaji wanashindwa kuendesha biashara na wanajikuta wakifirisika na kurudia tena kudanga/Kuuza Mbususu.
Swali zuri, hapo nime relate kama jisi usivoweza kuelezea bahati ndo huwezi kuelezea complexity ya Divine Power kwa maswali yenu kua Mungu huyo yuko wapi nionyeshe.Labda nikuulize, Bahati ina uhusiano gani na Divine power?
Huu uhusiano wa bahati na Divine power umeutoa wapi?
Na una thibitisha vipi uhusiano wa bahati na Divine power upo?
Kama hujapata mtoto maana yake hakukuwa na opportunity ya kupata mtoto au wewe na partner wako hamkuwa tayari. Kwa sababu ukisema bahati umamaamisha nini?Kuna watu wanaoana leo baada ya wiki mwanamke kapata mimba wengine baada ya miaka miwili unahisi wa pili hawaja prepare na no oppertunity kwao?
Mkuu kama huwezi kukiri hujawahi kupata unexpexted favour yoyote maishani mwako i got nothing else to say, kwanza we kuzaliwa tu ni zali kubwa sana!
Naandika kwa ku freestyle kinachokuja kichwani ndo mana umeona hvo wala si take my time to come back with counter attack lengo uelewe!
Haya twende paragraph ingne mana unahama mada, umekiri mwenyewe kwamba mtu unahitaji bahati kutoboa au nakosea?
Ndo nika point out unasemaje unahitaji bahati wakati huwez kuilezea scientifically? Again probability sio luck we mzee.
Randomness is probability ukitaka involve wataalam wa lugha.
Uchakavu inategemea na matunzo tu hata hivyo bado faida ni 100%Kuna uchakavu kadiri kinavotumika ( If It was an asset) tungesema Depreciation.
Hata mke unamtumia kila siku anazaa watoto mpaka 6 ila bado kitu ukiwega wazungu wanakuja mbio ko hii aina ya bidhaa bado inakamata namba 1 kwenye soko kwa kuwa na kiwango cha 100%ya faidaKuna uchakavu kadiri kinavotumika ( If It was an asset) tungesema Depreciation.
Dhana ya Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote kuwapo inapingana na dhana ya bahati/ randomness kuwapo.Swali zuri, hapo nime relate kama jisi usivoweza kuelezea bahati ndo huwezi kuelezea complexity ya Divine Power kwa maswali yenu kua Mungu huyo yuko wapi nionyeshe.
Ndo na me nasema nioneshe bahati iko wapi na nifanyie calculation ya bahati ntakazopata hadi nakufa now nijijue kabisa.
So, the dont work for money and dont save money is an Oxymoron?Kwanza hizo, kwa mujibubwa faksafa zake, zilitakiwa kuandikwa hivi.
1) Don't work for money. Work even more for money.
2) Don't save money. Save even more money.
The whole "don't work for monwy, let money worknfor you" philosophy may easily involve even more work in research in order to know where to invest, even with professiinal help, you are supposed to know how to stategize with your financial advisor, and not ket the advisor take full autonomy and possibly steal from you.
If you say "don't save money, invest" for example, you may very easily advising people who do not have bread to "eat cake".
How could you advise people who do not have money to save to not save money?
Kuna kitu kinaitwa wear and tear mkuu...uchakavu lazima uwepo si kinatumikaUchakavu inategemea na matunzo tu hata hivyo bado faida ni 100%
To close this dialogue, kama huwezi elezea pure randomness na umekiri binadamu anahitaji bahati kule juu.. tafadhali usije kuuliza mtu humu tena eti Mungu yuko wapi nionesheni, Adios.Unasema randomness is probability.
Probability inaweza kuwa calculated kimahesabu. Pure randomness haiwezi kuwa calculated kimahesabu haifuati any order.
Mpaka hapo ushaboogie step.