Habari wana JF,
Nimekua nikiishi Kwa muda mrefu nikiwaza nifanye jambo gani Ili angalau nipige hatua mbele?
Lakini nmekuja kugundua jambo Moja ambalo ni ukweli mchungu, Ukiwa na Hela ni rahisi kupata Hela
Hivo nilikua nauliza kama Kuna mtu anaweza kunisimamia kwenye vipengele tutakavyokubaliana namuhakikishia tutapiga hatua.
Nahitaji partner nimshirikishe katika biashara hii akiwa na mtaji wa 2M
Nimekua nikiishi Kwa muda mrefu nikiwaza nifanye jambo gani Ili angalau nipige hatua mbele?
Lakini nmekuja kugundua jambo Moja ambalo ni ukweli mchungu, Ukiwa na Hela ni rahisi kupata Hela
Hivo nilikua nauliza kama Kuna mtu anaweza kunisimamia kwenye vipengele tutakavyokubaliana namuhakikishia tutapiga hatua.
Nahitaji partner nimshirikishe katika biashara hii akiwa na mtaji wa 2M