Uncle bright
JF-Expert Member
- Feb 9, 2023
- 1,040
- 4,094
Tangu nimezaliwa 1980s mwishoni nimeshaona wafanya biashara wengi sana wakifirisika, kufunga biashara, mtu anaenda dukani kila siku asubuhi hadi jioni hana muda wa familia, kurudishwa nyuma kwa maduka kuungua au kuibiwa, umafia katika biashara, n.k.
Lakini kwa wakati huo huo niliona waajiriwa wengi maisha yao yakiwa at least na nafuu, ni wachache sana waliofukuzwa makazini, walikuwa na muda wa kupumzika na familia zao, mshahara wa uhakika hata wakiumwa, kupanda vyeo, n.k.
Ni kweli wafanyabiashara waapo waliotoboa sana lakini ni wachache, tena ni wachache zaidi ambao hudumu na hali hio kwa zaidi ya miaka 20, lakini kwa upande mwengine ukicheki wale waajiriwa wenye afadhali hawawezi kufikia wafanyabiashara wachache waliotoboa lakini kwa idadi wapo wengi na wanaishi maisha standard kwa muda mrefu tu.
Ukienda hata maeneo wanayoishi watu wenye maisha kama osterbay, mbezi bech, n.k. ni kweli wafanyabiashara wapo na wamejenga majumba ya mabilioni lakini ni wachache idadi yao ni ndogo lakini waajiriwa unawakuta ndio wamejaa zaidi, hapa ndipo unapoona ni kweli waafanya biashara wametoboa ila ni wachache kwa idadi.
Lakini kwa wakati huo huo niliona waajiriwa wengi maisha yao yakiwa at least na nafuu, ni wachache sana waliofukuzwa makazini, walikuwa na muda wa kupumzika na familia zao, mshahara wa uhakika hata wakiumwa, kupanda vyeo, n.k.
Ni kweli wafanyabiashara waapo waliotoboa sana lakini ni wachache, tena ni wachache zaidi ambao hudumu na hali hio kwa zaidi ya miaka 20, lakini kwa upande mwengine ukicheki wale waajiriwa wenye afadhali hawawezi kufikia wafanyabiashara wachache waliotoboa lakini kwa idadi wapo wengi na wanaishi maisha standard kwa muda mrefu tu.
Ukienda hata maeneo wanayoishi watu wenye maisha kama osterbay, mbezi bech, n.k. ni kweli wafanyabiashara wapo na wamejenga majumba ya mabilioni lakini ni wachache idadi yao ni ndogo lakini waajiriwa unawakuta ndio wamejaa zaidi, hapa ndipo unapoona ni kweli waafanya biashara wametoboa ila ni wachache kwa idadi.