Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 9,706
- 19,697
wanaishia tu kupata mimba na kuwa single mother. uzinzi haunaga mwisho mzuri.Mabinti wengi wanadanga ili kupata mitaji ya biashara lakini mwisho wa siku wakipata mitaji wanashindwa kuendesha biashara na wanajikuta wakifirisika na kurudia tena kudanga/Kuuza Mbususu.