Kafulila: Utulivu wa kisiasa wa Rais Samia umekuza Uwekezaji mauzo ya nje yameongezeka kutoka $8.8bl mpaka $13.9bl sawa na TZS 35Trilion

Mkurugenzi wa Ubia nchi PPP Mhe David Kafulila ameueleza umma wa Watanzania kuwa Wawekezaji hawawezi kuwekeza kwenye nchi ambayo haina Utulivu wa Kisiasa,

Aidha Mhe Kafulila amesema ,Nchi ambayo watu wana-tension, Watu wanatafutana haiwezi kupata wawekezaji serious na haya ni matokeo ya 4R za Rais Samia.

Mhe David Kafulila amesema kuwa Uwekezaji Tanzania umekua mfano mauzo ya nje yamekua kutoka $8.8bl mpaka $13.9bl sawa na TZS 35 Trilioni ndani ya miaka mitatu tu ya Rais Samia.

Vilevile Mhe Kafulila anaendelea kwa kusema kuwa Watanzania wameongeza Ukwasi binafsi kiasi ambacho zaidi ya akaunti mpya milioni 20 zimefunguliwa ndani ya miaka mitatu tu ambapo Mobile bank accounts hizo zimefikia 52M Kutoka 32M za tangu Uhuru.

#Sasa kama watu hawana Pesa hizo akaunti wanaweka mawe?

View attachment 2947295
Tanzania inakwenda vizuri japo ni polepole kwakuwa hii nchi pia ni kubwa sana, tuendelee kuiunga mkono CCM.
 
Kafulila alikuwa mpinzani sahihi mwenye kichwa kilichotulia. Kwa Mwenyez Mungu atakuja kujibu kusaliti wananchi hata kama anafanya sawa huko ccm lkn alikuwa nyenzo muhimu katika siqsa za vyama vingi kuibua ufisadi.

Wanasiasa wanasahau kwamba mikono yao sio misafi imejaa damu. Hivyo basi pesa wanayokula simmni haramu.

Jana tulifuturu gizani, tuliswalia gizani. Kwa nn mika 60 ya uhuru tunazimiqna umeme hakuna backup.? We re listening to our selves?

Mbowe katika wanasiasa wote ndiye anaonekana kutonunuliwa. Ndio mwiba pekee....za mbilinyi Joseph sugu.

Zito amehitoa kidizaini nadhani anaelewa hizi dhambi zinazoetendeka katika serikali hakunaga haki.

Ukifuatilia mtendaji anafanya vzr ili Mkurugenzi alinde kibarua chake...das na dc wanahakikisha wanalinda kazi zao..rc rac wanahakikisha wanalinda ugali wao nk nk

Kafulila kama mnakumbuka aliibua escrow akalala na na watu wengi. Tibaijuka alipoteza siha ya usomi wake na mzee wa vijisenti walipoteza uaminifu wao.

Ninlazima wanasiasa wajue wanavyochuma ninharamu
 
Kafulila alikuwa mpinzani sahihi mwenye kichwa kilichotulia. Kwa Mwenyez Mungu atakuja kujibu kusaliti wananchi hata kama anafanya sawa huko ccm lkn alikuwa nyenzo muhimu katika siqsa za vyama vingi kuibua ufisadi.

Wanasiasa wanasahau kwamba mikono yao sio misafi imejaa damu. Hivyo basi pesa wanayokula simmni haramu.

Jana tulifuturu gizani, tuliswalia gizani. Kwa nn mika 60 ya uhuru tunazimiqna umeme hakuna backup.? We re listening to our selves?

Mbowe katika wanasiasa wote ndiye anaonekana kutonunuliwa. Ndio mwiba pekee....za mbilinyi Joseph sugu.

Zito amehitoa kidizaini nadhani anaelewa hizi dhambi zinazoetendeka katika serikali hakunaga haki.

Ukifuatilia mtendaji anafanya vzr ili Mkurugenzi alinde kibarua chake...das na dc wanahakikisha wanalinda kazi zao..rc rac wanahakikisha wanalinda ugali wao nk nk

Kafulila kama mnakumbuka aliibua escrow akalala na na watu wengi. Tibaijuka alipoteza siha ya usomi wake na mzee wa vijisenti walipoteza uaminifu wao.

Ninlazima wanasiasa wajue wanavyochuma ninharamu
Siasa sio uadui,

Ni haki ya Raia yeyote kujiunga na chama chochote
 
Naona unasifia sifia tu nchi za wenzako kwanini?
Kuusema ukweli siyo kusifia. Hata ukiwa duni, utamke kuwa wewe ni duni ili ufanye jitihada ya kuondoka kwenye uduni wako, na siyo kujipa sifa na mafanikio ambayo huna.
 
Nawakumbusha tu kuwa Leo ni ijumaa kuu nyama no.

Nashukuru kwa kuwakumbusha ambao unaamini wamesahau au hawajui ila hao hawatakuwa wakristo au ni wakristo wa majina.

"maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele”.
 
Nashukuru kwa kuwakumbusha ambao unaamini wamesahau au hawajui ila hao hawatakuwa wakristo au ni wakristo wa majina.

"maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele”.
Ila CHADEMA haikufai kabisa Bamas
 
Nashukuru kwa kuwakumbusha ambao unaamini wamesahau au hawajui ila hao hawatakuwa wakristo au ni wakristo wa majina.

"maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele”.
Daaah
 
Back
Top Bottom