Kila jambo Raisi anaona,raisi utahusika na maneno kibao tu ,Hivi hakuna wakuu wa wilaya mikoa mawaziri wapolisi mpaka Mnathubutu kumvaa Raisi ?
Mlipita kwa mkuu wa wilaya,au Mkuu wa Mkoa au vituo vya pilisi na ngazi zake zote hata mnaenda kugonga Ikulu ?
Basi ngazi zote zivunjwe abakie Raisi...
Huu ni unafiki mwingine wa wanasiasa, kwamba katika mambo mengi sana ya shughuli za kiserikali na kisiasa nchini, mnawaalika viongozi wa dini na kutaka wawabariki katika mamlaka yenu nk. Kila wakati tunawaona kina Makonda wakiomba waombewe na viongozi wa dini mara nyingine kwa magoti na machozi...
Kuna wakati lazima viongozi wetu wawe na uwezo wa kuona mbali kwamba wanapaswa kutokweka misimamo ambayo athari zake zitakuwa mbaya huko mbeleni.
In fact, kuwa na msimamo tofauti na matakwa ya wengi na ushauri wa watu wenye hekima ni kuwa na kiburi
Hili suala la kubadili kanuni za uchaguzi...
Kiongozi wa Dini ya Waislamu Sheikh Mwaipopo amjia juu Rais wa Baraza la Maaaskofu wa kanisa katoliki (TEC) Askofu Dkt. Pisa kwa kutoa kauli ya kulaani na kutaka Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Tundu Lissu aachiwe haraka, adai kauli hiyo ni kutaka kuiingilia Serikali.
Pia, Soma: Baraza la Maaskofu...
Tukisema nchi hii inapoelekea mpaka Mr pimbi naye anaitisha vyombo vya habari kuongea upimbi wake.
Wale tunaowakodisha kusimamia harusi na kucheza kwenye harusi ili limetokea huko naijeria yule aliyekuwa mnunua simu za wizi kinondoni na kuwa msanii na kutoboa kimaisha baada ya ruge kufa...
Ex president huyu naona kama kawa mfalme sasa kwenye nchi hii.
Uwezi kusema umetumwa na raisi hata kenya yenyewe kasongo ajawai kumtuma kenyata.
Tokea utawala huu jamaa kawa kama mfalme mkubwa sana
Tuachane na siasa , watoto wadogo wanahitaji kauli ya WaTanzania kwa kile alichokitamka Mheshimiwa Tundu Lisu.
Watoto wetu wanasoma mashule na wengine husikia na kusoma habari ,wanaposikia kuna mtu ameshitakiwa au kutuhumiwa kwa kosa la Uhaini ,wanahitajia jibu lako kwanza waelewe hilo kosa...
Kwa vitendo vyake Je Raisi Samia ni mkweli au Muongo. Wengi wanalalamika kwamba anayesema anasema kisiasa kuanzia 4R ni uongo, chaguzi huru ni uongo, Ripoti za mauaji ni uongo. Je ni kitu gani Samia kasema cha kitaifa na kimekuwa ukweli?
Je tuna Raisi Muongo?
Raisi Samia hana majibu hata moja ya matatizo na alicho bakia nacho ni kutuuuzia Uoga, kututishia Police wake na kadhalika.
Hana majibu ni kwa nini Shiling ya Tanzania inaongoza kwa kushuka Thamani Duniani, Hana majibu ya utekaji na sasa wameza kutekana ndani ya Chama chao still hana majibu...
Kiongozi wa kijeshi wa Niger, Abdourahamane Tchiani, Jumatano ameapishwa kama rais wa nchi hiyo kwa kipindi cha mpito cha miaka mitano chini ya katiba mpya ambayo inachukua nafasi ya katiba ya taifa hilo la Afrika Magharibi.
Hatua hiyo ilipinga vilivyo majaribio ya kambi ya kikanda...
Mungu anasema Vitu Vingi vitabadilika.
Katika uchaguzi Mkuu unaokuja.
Maana watu wengi wamelia kuhusu maisha yao na Hatima za watoto wao , hapa imeangaziwa hali ya maisha ya watu, kiuchumi na mambo mengine kiujumla.
Raisi atashinda atatoka Upinzani watu watakubali kuongozwa nae.
Kwa kuwa huu...
Nitawapa mambo mawili muhimu
Afya: Pamopja na tatizo kubwa ya mfuko wa bima wa taifa sasa kuna watanzania zaidi ya 1.5M wenye virusi vya ukimwi ambao walikuwa wanategemea USAID. Raisi Trump wa USA kafuta hili shirika na kuzuia pesa. Sasa mpaka leo kama Raisi hajaongea lolote na hakuna mpango...
Wasalaam wakuu,
Congo inabembekeza ubia wa kumiliki madini na Marekani ili ipewe Usalama kama malipo
Binafsi nadhani Congo ukitoa Lumumba Patrice haijawahi kuwa na kiongozi wa kweli mzalendo anaeipenda nchi yake. Hali hii imeambukiza taifa zima na hasa vijana ambao ni nguvu kazi. Wote wanaota...
Bila shaka kila mzalendo wa taifa hili, na mfuatiaji wa siasa za Tanzania mwaka huu October atakuwa anahamu sana kumwona Samia akiwaomba kura watanzania.
Mm binafsi namwaonea huruma sana samia sipati picha nzuri kwake ,kwa sababu
a. mvuto na ushawishi wa kisiasa hana,achilia mbali makabila...
Spika Wa Bunge La Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini Dk Tulia Ackson amesema licha ya kuwepo kwa Juhudi mbalimbali za kuwainua Wanawake Katika Nyanja Mbalimbali Ikiwemo Uchumi na uongozi lakini bado kundi la Wanaume wana wajibu wa kuendelea kuwasaidia Wanawake ili...
Kwa ilivyo sasa Raisi Donald Trump maisha yake yapo hatarini mara kumi zaidi ya wakati wa kampeni za kugombea uraisi wa Marekani kwa awamu ya pili.
Viongozi wengi wa nchi kadhaa za bara la Ulaya hawataki amani kati ya Ukraine na Russia. Wanataka vita sababu nchi zao nyingi ni maskini wa...
ednesday, October 23, 2013 KUELEKEA UCHAGUZI WA TFF: HII NDIO ILANI YA UCHAGUZI YA MGOMBEA JAMAL MALINZI
UCHAGUZI WA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF) 2013
ILANI YANGU YA UCHAGUZI
Utangulizi
Ndugu...
Hatimae makamo Rais wa. Iran kajiuzulu baada yakuona sera ya misimamo mikali Rais wake haifaagilii
====
Hayo yameripotiwa na Shirika la habari la Iran, IRNA ambalo limearifu kwamba Zarif, amewasilisha barua hiyo mapema leo kwa Rais Masoud Pezeshkian. Hiyo itakwua ni mara ya pili kwa Zarif...
Popular musician Patience Namadingo invoked biblical scripture on Thursday, challenging President Lazarus Chakwera to "show and not explain" his accomplishments during a presidential youth dialogue at Sanjika Palace, writes Winston Mwale.
"In the Bible, in the book of Luke chapter seven, verse...
Wana YANGA mpooo
Wana YANGA tumeamuaaa kumpongeza na kumwombea Mungu ambariki MH RAISI MAMA SAMIA HASSAN SULUHU WA Tanzania Mungu azidi kumlinda na kumbariki ampe nguvu ktk kuongeza MAENDELEO ya nchi yetu
Tar 8 MARCH...
Pamoja na hayo tumepanga kutembelea jamii mbalimbali kutoa misaada tar 7...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.