majina

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. RIGHT MARKER

    Taja majina ya mboga za majani ulizotumia, au unazotumia mpaka sasa

    Wale ambao tumekulia maisha ya kijijini, au maisha ya hali ya chini, kuna aina za mboga za majani ambazo zilitulea na kutupa afya njema. Huenda kwa sasa hukutani nazo kwasababu ya kijiografia, hali ya maisha uliyonayo sasa, kuchangamana na watu wa jamii nyingine, au kwasababu nyingine yoyote...
  2. C

    Kwa uzoefu wangu ni majina ya AMOSI wengi wana uelewa mdogo kiasili ,huwa hawako vizuri kwenye reasoning,ni wazito kiakili, na ni wakurupukaji sana

    Hili ni baada ya kuwafahamu kina amosi wengi sana nilio kutana nao katika maisha yangu ya kawaida , nadhan ndugu msomaji hebu na wewe wakumbuke kina amosi ulio kutana nao kwenye maisha yako kisha toa ushuhuda.
  3. Lycaon pictus

    Asili ya majina Mikocheni na Masaki

    Mikocheni asili yake ni miti ya mikoche. Maana yake mahali penye mikoche. Mikoche yenyewe ni miti iliyo kama miwese/minazi. Mii hii inapatikana pwani ya Afrika Mashariki hadi huko South Afrika. Pia inazaa matunda yaliwaywo. Matunda yake. Masaki limetokana na neno la Kizaramo Saki. Saki maana...
  4. S

    Majina ya baadhi ya mafisadi wa Tanzania tangu 2000 nakuandelea

    Orodha ya mafisadi wakubwa waliowahi kutajwa au kuhusishwa na kashfa kubwa za ufisadi Tanzania tangu mwaka 2000 ni ndefu na imejumuisha wanasiasa, wafanyabiashara na watendaji wa serikali. Zifuatazo ni baadhi ya kashfa na watu waliotajwa kuhusika: 1. Kashfa ya EPA (External Payment Arrears) –...
  5. ndege JOHN

    Naomba Majina ya wilaya kongwe nchini

    Wakuu naombeni mniambie wilaya za zamani zaidi hapa nchini yaani zile kongwe ambazo labda wakoloni walizianzisha mara tu walipofika au labda sisi baada ya kupata uhuru tukazianzisha.
  6. Mparee2

    Majina ya miundo mbinu yanaweza kutangaza Utalii...

    Pamoja na kwamba sina tatizo na majina yanayotolewa kwa huduma/miundo mbinu Nchini ILA napendekeza ile miundo mbinu yenye sura ya kimataifa ipewe majina ya kuwakilisha vivutio vyetu kama sehemu ya kutangaza Nchi Nikisema sura ya kimataifa , naanisha miundo mbinu ambayo kwa kiasi kizuri...
  7. GISAMBO

    LBL wanawabadlishia majina tu, hakuna Pesa nyepesi jamani

    Stori ni zile inaama awa watu awaogopi kabisa mamlaka kama mmeshindwa kabisa Ku track hizi platform nyie pigeni block namba wanazo weka kupokelea pesa mbaya zaidi wanaolizwa wengi ni choka mbaya kabisa. Mtu yupo Mlimba huko eti ananipigia Mimi ananishauri kuna biashara online sijui nitapiga...
  8. Waufukweni

    Lema kuanika hadharani majina ya vigogo waliopo nyuma ya pazia sakata la G-55

    Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Godbless Lema, amesema anapanga kuweka hadharani majina ya vigogo wanaodaiwa kuwa nyuma ya pazia la sakata la G-55, akibainisha kuwa baadhi yao wamekuwa wakinufaika kifedha kupitia mradi huo huku wengine wakitumika kama...
  9. Binti Sayuni03

    Hivi kwanini watu humu wanajiita majina ya ajabu?

    Mimi hili jina nimeejiita baada ya kuokoka na kuachana na mambo mabaya ya Dunia. Nashangazwa na baadhi ya members humu kujiita majina ya ajabu hivi kwanini mnafanya hivyo? Watag members wenye majina ya ajabu tuwajue
  10. H

    Kwanini Ulaya na Amerika majina kama"Bush",""Liver", "Crew" na "Langstone" yamefanikiwa lakini Afrika majina ya Mohamad, John, Abdala,nk ni masikini?

    Ukitafakari kwa kinahuko ulaya na Amerika wanatumia majina yasikuwa kwenye biblia/quruan na yasiyo na maana kabisa kama"bush",""liver", "crew" na "langstone" wenye majina hayo wanafanikiwa lakini Afrika majina ya kibiblia/quruan yenye asili ya kiarabu na kizungu waliyoaninishwa kuwa ni ya Mungu...
  11. Dalton elijah

    Hii hapa Orodha ya Wachezaji 15 Wenye Majina Magumu zaidi Duniani

    Baadhi ya majina hayo ni kama 1. Sokratis Papastathopoulos (Greece) 2. Jakub Błaszczykowski: (Poland) 3. Grzegorz Krychowiak: (Poland) 4. Wojciech Szczęsny: (Poland) 5. Yevhen Olehovych Konoplyanka: (Ukraine) 6. Jakub Wawrzyniak: (Poland) 7. Panagiotis Tachtsidis: (Greece) 8. Hakan Çalhanoglu...
  12. comrade_kipepe

    Ni kwanini watu wenye majina ya asili Yao wanafanikiwa Sana kimaisha?

    Nimefanya utafiti nmegundua watu wenye majina ya asili ya kabila Lao hua wanafanikiwa Sana, iwe kimaisha, utajiri au kielimu, ni kama Yana baraka Fulani hivi. Haya majina ya kizungu na kiarabu yalikuja na meli tuu hayana maana yoyote Weka Imani yako pembeni kua open minded msikilize huyu JAMAA 👇👇
  13. chiembe

    Katibu Mkuu Mnyika ndiye anawasilisha NEC majina ya wagombea wa CHADEMA,uteuzi wake unapingwa, Msajili wa vyama akimtengua, its over!

    Kuna jambo linaenda kimya kimya, chama changu cha Chadema hakijajipanga nalo. Katibu Mkuu wa Chadema ndiye anasaini nyaraka za wagombea wa ubunge na Urais ili ziende Tume ya Uchaguzi. Hata hivyo, kuna mwanachama anasema kwamba Mnyika anashikilia nafasi ya Katibu Mkuu kinyume cha sheria, na...
  14. Roving Journalist

    Pre GE2025 Mratibu wa Uandikishaji Dar: Wakala wa Chama kazi yake ni kutazama sio kunakili majina ya wanaojiandikisha kwenye Daftari la Wapiga Kura

    Baada ya Mwanachama wa JamiiForums.com kuandika hoja yenye kichwa cha habari “Wakala wa CCM anayeandikisha majina kwenye kituo cha kupiga kura anapeleka wapi majina hayo? Ndio utaratibu wa Tume?” na kufafanua jinsi Wakala wa chama alivyokuwa akichukua majina ya wanaojiandikisha, ufafanuzi...
  15. chizcom

    Kuna majina duniani ni kama yamepigwa marufuku sababu yametumika vibaya

    kuna majina ambayo yamepigwa marufuku katika baadhi ya nchi kwa sababu mbalimbali, ikiwa ni pamoja na matumizi mabaya, historia mbaya, au maana zisizofaa. 1. Hitler – Jina hili limepigwa marufuku katika nchi kama Ujerumani na Austria kutokana na historia yake na Adolf Hitler. 2...
  16. The Watchman

    Pre GE2025 Wasira: Kura za maoni CCM mwaka huu majina ni matatu tu

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amesema kuwa katika kura za maoni mwaka huu, wanachama wa chama hicho watapewa majina matatu pekee ya wagombea watakaoshindania nafasi ya kupeperusha bendera ya chama katika nafasi ya ubunge. Akihutubia wananchi wa Tunduma...
  17. PendoLyimo

    Taarifa za kuaminika toka ndani zinadai kwamba miongoni mwa majina yalikua shortlisted kwa ajili ya Kurugenzi ya Habari ni pamoja na;

    Taarifa za kuaminika toka ndani ya CC ya Chadema zinadai kwamba miongoni mwa majina yalikua shortlisted kwa ajili ya Kurugenzi ya Habari ni pamoja na; 1. Gervas Lyenda 2. Liberatus Mwang’ombe Na kwamba Terms of Reference (ToRs) zilikua pamoja na mambo mengine Candidate wa nafasi hiyo ya...
  18. JanguKamaJangu

    Rais Ruto: Mtaniua kwa majina, kutoka Zakayo hadi Kasongo

    Rais wa Kenya, William Ruto: “Mtaniua na majina. Mlianza na hustler, mkaenda Zakayo alafu kasongo,” President Ruto jokes days after Kenyans gave him a new nickname, El Chapo
  19. kwaku the traveler

    Nimetembelea Songea nimekutana na Majina Yao ya asili (kingoni)

    Nipo Songea katika pita pita zangu nimekutana na Majina haya; Mzee Nguruwe Mzee Ngonyani Mzee Simba Mzee Tembo Mzee Nyoni Mzee Ngiri Mzee KOMBA Tausi huyu Binti wa kike Wenyeji wa Songea kama nimeyasahau mengine shusha hapo
  20. Mungu niguse

    Naomba tujadili kuhusu majina ya kurithi, athari zake chanya na hasi pamoja na njia za kuishi katika hiyo life's path.

    Wakuu habari . Katika familia zetu kuna mengi ya kujifunza na kutengeneza hatima nzuri ya mtoto wako. Kuna baadhi ya watoto wakipewa majina ya Babu zao huwa wanalia Sana Ila wakiwabadilishia hilo jina wanaacha kulia. Je ipo siri gani hapo nyuma ? Kuhusu athari baadhi ya watu wamekuwa...
Back
Top Bottom